DK.SHEIN KUIMARISHA SEKTA YA MICHEZO ZANZABAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-fseuT0g6r1o/Vg44rlEZ-TI/AAAAAAAH8Rg/i8H7KblToqg/s72-c/New%2BPicture.png)
STATE HOUSE ZANZIBAR
Dk. Shein ambaye pia, ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi aliyasema hayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Mbinu za kuimarisha sekta ya elimu Tanzania
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Fuso kuimarisha sekta ya usafirishaji nchini
9 years ago
MichuziSERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA SEKTA YA UVUVI
11 years ago
Habarileo20 Mar
Wawekezaji wapongezwa kuimarisha sekta ya afya
WAWEKEZAJI wamepongezwa kwa kushirikiana na jamii katika kujenga miradi mbalimbali ambayo itasaidia kuleta maendeleo na kuimarisha Sekta ya Afya. Kauli hiyo ilitolewa na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi alipofungua hospitali ya kisasa ya akinamama wajawazito katika eneo la Pwani Mchangani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mbinu 10 za kuimarisha sekta ya elimu Tanzania
11 years ago
MichuziTOUCH FOUNDATION KUENDELEA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA TANZANIA
Touch Foundation , Taasisi isiyo ya kiserikali na yenye makao yake nchini Marekani, mwishoni mwa wiki (Mei 8), imeadhimisha miaka kumi ya kazi zake na kuahidi kuendelea kushirikiana na serikali ya Tanzania na Taasisi nyingine katika uboreshaji na uimarishaji wa sekta ya afya nchi.
Katika hafla iliyojulikana kama Asante Supper 2014, ilihusisha pia utoaji wa tuzo kwa wadau mbalimbali ambao wamekuwa nguzo muhimu ya Taasisi hiyo. Asante Supper ilihusisha pia...
9 years ago
StarTV29 Dec
Watanzania wahimizwa kuwekeza nchini ili kuimarisha sekta ya uchumi
Watanzania wamehimizwa kuwekeza nchini ili kuimarisha sekta ya uchumi hususani kupitia viwanda ambavyo vitazalisha bidhaa bora zitakazouzwa nje ya nchi na kujipatia fedha za kigeni.
Hivi sasa Tanzania inatajwa kuingiza bidhaa nyingi kutoka nchi za nje hali inayosababisha kudorora kwa shilingi ya Tanzania dhidi ya fedha za kigeni hususani dola ya kimarekani.
Kwa kiasi kikubwa Tanzania inauza bidhaa ghafi nje ya nchi ambazo thamani yake inakuwa chini wakati uingizwaji wa bidhaa mbalimbali...
9 years ago
VijimamboTANZANIA NA NORWAY KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Serikali yasaini mkataba wa zaidi ya Sh. Bilioni 422 kuimarisha sekta ya afya nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akisaini hati ya makubaliano ya mkopo nafuu kati ya Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia ili kuimarisha sekta ya afya nchini katika hafla iliyofanyika jana jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akibadilishana hati ya makubaliano ya mkopo nafuu na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird...