Wanawake DRC: watakiwa kugombea uongozi
Wanawake wanaharakati nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo wamejitokeza kuwahamasisha wanawake wenzao,kugombea nafasi za juu katika uchaguzi mkuu ujao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper10 Sep
Vijana Kibaha watakiwa kugombea uongozi
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kibaha Mjini, kimewataka vijana kuthubutu kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika ucaguzi ujao wa Chama na serikali.
Mwenyekiti wa UVCCM Kibaha Mjini, Idd Kanyalu, aliyasema hayo juzi, katika eneo la Mzizizma Zegereni, kata ya Visiga, alipokuwa akizungumza na wananchi, wakati wa ziara ya kamati ya maboresho inayolenga kukagua uhai wa jumuia hiyo.
Kanyalu aliwaasa vijana hao kujipanga kwenye mchakato wa uchaguzi...
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Wahitimu watakiwa kugombea nafasi za uongozi
WAHITIMU Nchini, wametakiwa kutumia taaluma yao kujitokeza kugombea nafasi za uongozi ngazi za chini ili kuleta maendeleo katika jamii. Rai hiyo imetoleawa jana na Naibu waziri wa Viwanda na Biashara,...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wanawake watakiwa kuwania uongozi majimboni
CHAMA cha Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) kimewakata wanawake wenzao kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali badala ya kusubiri nafasi za uteuzi. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Makamu Mwenyekiti wa chama...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-p0DQyMyyoxA/VCaGlBto21I/AAAAAAAGmGw/i9EuDnrouRw/s72-c/CM1a.jpg)
Wanawake jitokezeni kugombea nafasi za uongozi - Mhe. Bona Kaluwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-p0DQyMyyoxA/VCaGlBto21I/AAAAAAAGmGw/i9EuDnrouRw/s1600/CM1a.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-racssJ1w3jE/VCaGlaKNUcI/AAAAAAAGmG0/V83xxW3PLZI/s1600/CM1b.jpg)
10 years ago
MichuziWANAWAKE WATAKIWA KUJIAMINI KATIKA NAFAZI ZAO ZA UONGOZI -KAIRUKI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JvwpcLFU-ro/VFeB5zFPfoI/AAAAAAAGvSo/qhpeg93nFa8/s72-c/22%2B(1).jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WANAWAKE KUGOMBEA NAFASI MBALIMBALI ZA UONGOZI KATIKA UCHAGUZI UJAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-JvwpcLFU-ro/VFeB5zFPfoI/AAAAAAAGvSo/qhpeg93nFa8/s1600/22%2B(1).jpg)
Wanawake nchini wametakiwa kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu ili waweze kuingia katika ngazi ya maamuzi.
Mwito huo umetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanachama wa chama hicho wa wilaya ya Nachingwea...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Djne6x46ODY/Xu8jB7KTDJI/AAAAAAALuzA/alONzZnzPOkZrjfL3IqvZvmQvI0d92moACLcBGAsYHQ/s72-c/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
SHERIA ZA UCHAGUZI ZINAZOJIKITA KWENYE MRENGO WA JINSI YA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA UONGOZI,WENYE AZMA YA UPATIKANAJI WA HAKI ZA WANAWAKE.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Djne6x46ODY/Xu8jB7KTDJI/AAAAAAALuzA/alONzZnzPOkZrjfL3IqvZvmQvI0d92moACLcBGAsYHQ/s200/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
Mtandao wa wanawake,Katiba,Uongozi na Uchaguzi,kwa udhamini wa mfuko wa wanawake Tanzania(WFT)hivi karibuni uliendesha mada ya uchambuzi wa sheria tano za uchaguzi zilizojikita kwenye wa mrengo wa jinsi ya ushiriki wa wanawake katika uongozi unaolenga kwenye azma ya upatikanaji wa haki za wanawake na ujenzi wa nguvu za pamoja katika kuendeleza utetezi wa ukombozi wa kimapinduzi
Mkutano huo ulifanyika kwa njia ya mtandao wa zoom ulioendeshwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
CHADEMA yahimiza wanachama kugombea uongozi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Ukonga kimewahimiza wanachama wake kugombea uongozi katika nafasi za udiwani na uenyeviti wa serikali za mitaa katika chaguzi zijazo ili kuwaondolea kero...