Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NUSU YA WABUNGE WOTE WACHOKWA MAJIMBONI

KARIBU nusu ya wabunge wa majimbo yote ya uchaguzi nchini, wapo hatarini kuangushwa na wapigakura wao katika katika uchaguzi mkuu wa mwakani, kutokana na kutotekeleza ahadi walizotoa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
Asilimia 47 ya Watanzania wote, wameweka wazi kutowapigia kura wabunge wao, kutokana na kushindwa kuzitekeleza au kuzitekeleza kwa kiwango kidogo ahadi, walizotoa wa kampeni za uchaguzi.

Ahadi hizo zilihusisha kuboresha barabara, miradi ya maji, kujenga hospitali na zahanati,...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wabunge waweka kambi majimboni

>Baada ya kumalizika mkutano wa 18 wa Bunge Jumamosi iliyopita, wabunge wengi wamekimbilia kwenye majimbo yao hatua inayohusishwa na homa ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wanawajibika kuimarisha elimu majimboni?

Hali ya elimu katika maeneo mengi nchini siyo nzuri. Kinachosikitisha ni kuwa baadhi ya maeneo hayo yanasimamiwa na wabunge waliojipambanua kwa uhodari na umahiri wao wa kujenga hoja bungeni.

 

9 years ago

Mwananchi

Sugu aongoza orodha wabunge waliovuna kura nyingi majimboni

Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ndiye aliongoza kwa kuchaguliwa na wapigakura wengi kuliko mbunge yeyote kati ya wabunge 257 waliochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu.     

 

10 years ago

Dewji Blog

Baadhi ya wabunge mkoa wa Singida wapumulia mashine kwenye nafasi zao majimboni

6

Mbunge wa jimbo la Manyoni Mashariki Mh. John Chiligati pamoja na Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mh. Mohammed Dewji wakipungia mikono wakazi wa Singida wakati wa mikutano ya chama cha Mapinduzi mkoani humo.

JIMBO LA MKALAMA.

Hili kwa sasa linafananishwa na ‘mzoga’ kwa madai hadi sasa kuna dalili ya watu 12 wanaonyesha dalili la kuliwania jimbo hilo ambalo zamani lilikuwa likijulikana kwa jina la Iramba mashariki.

Mbunge wa sasa Salome Mwambu wa CCM ambaye anamaliza kipindi chake cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Nusu ya wabunge hawatarudi bungeni mwakani

Wakati Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania likiendelea na vikao vyake mjini Dodoma, imeelezwa kwamba nusu ya wabunge 239 wa kuchaguliwa waliopo sasa, watabwagwa katika Uchaguzi Mkuu 2015.

 

9 years ago

Michuzi

Majina na Jumla ya Wabunge wote wa Bunge la 11 na Majimbo watokayo

1 Dk Charles Tizeba- Buchosa CCM
2 Nimrod Mkono- Butiama CCM
3 Omar Badwel- Chilonwa CCM
4 Kanyasu John- Geita Mjini CCM
5 Pudensiana Kikwembe- Kavuu CCM
6 Sixtus Mapunda- Mbinga Mjini CCM
7 Hassan Masala- Nachingwea CCM
8 Abdallah Chikota- Nanyamba CCM
9 Richard Mbogo- Nsimbo CCM
10 Ester Matiko- Tarime Mjini CHADEMA
11 Mwakajoka Frank- Tunduma CHADEMA
12 Joshua Nassari- Arumeru Magharibi CHADEMA
13 Dk Shukuru Kawambwa- Bagamoyo CCM
14 Andrew Chenge- Bariadi Magharibi CCM
15 Oscar Mukasa- Biharamulo...

 

10 years ago

Mwananchi

Karibu robo ya wabunge wote ni wazee, wana umri kuanzia miaka 60 na zaidi

Serikali imesema asilimia 20 ya wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ni wazee wenye wenye umri wa kati ya miaka 60 na kuendelea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani