Wabunge wanawajibika kuimarisha elimu majimboni?
Hali ya elimu katika maeneo mengi nchini siyo nzuri. Kinachosikitisha ni kuwa baadhi ya maeneo hayo yanasimamiwa na wabunge waliojipambanua kwa uhodari na umahiri wao wa kujenga hoja bungeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Wabunge waweka kambi majimboni
10 years ago
CloudsFM14 Nov
NUSU YA WABUNGE WOTE WACHOKWA MAJIMBONI
KARIBU nusu ya wabunge wa majimbo yote ya uchaguzi nchini, wapo hatarini kuangushwa na wapigakura wao katika katika uchaguzi mkuu wa mwakani, kutokana na kutotekeleza ahadi walizotoa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
Asilimia 47 ya Watanzania wote, wameweka wazi kutowapigia kura wabunge wao, kutokana na kushindwa kuzitekeleza au kuzitekeleza kwa kiwango kidogo ahadi, walizotoa wa kampeni za uchaguzi.
Ahadi hizo zilihusisha kuboresha barabara, miradi ya maji, kujenga hospitali na zahanati,...
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Sugu aongoza orodha wabunge waliovuna kura nyingi majimboni
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Baadhi ya wabunge mkoa wa Singida wapumulia mashine kwenye nafasi zao majimboni
Mbunge wa jimbo la Manyoni Mashariki Mh. John Chiligati pamoja na Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mh. Mohammed Dewji wakipungia mikono wakazi wa Singida wakati wa mikutano ya chama cha Mapinduzi mkoani humo.
JIMBO LA MKALAMA.
Hili kwa sasa linafananishwa na ‘mzoga’ kwa madai hadi sasa kuna dalili ya watu 12 wanaonyesha dalili la kuliwania jimbo hilo ambalo zamani lilikuwa likijulikana kwa jina la Iramba mashariki.
Mbunge wa sasa Salome Mwambu wa CCM ambaye anamaliza kipindi chake cha...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mbinu 10 za kuimarisha sekta ya elimu Tanzania
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Mbinu za kuimarisha sekta ya elimu Tanzania
10 years ago
Habarileo23 Nov
Serikali kuimarisha elimu ya ufundi miradi mikubwa
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama amesema serikali inafanya uwekezaji wa elimu ya ufundi kwenye maeneo yenye miradi mikubwa kama gesi, makaa ya mawe na yalipogunduliwa madini ya urani.
11 years ago
Michuzi06 Mar
Muungano wa Tanzania waendelea kuimarisha Ubora wa Elimu ya Juu
![](https://4.bp.blogspot.com/-0q25pJPduRY/UxdS_Wy6NpI/AAAAAAAANjg/kc5_KWsPtR8/s1600/IMG_3293.jpg)
Na Jovina Bujulu-Maelezo, Dodoma Ubora wa elimu ya juu umeendelea kuimarika kwa kiasi kikubwa kutokana na kuwepo kwa Taasisi za muungano kama Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Bi. Samia Suluhu Hassan wakati wa mahojiano na Afisa Habari wa Idara...
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Serikali na mikakati ya kuimarisha elimu nje ya mfumo rasmi