Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake watakiwa kutambua haki zao

WAWANAKE mkoani Iringa wametakiwa kuzitambua haki zao sambamba na sheria za utawala bora ndani ya jamii katika kukabiliana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia. Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

KPC inayowainua wanawake kutambua haki zao

VITENDO vya ukatili wa kijinsia ni kati ya vita ambavyo vinatakiwa kushikiwa bango na kila mmoja bila kujali ni mwanamke au mwanaume. Tumekuwa tukishuhudia wanawake wengi wakinyanyasika, wakipigwa hadharani na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waandishi wahimizwa kuelemisha wanawake juu ya haki zao

DSC00179111

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela.

Na Nathaniel Limu

WAANDISHI wa habari mkoa wa Singida, wamehimizwa kutumia kalamu zao kuwaelimisha wanawake juu ya haki zao mbalimbali ili kupunguza vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa dhidi yao.

Wito huo umetolewa mwishoni mwa wiki na kiongozi wa dawati la jinsia na watoto mkoa wa Singida Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Eileen Mbwatila wakati akizungumza na waandishi wa habari wanaotathmini utekelezaji wa mradi wa...

 

10 years ago

Michuzi

WANAWAKE WATAKIWA KUJIAMINI KATIKA NAFAZI ZAO ZA UONGOZI -KAIRUKI

Nabu waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Angela Kairuki akizungumza na wanawake katika mkutano wa kuwajengea uwezo wanawake katika masuala ya uongozi uliofanyika katika hoteli ya serena jijini Dar es Salaam. Katibu mtendaji wa uongozi institue,Profesa Joseph Semboja  akizungumza katika mkutano wa kuwajengea uwezo wanawake katika masuala ya uongozi uliofanyika katika hoteli ya serena jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanawake walioshiriki mkutano wa kuwajengea uwezo katika masuala...

 

9 years ago

Dewji Blog

WASIMAMIZI WA UCHAGUZI SINGIDA: Watakiwa kusimamia shughuli zao kwa kuzingatia Haki,Uadilifu na kutopendela chama!

SAM_0215 Mkuu wa wilaya ya Singida,Bwana Saidi Amanzi(aliyesimama) akifungua semina ya siku mbili kwa wasimamizi 42 kutoka jimbo la Singida kaskazini.(Picha  zote  na Jumbe Ismailly).

Na. Jumbe Ismailly

[SINGIDA] MKUU wa Wilaya ya Singida,Saidi Amanzi amewaagiza wasimamizi wa uchaguzi wa wilaya hiyo kuhakikisha wanakwenda kusimamia shughuli za uchaguzi kwa kuzingatia haki,uadilifu,bila upendeleo na kwa kutoegemea upande wowote.

Mkuu wa wilaya huyo alitoa agizo hilo kwenye ufunguzi wa semina ya siku...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tume ya Haki za binadamu, UNESCO wataka jamii kutambua haki za watu wenye Albinism nchini

XXKamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Kevin Lothal Mandopi  akielezea namna ya tume hiyo ilivyo mstari wa mbele kuelimisha Umma dhidi ya vitendo na ukatili kwa watu wenye Ualbinism nchini kwa wadau na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam mapema leo Juni 13.2015.

Na Andrew Chale, modewjiblog

Tume ya Haki za binadamu na Utawala bora  nchini,  leo Juni 13,2015, imeungana na watanzania wote kuadhimisha siku ya Kimataifa ya uelimishaji umma kuhusu Ualbino...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Abiria wana haki ya kujua wajibu, haki zao

WATUMIAJI wa huduma za usafiri wa nchi kavu na majini, bado hawajatambua haki na wajibu wao wawapo safarini. Hiyo yote inatokana na kutokufahamu wapi wapeleke malalamiko yao. Lakini makala hii...

 

11 years ago

Habarileo

Walemavu watakiwa kutambua fursa za ajira zinazowazunguka

WALEMAVU nchini wametakiwa kutambua fursa walizonazo ili waweze kuondokana na tabia ya kukaa mitaani na barabarani kwa ajili ya kuomba fedha au kusubiri kupatiwa misaada kutoka kwa wahisani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani