Sefue afagilia ubora wa nyaya za umeme
KATIBU Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue amesema soko la nyaya za umeme nchini limekua na ameipongeza kampuni inayohusika na kutengeneza nyaya ya East African Cables kwa kutengeneza nyaya zenye ubora wa hali ya juu.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--1H5nRVQnFA/XsZxd-IEzHI/AAAAAAALrHE/XJxze2bZ7TAtS3lyPp19loWXC9jVDQBtgCLcBGAsYHQ/s72-c/eb049305-fce8-41a8-992d-8a41768d87da.jpg)
WAFANYABIASHARA VIFAA VYA UMEME DAR WALALAMIKIA NYAYA ZISIZO NA UBORA,WAIOMBA TBS KUFANYA MSAKO
![](https://1.bp.blogspot.com/--1H5nRVQnFA/XsZxd-IEzHI/AAAAAAALrHE/XJxze2bZ7TAtS3lyPp19loWXC9jVDQBtgCLcBGAsYHQ/s320/eb049305-fce8-41a8-992d-8a41768d87da.jpg)
BAADHI ya wafanyabiashara ya kuuza vifaa vya umeme vya aina mbalimbali katika Jiji la Dar es Salaam wamelalamikia uwepo wa vifaa hivyo na hasa nyaya ambazo ziko chini ya kiwango na ubora ambazo zinatengenezwa na baadhi ya viwanda vilivyopo nchini, hivyo wametoa ombi kwa Serikali kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na tume ya ushindani (FCC) kufanya msako viwandani na madukani ili kubaini.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-387nXVcgDjk/Xs_ahlGIlfI/AAAAAAALr68/yxNvmCcn66EP9d3g5QFxzoMBVa1CjyIrgCLcBGAsYHQ/s72-c/c91071f6-1e83-4b07-9f9c-fb19f2c9a868.jpg)
TBS YAWASHAURI WANANCHI, WAFANYABIASHARA KUTOA TAARIFA ZITAKAZOSAIDA KUBAINI WALISHAJI NYAYA ZA UMEME ZISIZOKUWA NA VIWANGO, UBORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-387nXVcgDjk/Xs_ahlGIlfI/AAAAAAALr68/yxNvmCcn66EP9d3g5QFxzoMBVa1CjyIrgCLcBGAsYHQ/s320/c91071f6-1e83-4b07-9f9c-fb19f2c9a868.jpg)
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS)limewashauri wananchi na wafanyabiashara wote nchini kutoa taarifa zitakazosaidia kuwabaini wazalishaji wa bidhaa za umeme hususani nyaya, zisizo na viwango ili waweze kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.
Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa upimaji na ugezi wa Bidhaa kutoka TBS Johanes Maganga alipokuwa akizungumza jijini Dar es Salaam baada ya kuibuka kwa malalamiko ya baadhi ya wafanyabiashara kuhusu uwepo wa baadhi ya...
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA
10 years ago
Habarileo06 Jan
Ashambuliwa kwa nyaya za umeme, ajeruhiwa
MKAZI wa Kitangiri jijini hapa, Biera Edwin (22) amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake kwa tuhuma za kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.
11 years ago
Habarileo10 Apr
Waiba nyaya zinazopeleka umeme ofisi kuu ya CCM Arusha
WATU wasiofahamika wamekata waya mkubwa wa umeme kutoka kwenye nguzo hadi chini na kusababisha ofisi kuu ya CCM, Mkoa wa Arusha kukosa umeme.
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Kaze afagilia Loga kutimuliwa
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Mkwasa afagilia ujio wa Maximo
KOCHA msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa, amefurahia mipango ya klabu hiyo kumleta Kocha Mbrazil, Marcio Maximo, kuinoa timu hiyo akisema anaamini kama atakuwa chini yake, atachota ujuzi. Mkwasa, nyota wa...
11 years ago
Habarileo29 May
Mhubiri wa kimataifa afagilia amani ya Tanzania
MHUBIRI wa kimataifa, Dk Peter Youngren kutoka Canada amesema kinachomvutia kuja nchini mara kwa mara kufanya matamasha ya kirafiki, ni mazingira mazuri na sifa ya kipekee iliyo nayo Tanzania ambayo ni amani.
10 years ago
Habarileo22 Feb
Hawa Ghasia afagilia fao la elimu la LAPF
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, amesema fao la mkopo wa elimu linalotolewa na Mfuko wa Pensheni wa LAPF, ni msaada mkubwa kwa waajiri nchini ikiwemo Serikali.