Mbinu 10 za kuimarisha sekta ya elimu Tanzania
Hali ya elimu nchini hairidhishi. Matokeo yasiyoridhisha ya wahitimu wa darasa la saba na kidato cha nne katika miaka ya karibuni, yanatosha kuwa kiashiria cha hali mbaya inayoikabili sekta ya elimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Mbinu za kuimarisha sekta ya elimu Tanzania
11 years ago
MichuziTOUCH FOUNDATION KUENDELEA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA TANZANIA
Touch Foundation , Taasisi isiyo ya kiserikali na yenye makao yake nchini Marekani, mwishoni mwa wiki (Mei 8), imeadhimisha miaka kumi ya kazi zake na kuahidi kuendelea kushirikiana na serikali ya Tanzania na Taasisi nyingine katika uboreshaji na uimarishaji wa sekta ya afya nchi.
Katika hafla iliyojulikana kama Asante Supper 2014, ilihusisha pia utoaji wa tuzo kwa wadau mbalimbali ambao wamekuwa nguzo muhimu ya Taasisi hiyo. Asante Supper ilihusisha pia...
9 years ago
VijimamboTANZANIA NA NORWAY KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI
11 years ago
Michuzi06 Mar
Muungano wa Tanzania waendelea kuimarisha Ubora wa Elimu ya Juu
![](https://4.bp.blogspot.com/-0q25pJPduRY/UxdS_Wy6NpI/AAAAAAAANjg/kc5_KWsPtR8/s1600/IMG_3293.jpg)
Na Jovina Bujulu-Maelezo, Dodoma Ubora wa elimu ya juu umeendelea kuimarika kwa kiasi kikubwa kutokana na kuwepo kwa Taasisi za muungano kama Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Bi. Samia Suluhu Hassan wakati wa mahojiano na Afisa Habari wa Idara...
9 years ago
StarTV26 Nov
Haki Elimu yazindua jopo la ushauri Uboreshaji Sekta Ya Elimu
Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Nchini imeshauriwa kuyafanyia kazi mapendekezo yanayotolewa na wadau wa elimu katika sekta hiyo pamoja na kuboresha Idara ya Ukaguzi Shuleni ili kuhakikisha elimu inatolewa kwa usahihi.
Imeelezwa kuwa kwa kuzingatia hayo kutasaidia kuboresha Sekta ya elimu nchini hususani katika Shule za Umma, ambazo baadhi ya wazazi wamekuwa wakikwepa kuwapeleka watoto wao kutokana na dhana ya kuwa na elimu duni.
Katika uzinduzi wa jopo la washauri...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fseuT0g6r1o/Vg44rlEZ-TI/AAAAAAAH8Rg/i8H7KblToqg/s72-c/New%2BPicture.png)
DK.SHEIN KUIMARISHA SEKTA YA MICHEZO ZANZABAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-fseuT0g6r1o/Vg44rlEZ-TI/AAAAAAAH8Rg/i8H7KblToqg/s1600/New%2BPicture.png)
Dk. Shein ambaye pia, ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi aliyasema hayo...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Fuso kuimarisha sekta ya usafirishaji nchini
9 years ago
MichuziSERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA SEKTA YA UVUVI
11 years ago
Habarileo20 Mar
Wawekezaji wapongezwa kuimarisha sekta ya afya
WAWEKEZAJI wamepongezwa kwa kushirikiana na jamii katika kujenga miradi mbalimbali ambayo itasaidia kuleta maendeleo na kuimarisha Sekta ya Afya. Kauli hiyo ilitolewa na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi alipofungua hospitali ya kisasa ya akinamama wajawazito katika eneo la Pwani Mchangani Mkoa wa Kaskazini Unguja.