Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumaye: Wanawake wanawajibika kutunza amani

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema wanawake wanao wajibu wa kudumisha amani na usalama barani Afrika. Sumaye alisema hayo mwishoni mwa wiki ikiwa ni mwendelezo wa uwasilishaji wa mada za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Samia awatahadharisha wananchi kutunza amani

Chama cha Mapinduzi  CCM kupitia Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais Samia Suluhu amewataka wananchi kulinda na kutunza amani iliyopo katika kipindi hiki cha Kampeni na Uchaguzi nchi nzima ili kuepuka kumwaga damu kama zilivyo nchi nyingine.

Samia ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara ulifanyika sirari,Tarime Mkoani Mara alipokuwa akifanya kampeni za kuomba kura pamoja na kunadi Ilani ya uchaguzi ya Chama hicho.

Mara baada ya viwanja vya kata ya sriar samia alipata nafasi ya kufafanua...

 

10 years ago

Habarileo

Sumaye aasa vijana kulinda amani

Frederick SumayeWAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amewataka vijana kote nchini kuwa mstari wa mbele kulinda amani, usalama na utulivu wa nchi katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 na kukemea siasa za chuki kwani mfumo uliopo ni mfumo wa vyama vingi, hivyo kila mmoja anapaswa kumheshimu mwenzake.

 

11 years ago

Habarileo

Sumaye: Uvunjifu wa amani ni hatari kwa nchi

JAMII imehadharishwa dhidi ya uvunjifu wa amani kuwa ni hatari kwa maendeleo ya uchumi wa nchi na watu kwa ujumla. Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye alisema hali ya utulivu ni chachu katika kukuza uchumi.

 

10 years ago

Mwananchi

Sumaye: Tume ya Uchaguzi imeweka amani rehani

Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amesema Tume ya Uchaguzi isipotenda haki katika kutangaza matokeo, inaweza ikasababisha uvunjifu wa amani nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wanawajibika kuimarisha elimu majimboni?

Hali ya elimu katika maeneo mengi nchini siyo nzuri. Kinachosikitisha ni kuwa baadhi ya maeneo hayo yanasimamiwa na wabunge waliojipambanua kwa uhodari na umahiri wao wa kujenga hoja bungeni.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanawake wamechangia vipi amani?

Shirika la UNEP linazindua ripoti yake hii leo kuhusu mchango wa wanawake katika maeneo ya vita

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanawake waeneza amani DRC

Zaidi ya wanawake 700 kutoka nchi 77 wanakutana mjini Kinshasa, kujadili mchango wa wanawake katika masuala ya amani,

 

11 years ago

Mtanzania

Mama Pinda: Wanawake wote tunataka amani

Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda

Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda

NA MWANDISHI WETU, SEOUL

MKE wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda, amesema wanawake wote duniani wanalilia amani na hawapendi vita wala machafuko kwani husababisha amani kutoweka.

Mama Pinda alitoa wito huo jana wakati akitoa mada kama mzungumzaji mkuu kwenye mkutano wa dunia wa siku tano ulioanza Seoul, Korea Kusini jana.

Mkutano huo ambao umeandaliwa na Taasisi ya Universal Peace Federation (UPF) ambayo inatoa ushauri kwenye Baraza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani