Wanawake wamechangia vipi amani?
Shirika la UNEP linazindua ripoti yake hii leo kuhusu mchango wa wanawake katika maeneo ya vita
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Wanawake waeneza amani DRC
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Sumaye: Wanawake wanawajibika kutunza amani
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema wanawake wanao wajibu wa kudumisha amani na usalama barani Afrika. Sumaye alisema hayo mwishoni mwa wiki ikiwa ni mwendelezo wa uwasilishaji wa mada za...
11 years ago
Mtanzania11 Aug
Mama Pinda: Wanawake wote tunataka amani
![Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Tunu-Pinda.jpg)
Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda
NA MWANDISHI WETU, SEOUL
MKE wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda, amesema wanawake wote duniani wanalilia amani na hawapendi vita wala machafuko kwani husababisha amani kutoweka.
Mama Pinda alitoa wito huo jana wakati akitoa mada kama mzungumzaji mkuu kwenye mkutano wa dunia wa siku tano ulioanza Seoul, Korea Kusini jana.
Mkutano huo ambao umeandaliwa na Taasisi ya Universal Peace Federation (UPF) ambayo inatoa ushauri kwenye Baraza...
9 years ago
Vijimambo15 Oct
Amani na uwezeshaji kiuchumi vitainua wanawake: Pindi Chana
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Xx_QZPcexeSz-lYL3STUb5v3jXymjKx0RanzvChTIZB0Z0OS1KR0Hd-FkfgM5QU8E7Z3JO8f4BgurcXDVLVLcX_bvOERcKOCF6Hmq4-AUN5rGTm8W7M3VJUPqEVRMMZE7d8aqZBK=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/10/Chana.jpg)
Naibu waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto wa Tanzania Pindi Chana katika mahojiano na Joseph Msami.(Picha:Idhaa ya Kiswahili/video capture)Ulinzi kwa wanawake na uwezeshaji kuchumi ni muhimu katika ustawi wa wanawake amesema Naibu waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto wa Tanzania Pindi Chana katika mahojiano na Joseph Msami wa idhaa ya Kiswahili ya redio ya Umoja wa Mataifa muda mfupi baada ya kuhutubia kikao cha baraza la usalama kilichojadili azimio namba 1325 kuhusu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ouXIAQ9uRkg/U-dY2HUmfGI/AAAAAAAF-OU/RZ4QDkPeE34/s72-c/13+(1).jpg)
WANAWAKE WOTE DUNIANI TUNALILIA AMANI - MAMA PINDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ouXIAQ9uRkg/U-dY2HUmfGI/AAAAAAAF-OU/RZ4QDkPeE34/s1600/13+(1).jpg)
Ametoa wito huo leo mchana (Jumapili, Agosti 10, 2014) wakati akitoa mada kama mzungumzaji mkuu (keynote speaker) kwenye Mkutano wa Dunia wa siku tano ulioanza leo jijini Seoul, Korea Kusini.
Mkutano huo ambao umeandaliwa na taasisi ya Universal Peace Federation (UPF) ambayo inatoa ushauri kwenye...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RLzXKQLOh40/VQKMDa4A19I/AAAAAAAHJ_g/jzsE7flib7c/s72-c/496212%2B-%2BCopy.jpg)
NI MAFANIKIO KUWA NA ASKARI WANAWAKE KATIKA ULINZI WA AMANI UN - MHE SIMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-RLzXKQLOh40/VQKMDa4A19I/AAAAAAAHJ_g/jzsE7flib7c/s1600/496212%2B-%2BCopy.jpg)
10 years ago
VijimamboNI MAFANIKIO KUWA NA ASKARI WANAWAKE KATIKA ULINZI WA AMANI UN-MHE SIMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-YXEh8kQ3fIE/VQJYHpHkX2I/AAAAAAADb9g/p7TNPCI8ARE/s1600/496212%2B-%2BCopy.jpg)
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Mkataba wa amani Afghanistan: “Huenda wanawake wasiruhusiwe tena kufanya kaziâ€
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani
Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani
Mwandishi Wetu