Bilal: Serikali itaendelea kuboresha elimu nchini
SERIKALI imesema kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu, itaendelea kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia ili kutoa elimu bora na inayowatayarisha watanzania kujiajiri na kuajiriwa katika sekta ya umma na sekta binafsi.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s72-c/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS MAGUFULI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA NA KUBORESHA MIFUMO NA MIUNDOMBINU YA UTOAJI HUDUMA YA AFYA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s640/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS Dkt. John Magufuli amesema katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Serikali imeweza kuajiri watumishi wapya 13479 wa sekta ya afya sambamba na kuimarisha na kuboresha miundombinu ya huduma za afya za ikiwemo ujenzi na ukarabati wa zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza leo Alhamisi (Februari 20, 2020) Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Madaktari Tanzania, Rais Magufuli alisema Serikali ya Awamu ya Tano...
10 years ago
Habarileo11 Feb
JK: Serikali itaendelea kuboresha hospitali
SERIKALI imesema itaendelea kuboresha sekta ya afya nchini kwa kuboresha zahanati, vituo vya afya, hospitali za wilaya, rufaa na vyuo vinavyotoa taaluma ya uuguzi na udaktari.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sWN_1dZgEKY/XkVvU503Y-I/AAAAAAALdSM/w9yJU96tvCUEQLqiclCGSqgRcUcHpXA2gCLcBGAsYHQ/s72-c/f1da07a81a96f39df85e55d3e7d35d26.jpg)
SERIKALI YA TANZANIA ITAENDELEA KUENZI KAZI NZURI INAYOFANYWA NA REDIO NCHINI NA DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sWN_1dZgEKY/XkVvU503Y-I/AAAAAAALdSM/w9yJU96tvCUEQLqiclCGSqgRcUcHpXA2gCLcBGAsYHQ/s640/f1da07a81a96f39df85e55d3e7d35d26.jpg)
Leo tasnia ya habari nchini hususani redio, inaungana na wanahabari wengine duniani katika Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Redio Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka ifikapo Februari 13.
Natumia fursa hii kuwapongeza wadau wote wa redio nchini kwa kuendelea kutumia chombo hicho kuwajulisha Watanzania matukio mbalimbali yanayotokea hapa nchini na duniani kwa ujumla.
Aidha, nawahakikishia wadau kuwa Serikali ya Tanzania itaendelea kuenzi mchango na kazi nzuri inayofanywa na redio hapa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Nini kifanyike kuboresha elimu nchini?
ELIMU ni njia inayotumiwa na jamii kupitisha maarifa, ujuzi na maadili kutoka kwa kizazi kimoja hadi kingine. Walimu katika taasisi za elimu huratibisha elimu ya wanafunzi wao kupitia masomo ya...
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Kibarua cha kuboresha elimu kwa Serikali ya Dk Magufuli
11 years ago
Mwananchi11 May
Dk Bilal awataka wadau kuchangia elimu nchini
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A3h7TJyGc6g/Xl1llSfRKpI/AAAAAAAAm6M/3y4JZmUFaM4_KJUIz0GXc90xBQ-ELVdcwCLcBGAsYHQ/s72-c/0798f470-e86b-49fc-bc01-9cfff1d5885f.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA METHADONE NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-A3h7TJyGc6g/Xl1llSfRKpI/AAAAAAAAm6M/3y4JZmUFaM4_KJUIz0GXc90xBQ-ELVdcwCLcBGAsYHQ/s320/0798f470-e86b-49fc-bc01-9cfff1d5885f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-V3HOuXNYZ-k/Xl3g-HYgxKI/AAAAAAAAm6w/HLvwSlnjw6AIPSVM3hEqgUOM2ErotygHgCLcBGAsYHQ/s320/6ee185ab-6335-4805-b3ee-8ac5e51bd584.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya Mhe. Oscar Mukasa kwenye picha ya pamoja na mraibu wa madawa ya kulevya anayepata tiba katika kituo cha tiba ya madawa ya kulevya cha Itega Jijini Dodoma,...
10 years ago
Habarileo04 Jun
Serikali kuendelea kuboresha huduma kwa wazee nchini
KUANZISHWA kwa taaluma maalumu za wazee (Geatric Care) katika Chuo Kikuu cha Sayansi Shirikishi cha Muhimbili ni sehemu ya juhudi mbalimbali za serikali za kuboresha huduma kwa wazee.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jxPvF-AblpI/Xrr0WISIvOI/AAAAAAALp-E/0J2_brrMiv8dyPG0NldfX_YLEqFXCaIugCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
Serikali yawakabidhi wavuvi injini za boti kuboresha uvuvi nchini
![](https://1.bp.blogspot.com/-jxPvF-AblpI/Xrr0WISIvOI/AAAAAAALp-E/0J2_brrMiv8dyPG0NldfX_YLEqFXCaIugCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina (wa kwanza kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Kyela ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe injini ya boti iliyotolewa na Serikali kwa ajili ya kikundi cha wavuvi cha Kyela mkoani Mbeya wakati wa hafla ya makabidhiano ya injini hiyo leo jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/0b7cf848-623b-4e88-b0dd-c3eb6aa89a70.jpg)
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina (wa pili kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Mtwara Vijinini Hawa Ghasia (wa kwanza kulia) moja ya injini ya boti kati ya mbili...