NUSU YA WABUNGE WOTE WACHOKWA MAJIMBONI
KARIBU nusu ya wabunge wa majimbo yote ya uchaguzi nchini, wapo hatarini kuangushwa na wapigakura wao katika katika uchaguzi mkuu wa mwakani, kutokana na kutotekeleza ahadi walizotoa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
Asilimia 47 ya Watanzania wote, wameweka wazi kutowapigia kura wabunge wao, kutokana na kushindwa kuzitekeleza au kuzitekeleza kwa kiwango kidogo ahadi, walizotoa wa kampeni za uchaguzi.
Ahadi hizo zilihusisha kuboresha barabara, miradi ya maji, kujenga hospitali na zahanati,...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Wabunge waweka kambi majimboni
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Wabunge wanawajibika kuimarisha elimu majimboni?
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Sugu aongoza orodha wabunge waliovuna kura nyingi majimboni
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Baadhi ya wabunge mkoa wa Singida wapumulia mashine kwenye nafasi zao majimboni
Mbunge wa jimbo la Manyoni Mashariki Mh. John Chiligati pamoja na Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mh. Mohammed Dewji wakipungia mikono wakazi wa Singida wakati wa mikutano ya chama cha Mapinduzi mkoani humo.
JIMBO LA MKALAMA.
Hili kwa sasa linafananishwa na ‘mzoga’ kwa madai hadi sasa kuna dalili ya watu 12 wanaonyesha dalili la kuliwania jimbo hilo ambalo zamani lilikuwa likijulikana kwa jina la Iramba mashariki.
Mbunge wa sasa Salome Mwambu wa CCM ambaye anamaliza kipindi chake cha...
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Nusu ya wabunge hawatarudi bungeni mwakani
9 years ago
Michuzi07 Nov
Majina na Jumla ya Wabunge wote wa Bunge la 11 na Majimbo watokayo
2 Nimrod Mkono- Butiama CCM
3 Omar Badwel- Chilonwa CCM
4 Kanyasu John- Geita Mjini CCM
5 Pudensiana Kikwembe- Kavuu CCM
6 Sixtus Mapunda- Mbinga Mjini CCM
7 Hassan Masala- Nachingwea CCM
8 Abdallah Chikota- Nanyamba CCM
9 Richard Mbogo- Nsimbo CCM
10 Ester Matiko- Tarime Mjini CHADEMA
11 Mwakajoka Frank- Tunduma CHADEMA
12 Joshua Nassari- Arumeru Magharibi CHADEMA
13 Dk Shukuru Kawambwa- Bagamoyo CCM
14 Andrew Chenge- Bariadi Magharibi CCM
15 Oscar Mukasa- Biharamulo...
10 years ago
Vijimambo
Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio - Jumapili hii ya Disemba 07, 2014 Saa Tisa na nusu (3:30pm EST) Karibuni wote! Mch. Ipyana Mwakabonga

10 years ago
Mwananchi30 Mar
Karibu robo ya wabunge wote ni wazee, wana umri kuanzia miaka 60 na zaidi