Wazambia wasema Tanzania itaendelea kuwa ya amani
WATANZANIA wameelezwa kuwa nchi yao itaendelea kuwa na amani huku maslahi ya taifa yakilindwa, endapo vyombo vya habari vya ndani vitafanya kazi yake kwa kuzingatia maadili na mipaka ya uhuru wa habari.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EwbJBfAoCls/VFNUiF3tWyI/AAAAAAAGuWs/MResu-FXFgQ/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
TUTASHIRIKIANA NA WAPENDA AMANI KUISAIDIA DRC KUWA NA AMANI - TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EwbJBfAoCls/VFNUiF3tWyI/AAAAAAAGuWs/MResu-FXFgQ/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mt8rAKimY7o/VFNUicfeKnI/AAAAAAAGuWo/HCPKHFhAzJg/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q0n_3sJXlmc/Xu44Ktg6RWI/AAAAAAALuxs/FlrK3U_EylYCRSVUxPOOes5IIHKH4-UAwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC4342-2048x1689.jpg)
SERIKALI ITAENDELEA KUHAKIKISHA HALI YA AMANI NA UTULIVU-RAIS DKT.ALI SHEIN
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q0n_3sJXlmc/Xu44Ktg6RWI/AAAAAAALuxs/FlrK3U_EylYCRSVUxPOOes5IIHKH4-UAwCLcBGAsYHQ/s640/DSC4342-2048x1689.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC4345-1-scaled.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar kabla yac kulivunja rasmin leo katika ukumbi wa mkutano Chukwani Jijinin Zanzibar.(Picha na Ikulu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC4635-scaled.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania08 Jul
Bila kuchukua hatua thabiti shilingi itaendelea kuwa dhaifu
KUPOROMOKA kwa shilingi nchini dhidi ya dola ya Marekani ni tatizo linaloathiri uchumi wa nchi. Mwaka huu, thamani ya fedha imeshuka kwa wastani wa asilimia 20 ikilinganishwa na dola. Suala hili limejadiliwa sana na wadau mbalimbali, wakiwemo wabunge.
Sababu kadhaa zimetolewa na serikali, ambazo ni pamoja na; kuimarika kwa dola ya Marekani dhidi ya fedha nyingine duniani, jambo linaloelezwa kuwa limetokana na hali ya uchumi wa Marekani kuwa nzuri katika siku za karibuni; mapato ya nchi...
9 years ago
MichuziDkt. Magufuli kuwa Mgeni Rasmi Mkesha wa kuiombea amani Tanzania.
10 years ago
Bongo506 Sep
Big Brother Africa: M-Net yatangaza kuwa nyumba mpya imepatikana na show itaendelea ‘mwezi ujao’
10 years ago
Bongo Movies16 Sep
Tabora wamkataa msanii Nuh Mziwanda. Wasema hawezi kuwa mume wa Shilole.
Nuh Mziwanda jana alijikuta katika wakati mgumu mjini Tabora baada ya Shilole kuwauliza wakazi wa mkoa huo anakotokea iwapo Nuh Mziwanda anafaa kuwa mume wake.
Shilole ambaye ni mchumba wa Nuh alifunguka mbele ya mashabiki wa Tabora waliokuwa wamefurika kushuhudia show ya Serengeti Fiesta kutaka kujua kama wanamtaka Nuh Mziwanda awe shemeji yao kitu ambacho mashabiki hao walikataa
Mbaya zaidi kwa Nuh, mashabiki hao walimpendekeza DJ Zero kuwa ndiye mwanaume wanayemtaka awe shemeji yao....
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
Msajili wa Vyama vya Siasa: Mrisho Mpoto na Christina Shusho kuwa mabalozi wa kubeba ujumbe wetu wa amani wa “AMANI YETU FAHARI YETU”
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi (katikati) akizungumza na vyombo vya habari mapema leo Oktoba 12 juu ya kuhamasisha Amani pamoja na kuwatangaza rasmi wasanii Mrisho Mpoto (kulia) na Christine Shusho (kushoto) kuwa mabalozi wa amani wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa katika kipindi hiki cha Uchaguzi mkuu, huku wakibeba ujumbe wa “AMANI YETU FAHARI YETU”. (Picha zote na Andrew Chale wa Modewjiblog).
Picha tatu za Jaji Mutungi zikionyesha msisitizo wa suala la Amani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sWN_1dZgEKY/XkVvU503Y-I/AAAAAAALdSM/w9yJU96tvCUEQLqiclCGSqgRcUcHpXA2gCLcBGAsYHQ/s72-c/f1da07a81a96f39df85e55d3e7d35d26.jpg)
SERIKALI YA TANZANIA ITAENDELEA KUENZI KAZI NZURI INAYOFANYWA NA REDIO NCHINI NA DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sWN_1dZgEKY/XkVvU503Y-I/AAAAAAALdSM/w9yJU96tvCUEQLqiclCGSqgRcUcHpXA2gCLcBGAsYHQ/s640/f1da07a81a96f39df85e55d3e7d35d26.jpg)
Leo tasnia ya habari nchini hususani redio, inaungana na wanahabari wengine duniani katika Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Redio Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka ifikapo Februari 13.
Natumia fursa hii kuwapongeza wadau wote wa redio nchini kwa kuendelea kutumia chombo hicho kuwajulisha Watanzania matukio mbalimbali yanayotokea hapa nchini na duniani kwa ujumla.
Aidha, nawahakikishia wadau kuwa Serikali ya Tanzania itaendelea kuenzi mchango na kazi nzuri inayofanywa na redio hapa...