TUTASHIRIKIANA NA WAPENDA AMANI KUISAIDIA DRC KUWA NA AMANI - TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EwbJBfAoCls/VFNUiF3tWyI/AAAAAAAGuWs/MResu-FXFgQ/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ramadhan Mwinyi akizungumza wakati wa Mkutano wa Kamati ya Nne ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa iliyokuwa ikijadili ajenda kuhusu tathmini ya jumla ya Operesheni za Ulinzi wa Amani za Umoja wa Mataifa. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kati ya nchi zinazochangia wanajeshi wake katika operesheni hizo za ulinzi wa amani.
Sehumu ya wajumbe wa Kamati ya Nne ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, wakifuatilia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani
Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani
Mwandishi Wetu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DXMdvHWwiYs/VUqICZfdL9I/AAAAAAAHVzI/3yy5CgZs1pI/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
WALINDA AMANI WAWILI WA TANZANIA WAPOTEZA MAISHA DRC, BAN KI MOON ALAANI VIKALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-DXMdvHWwiYs/VUqICZfdL9I/AAAAAAAHVzI/3yy5CgZs1pI/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
Msajili wa Vyama vya Siasa: Mrisho Mpoto na Christina Shusho kuwa mabalozi wa kubeba ujumbe wetu wa amani wa “AMANI YETU FAHARI YETU”
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi (katikati) akizungumza na vyombo vya habari mapema leo Oktoba 12 juu ya kuhamasisha Amani pamoja na kuwatangaza rasmi wasanii Mrisho Mpoto (kulia) na Christine Shusho (kushoto) kuwa mabalozi wa amani wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa katika kipindi hiki cha Uchaguzi mkuu, huku wakibeba ujumbe wa “AMANI YETU FAHARI YETU”. (Picha zote na Andrew Chale wa Modewjiblog).
Picha tatu za Jaji Mutungi zikionyesha msisitizo wa suala la Amani...
10 years ago
Habarileo07 May
Wazambia wasema Tanzania itaendelea kuwa ya amani
WATANZANIA wameelezwa kuwa nchi yao itaendelea kuwa na amani huku maslahi ya taifa yakilindwa, endapo vyombo vya habari vya ndani vitafanya kazi yake kwa kuzingatia maadili na mipaka ya uhuru wa habari.
9 years ago
VijimamboTANZANIA YASHUKURIWA KWA KUSAIDIA KUREJESHA AMANI KWA BAADHI YA MAENEO YA MASHARIKI MWA DRC
9 years ago
MichuziDkt. Magufuli kuwa Mgeni Rasmi Mkesha wa kuiombea amani Tanzania.
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Wanawake waeneza amani DRC
11 years ago
BBCSwahili13 Dec
Ni rasmi - Mkataba wa amani DRC na M23
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--a1yOgVq098/VUsdd4eBQtI/AAAAAAADmIo/ZxhsIjRyOKw/s72-c/05-06-2015Kobler_MONUSCO.jpg)
WALINZI WA AMANI WATANZANIA WAPOTEZA MAISHA DRC, BAN KI MOON ALAANI VIKALI,
![](http://3.bp.blogspot.com/--a1yOgVq098/VUsdd4eBQtI/AAAAAAADmIo/ZxhsIjRyOKw/s640/05-06-2015Kobler_MONUSCO.jpg)
Na Mwandishi...