SERIKALI YA TANZANIA ITAENDELEA KUENZI KAZI NZURI INAYOFANYWA NA REDIO NCHINI NA DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sWN_1dZgEKY/XkVvU503Y-I/AAAAAAALdSM/w9yJU96tvCUEQLqiclCGSqgRcUcHpXA2gCLcBGAsYHQ/s72-c/f1da07a81a96f39df85e55d3e7d35d26.jpg)
Leo tasnia ya habari nchini hususani redio, inaungana na wanahabari wengine duniani katika Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Redio Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka ifikapo Februari 13.
Natumia fursa hii kuwapongeza wadau wote wa redio nchini kwa kuendelea kutumia chombo hicho kuwajulisha Watanzania matukio mbalimbali yanayotokea hapa nchini na duniani kwa ujumla.
Aidha, nawahakikishia wadau kuwa Serikali ya Tanzania itaendelea kuenzi mchango na kazi nzuri inayofanywa na redio hapa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Jun
Bilal: Serikali itaendelea kuboresha elimu nchini
SERIKALI imesema kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu, itaendelea kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia ili kutoa elimu bora na inayowatayarisha watanzania kujiajiri na kuajiriwa katika sekta ya umma na sekta binafsi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s72-c/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS MAGUFULI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA NA KUBORESHA MIFUMO NA MIUNDOMBINU YA UTOAJI HUDUMA YA AFYA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s640/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS Dkt. John Magufuli amesema katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Serikali imeweza kuajiri watumishi wapya 13479 wa sekta ya afya sambamba na kuimarisha na kuboresha miundombinu ya huduma za afya za ikiwemo ujenzi na ukarabati wa zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza leo Alhamisi (Februari 20, 2020) Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Madaktari Tanzania, Rais Magufuli alisema Serikali ya Awamu ya Tano...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yihHDlvuKFY/default.jpg)
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka asifu kazi inayofanywa na Shirika la Nyumba (NHC)
Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akipokewa na Felix Maagi Mkurugenzi wa Fedha wa NHC wakati alipowasili kwenye Banda la Shirika hilo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa TANTRADE yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam leo.
Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akizungumza na baadhi ya viongozi wa shirika la nyumba nchini NHC baada ya kuwasili kwenye banda hilo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CcIroERmUZI/XlnuVhLq4zI/AAAAAAALgAk/Bkw3g_lbj2cBGmDAt64qJr3h3FCMjo0egCLcBGAsYHQ/s72-c/47e3fce5-a0ac-49b4-a230-566423910ef2.jpg)
JAFO APONGEZA KAZI KUBWA INAYOFANYWA NA DC JOKATE KATIKA SEKTA YA ELIMU NA AFYA KISARAWE
Akizungumza wakati akifungua kongamano la ‘Mama lishe’ lililowakutanisha mama lishe mbalimbali wilayani humo, Waziri Jafo pia alitumia nafasi hiyo kumpongeza Mkuu wa Wilaya...
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuimarisha mfumo wa utoaji taarifa za Uchumi na fedha kwa wananchi
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Bw. Juma Reli akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari za Fedha na Uchumi (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa semina hiyo jana mjini Bagamoyo, Mkoani Pwani, Kulia ni Mwenyekiti wa washiriki hao Bw. Thomas Chilala na Kushoto ni Meneja Uhusiano na Itifaki wa Benki Hiyo Bi Zalia Mbeo.
Frank Mvungi- Maelezo, Bagamoyo
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuimarisha mfumo wa utoaji taarifa za Uchumi na fedha kwa wananchi ili kuongeza wigo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BIjxrzCuWio/VNyLgPRUDbI/AAAAAAAAGXY/cAkgel_AFqA/s72-c/IMG_4645.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA AONANA NA VIONGOZI NA WAJUMBE WA MFUKO WA CHANGAMOTO ZA MILLENIA (MCAT), AWAPONGEZA KWA KAZI NZURI YA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-BIjxrzCuWio/VNyLgPRUDbI/AAAAAAAAGXY/cAkgel_AFqA/s1600/IMG_4645.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IsaeL-50nZM/VV5Dr1G1aYI/AAAAAAAHY6g/jLJ0psyC70Y/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
BALOZI KAMALA AMSHUKURU MZEE NYAMTARA MUKOME KWA KAZI NZURI ALIYOFANYA UBALOZI WA TANZANIA UBELGIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-IsaeL-50nZM/VV5Dr1G1aYI/AAAAAAAHY6g/jLJ0psyC70Y/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Shirikisho la Muziki Tanzania latoa pongezi kwa Bunge Maalum la Katiba kwa kazi nzuri
Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), Addo November (katikati) akizungumza na waandishi wa habari, wakati akilipongeza Bunge Maalum la Katiba kwa kuingiza katika vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki. Kulia ni Mwanamuziki Kasim Mapili na Samatta Rajabu.
Na Anitha Jonas –Maelezo.
SHIRIKISHO la Muziki Tanzania limetoa pongezi za dhati kwa Bunge Maalum la Katiba lililokuwa likiongozwa na Mwenyekiti wa Bunge hilo Mhe. Samuel Sitta kwa kuingiza Ibara tatu katika Rasimu ya...