WANAWAKE WATAKIWA KUJIAMINI KATIKA NAFAZI ZAO ZA UONGOZI -KAIRUKI
Nabu waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Angela Kairuki akizungumza na wanawake katika mkutano wa kuwajengea uwezo wanawake katika masuala ya uongozi uliofanyika katika hoteli ya serena jijini Dar es Salaam.
Katibu mtendaji wa uongozi institue,Profesa Joseph Semboja akizungumza katika mkutano wa kuwajengea uwezo wanawake katika masuala ya uongozi uliofanyika katika hoteli ya serena jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wanawake walioshiriki mkutano wa kuwajengea uwezo katika masuala...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Makandarasi wanawake watakiwa kujiamini
Mratibu wa mafunzo hayo mhandisi Rehema Myeya akimkaribisha mgeni rasmi Bi, Elizabeth Tagora ili kufungua mafunzo hayo.
Mgeni rasmi wa mafunzo ya makandarasi wanawake Bi, Elizabeth Tagora akizungumza wakati akifungua mafunzo hayo.
Washiriki wa mafunzo ya makandarasi wanawake wakifuatilia mjadala wa mafunzo hayo mjini Kibaha mkoani Pwani.
Mgeni rasmi wa mafunzo ya makandarasi wanawake Bi. Elizabeth Tagora katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo hayo.
Makandarasi wanawake nchini...
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Wanawake DRC: watakiwa kugombea uongozi
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wanawake watakiwa kuwania uongozi majimboni
CHAMA cha Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) kimewakata wanawake wenzao kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali badala ya kusubiri nafasi za uteuzi. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Makamu Mwenyekiti wa chama...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Wanawake watakiwa kutambua haki zao
WAWANAKE mkoani Iringa wametakiwa kuzitambua haki zao sambamba na sheria za utawala bora ndani ya jamii katika kukabiliana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia. Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Djne6x46ODY/Xu8jB7KTDJI/AAAAAAALuzA/alONzZnzPOkZrjfL3IqvZvmQvI0d92moACLcBGAsYHQ/s72-c/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
SHERIA ZA UCHAGUZI ZINAZOJIKITA KWENYE MRENGO WA JINSI YA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA UONGOZI,WENYE AZMA YA UPATIKANAJI WA HAKI ZA WANAWAKE.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Djne6x46ODY/Xu8jB7KTDJI/AAAAAAALuzA/alONzZnzPOkZrjfL3IqvZvmQvI0d92moACLcBGAsYHQ/s200/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
Mtandao wa wanawake,Katiba,Uongozi na Uchaguzi,kwa udhamini wa mfuko wa wanawake Tanzania(WFT)hivi karibuni uliendesha mada ya uchambuzi wa sheria tano za uchaguzi zilizojikita kwenye wa mrengo wa jinsi ya ushiriki wa wanawake katika uongozi unaolenga kwenye azma ya upatikanaji wa haki za wanawake na ujenzi wa nguvu za pamoja katika kuendeleza utetezi wa ukombozi wa kimapinduzi
Mkutano huo ulifanyika kwa njia ya mtandao wa zoom ulioendeshwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko...
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Vijana watakiwa kujiamini, kuwa wabunifu
VIJANA nchini wametakiwa kujiamini na kuwa wabunifu kwa kuanzisha miradi ya ujasiriamali na kutumia fursa zilizopo kupiga vita tatizo la ajira.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa programu ya kukuza na kuendeleza ujasiriamali kwa vijana wa Mkoa wa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick alisema vijana wanapaswa kuonyesha juhudi na hamu ya kufanikiwa.
Programu hiyo ijulikanayo kama ‘Kijana Jiajiri’ inalenga kukuza na kuendeleza ujasiriamali kwa...
9 years ago
StarTV23 Nov
Walimu watakiwa kutumia fursa zao katika Utatuzi Changamoto Za Elimu
Walimu nchini wametakiwa watumie fursa walizonazo kutatua changamoto za elimu kwa kuwa taifa linawategemea kupata wataalam.
Katika mahafali ya chuo kikuu cha DUCE imeelezwa kuwa Serikali inajitahidi kusomesha walimu kwa kutumia kodi za wananchi lengo likiwa ni kuongeza fursa za ajira ya walimu kutokana na uhaba wa walimu hasa katika masomo ya Sayansi.
Mgeni rasmi katika mahafali hayo Prof. Martha Mlau amewtakaa wahitimu kutumia taaluma waliyoipata chuoni hapo, kwa kuwa taifa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mdg7W3cpkWI/Vb3tShdK9QI/AAAAAAAHtPQ/_vn1s2jUUYs/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
Vijana Dar watakiwa kujiamini, kuwa wabunifu na kujiajiri