Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake waeneza amani DRC

Zaidi ya wanawake 700 kutoka nchi 77 wanakutana mjini Kinshasa, kujadili mchango wa wanawake katika masuala ya amani,

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TUTASHIRIKIANA NA WAPENDA AMANI KUISAIDIA DRC KUWA NA AMANI - TANZANIA

Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ramadhan Mwinyi akizungumza wakati wa Mkutano wa Kamati ya Nne ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa iliyokuwa ikijadili ajenda kuhusu tathmini ya jumla ya Operesheni za Ulinzi wa Amani za Umoja wa Mataifa. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kati ya nchi zinazochangia wanajeshi wake katika operesheni hizo za ulinzi wa amani. Sehumu ya wajumbe wa Kamati ya Nne ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, wakifuatilia...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni rasmi - Mkataba wa amani DRC na M23

Viongozi wa Maziwa makuu, akiwemo mwenyekiti wao Yoweri Museveni, wameidhinisha mkataba wa amani kati ya M23 na DRC jijini Nairobi

 

11 years ago

BBCSwahili

wanawake wabakwa gerezani - DRC

Utafiti mpya umeonesha kuwa ubakaji unatumiwa gerezani kama adhabu kwa wanawake wanaojihusisha na siasa nchini DRC.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanawake na watoto wauawa DRC

Zaidi ya watu 20 wakiwemo watoto na wanawake wameuawa Mashariki mwa DRC , kwa mujibu wa maafisa wa Umoja wa Mataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake DRC: watakiwa kugombea uongozi

Wanawake wanaharakati nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo wamejitokeza kuwahamasisha wanawake wenzao,kugombea nafasi za juu katika uchaguzi mkuu ujao

 

11 years ago

BBCSwahili

Popo waeneza Ebola Guinea

Popo hutengezwa kitoweo maarufu sana katika baadhi ya maeneo ya Guinea, lakini sasa inahofiwa popo huchangia kusambaa kwa Ebola

 

10 years ago

Vijimambo

WALINZI WA AMANI WATANZANIA WAPOTEZA MAISHA DRC, BAN KI MOON ALAANI VIKALI,

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ( DRC) Bw. Martin Kobler akiwafariji walinzi wa amani kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ) wanaohudumu katika Misheni ya MONUSCO ( DRC) kufuatia shambulio lililotokea siku ya Jumanne huko Ben,i Magharibi ya Jimbo la Kivu. Katika shambulio hilo na ambalo limelaaniwa vikali na Katibu Mkuu, Ban Ki Moon, walinzi wawili wamepoteza maisha na wengine 13 wamejeruhiwa

Na Mwandishi...

 

10 years ago

Michuzi

WALINDA AMANI WAWILI WA TANZANIA WAPOTEZA MAISHA DRC, BAN KI MOON ALAANI VIKALI

Mwakilishi Maalum wa  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa  katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya  Kongo ( DRC) Bw. Martin Kobler akiwafariji  walinzi wa amani  kutoka  Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ) wanaohudumu katika Misheni ya MONUSCO ( DRC)  kufuatia shambulio  lililotokea siku ya  Jumanne huko Ben,i Magharibi ya Jimbo la Kivu. Katika shambulio hilo na ambalo limelaaniwa vikali na  Katibu Mkuu, Ban  Ki Moon, walinzi wawili wamepoteza maisha na wengine 13...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanawake wamechangia vipi amani?

Shirika la UNEP linazindua ripoti yake hii leo kuhusu mchango wa wanawake katika maeneo ya vita

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani