Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mhubiri wa kimataifa afagilia amani ya Tanzania

MHUBIRI wa kimataifa, Dk Peter Youngren kutoka Canada amesema kinachomvutia kuja nchini mara kwa mara kufanya matamasha ya kirafiki, ni mazingira mazuri na sifa ya kipekee iliyo nayo Tanzania ambayo ni amani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

MHUBIRI WA KIMATAIFA DK MUNROE AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA NDEGE

KIONGOZI wa Bahamas Faith Ministries, Dk. Myles Munroe, mkewe Ruth na watu wengine saba wamefariki dunia katika ajali ya ndege jana huko Bahamas.
Katika ajali hiyo, ndege ndogo waliyokuwa wakisafiria iligonga winchi na kulipuka wakati ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Grand Bahama.

Dk. Munroe ambaye pia alikuwa mzungumzaji maarufu wa mambo ya uongozi na biashara duniani, Oktoba 21, mwaka huu alitoa somo kwa viongozi mbalimbali nchini katika mkutano wake mkubwa uliofanyika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Msanii Bobo Seretsane “Bo” wa Afrika kusini afagilia muziki wa Tanzania, apongeza tamasha Karibu Music!

DSC_0896

Msanii nyota wa Afrika Kusini, Bo Denim “Bo” akitumbuiza jukwaani wakati wa tamasha la msimu wa pili la Karibu Music Festival..!

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[BAGAMOYO-TANZANIA]  Mwanamuziki  nyota kutoka Afrika Kusini  Bo Denim maarufu ‘Bo’ amewashukuru waandaji wa tamasha la Music Festival linalofanyika kila mwaka mjini hapa huku likihusisha vikundi na wanamuziki mbalimbali kutoka mataifaa tofauti ya Afrika nan je ya Afrikaa.

Bo ambaye usiku wa jana Novemba 7, aliweza kupiga shoo hiyo kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania kuungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni

NA EVELYN MKOKOI,DODOMA
Serikali  imefanikisha kwa kiasi kikubwa kuondosha matumizi ya kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni kwa kupitia mikakati ya kitaifa ambayo ni pamoja na Kujenga uwezo wa Taasisi zinazosimamia utekelezeji wa Mkataba wa Montreal, Kuweka takwimu za kemikali hizo,Kutoa elimu kwa wadau na kwa umma wa Watanzania kuhusu umuhimu wa Tabaka la Ozoni na hatari zinazolikabili.
Hayo yameelezwa leo na Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Raisi Mazingira Mh. Binilith Mahenge...

 

10 years ago

Michuzi

EBOLA : TISHIO LA AMANI NA USALAMA WA KIMATAIFA

Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa mwezi wa Septemba, Muwakilishi wa Kudumu wa Marekani katika Umoja wa Mataifa, Balozi Samantha Power akizungumza wakati wa Mkutano wa Dharura wa Baraza Kuu la Usalama, uliofanyika Alhamisi kwa lengo la kukusanya nguvu za Jumuiya ya Kimataifa katika kuukabili mlipuko wa Ebola ambao sasa unaangaliwa katika jicho la kuwa tishio la amani na usalama wa Kimataifa. Wajumbe wa Baraza Kuu la Usalama wakipiga kura ya kuunga mkono azimio namba...

 

9 years ago

Mwananchi

Kikwete awahakikisha waangalizi kimataifa amani, utulivu

Rais Jakaya Kikwete amewahakikishia viongozi wa waangalizi wa kimataifa kuwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu utafanyika kwa amani na utulivu ikilinganishwa na zilizopita.

 

10 years ago

Michuzi

EBOLA: TISHIO KWA AMANI NA USALAMA WA KIMATAIFA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa La Guardia jijini Washington DC tayari kwa kushiriki katika mikutano mbalimbali na pia katika hafla ya "USIKU WA JAKAYA" iliyoandaliwa na jumuiya ya Watanzania DMV leo jioni Rais Kikwete akilakiwa na maafisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Marekani baada ya kuwasili hoteli aliyofikia Karibu Washington DC Mheshimiwa Rais akiendelea kusalimia...

 

10 years ago

Michuzi

TUTASHIRIKIANA NA WAPENDA AMANI KUISAIDIA DRC KUWA NA AMANI - TANZANIA

Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ramadhan Mwinyi akizungumza wakati wa Mkutano wa Kamati ya Nne ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa iliyokuwa ikijadili ajenda kuhusu tathmini ya jumla ya Operesheni za Ulinzi wa Amani za Umoja wa Mataifa. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kati ya nchi zinazochangia wanajeshi wake katika operesheni hizo za ulinzi wa amani. Sehumu ya wajumbe wa Kamati ya Nne ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, wakifuatilia...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI MULAMULA AONGOZA MAADHIMISHO SIKU YA KIMATAIFA YA AMANI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza wakati akifungua rasmi Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Amani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Alliance Francaise, Jijini Dar es Salaam tarehe 21 Septemba, 2015. Balozi Mulamula alikuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayoSehemu ya wageni waalikwa kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Amani akiwemo Balozi wa Afrika Kusini hapa nchini, Mhe. Thami Mseleku (mwenye suti ya kahawia)...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa Kimataifa wa siku mbili wa amani na Maendeleo endelevu wafanyika zanzibar

Wakati umefika sasa kwa Dunia kujikita zaidi katika kukabiliana na migogoro isiyokwisha kwenye baadhi ya Mataifa inayozaa makundi ya wakimbizi kutokana na vita vinavyosababishwa na ukabila na mfumo mbaya wa siasa unaozalisha wanawake wajane na watoto yatima na kuwafanya kukosa haki zao za msingi za kibinaadamu katika kuishi maisha ya salama na furaha. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein alisema hayo wakati akiufungua Mkutano wa Kimataifa wa siku Mbili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani