Serikali kuendelea kuboresha huduma kwa wazee nchini
KUANZISHWA kwa taaluma maalumu za wazee (Geatric Care) katika Chuo Kikuu cha Sayansi Shirikishi cha Muhimbili ni sehemu ya juhudi mbalimbali za serikali za kuboresha huduma kwa wazee.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A3h7TJyGc6g/Xl1llSfRKpI/AAAAAAAAm6M/3y4JZmUFaM4_KJUIz0GXc90xBQ-ELVdcwCLcBGAsYHQ/s72-c/0798f470-e86b-49fc-bc01-9cfff1d5885f.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA METHADONE NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-A3h7TJyGc6g/Xl1llSfRKpI/AAAAAAAAm6M/3y4JZmUFaM4_KJUIz0GXc90xBQ-ELVdcwCLcBGAsYHQ/s320/0798f470-e86b-49fc-bc01-9cfff1d5885f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-V3HOuXNYZ-k/Xl3g-HYgxKI/AAAAAAAAm6w/HLvwSlnjw6AIPSVM3hEqgUOM2ErotygHgCLcBGAsYHQ/s320/6ee185ab-6335-4805-b3ee-8ac5e51bd584.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya Mhe. Oscar Mukasa kwenye picha ya pamoja na mraibu wa madawa ya kulevya anayepata tiba katika kituo cha tiba ya madawa ya kulevya cha Itega Jijini Dodoma,...
10 years ago
Michuzi03 Sep
NHIF kuendelea kuboresha huduma za afya nchini.
![](https://1.bp.blogspot.com/-T6nqPhNgnEU/VAb_toZEIDI/AAAAAAAAXr4/8lCHWbx5ja8/s1600/Mwamoto.jpg)
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Raphael Mwamoto akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu mpango wa kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko huo Bw. Deusdedit Rutazaa.
![](https://3.bp.blogspot.com/-aJiNXi1xSAU/VAb_ttg8iWI/AAAAAAAAXrg/fPs_Bv3MWOg/s1600/Deusidedit%2BRutazaa.jpg)
Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Deusdedit Rutazaa akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-situcg5PG4c/XvODa1XTiII/AAAAAAALvS0/QKaKdqekTvosbaJjjEBNJZKwC4dwQMc2QCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-no.-1-768x512.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUIUNGA MKONO SERIKALI KWA KUBORESHA HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA HAPA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-situcg5PG4c/XvODa1XTiII/AAAAAAALvS0/QKaKdqekTvosbaJjjEBNJZKwC4dwQMc2QCLcBGAsYHQ/s640/Picha-no.-1-768x512.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel akiwajulia hali wagonjwa wanaotibiwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa ziara yake ya kikazi aliyofanya katika Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuangalia huduma za matibu ya moyo zinazotolewa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Picha-no.-2-1024x806.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel akimsikiliza Msimamizi wa wodi ya watoto Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GO3kWBAoLmA/U331IVh4O8I/AAAAAAAFkds/QwC9hKd8MjM/s72-c/MAJI+1.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MAJI, YAZINDUA MWONGOZO WA UTENDAJI KWA MAMLAKA ZA MAJI NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-GO3kWBAoLmA/U331IVh4O8I/AAAAAAAFkds/QwC9hKd8MjM/s1600/MAJI+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WC6XwrZelSA/U331G3bkx9I/AAAAAAAFkdY/MC3Z_ucX-6M/s1600/MAJI+-2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pPhQ23H-Qu0/VIBgsCtUVZI/AAAAAAACv40/piaxz0ZVTpI/s72-c/01.jpg)
Saudia yaipatia Serikali ya Tanzania zaidi ya Sh. bilioni 45 kuboresha huduma za jamii nchini.
![](http://2.bp.blogspot.com/-pPhQ23H-Qu0/VIBgsCtUVZI/AAAAAAACv40/piaxz0ZVTpI/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EiSnWBWqEwM/VIBgrzFI0xI/AAAAAAACv4w/EFYPJG8KuO8/s1600/02.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s72-c/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS MAGUFULI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA NA KUBORESHA MIFUMO NA MIUNDOMBINU YA UTOAJI HUDUMA YA AFYA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s640/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS Dkt. John Magufuli amesema katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Serikali imeweza kuajiri watumishi wapya 13479 wa sekta ya afya sambamba na kuimarisha na kuboresha miundombinu ya huduma za afya za ikiwemo ujenzi na ukarabati wa zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza leo Alhamisi (Februari 20, 2020) Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Madaktari Tanzania, Rais Magufuli alisema Serikali ya Awamu ya Tano...
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Posta kuendelea kuboresha huduma
SHIRIKA la Posta Tanzania limewaomba watumiaji na wananchi kwa ujumla waendelee kuwa na imani na huduma za posta. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana katika maadhimisho...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JQuVfV7blpA/U1-fPPaQ-oI/AAAAAAAFd78/3OsAH9v86gA/s72-c/Dr-Harrison-Mwakyembe.jpg)
Serikali yadhamiria kuboresha huduma kwa nchi jirani-Mwakyembe
![](http://3.bp.blogspot.com/-JQuVfV7blpA/U1-fPPaQ-oI/AAAAAAAFd78/3OsAH9v86gA/s1600/Dr-Harrison-Mwakyembe.jpg)
Katika kuonyesha...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b3_6SbxawIc/Vkspvn-ZwtI/AAAAAAAIGbM/vkorSoLEObM/s72-c/Sharif%2B01.jpg)
Serikali Kuboresha Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam
Na. Georgina Misama - Maelezo
Serikali inatarajia kuzalisha maji lita milioni 270 kwa siku baada ya kukamilika kwa mradi wa upanuzi wa Chanzo cha Maji cha Ruvu Chini na upanuzi wa mtambo wa kusafishia maji.
Mradi huo unaotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Kimarekani la Millenium Challenge Co-operation umegharimu kiasi cha shilingi bilioni 66.24 na unatarajiwa kukamilika wakati wowote baada ya kukamilika kwa kazi ya kulaza bomba linalosafirisha maji toka Ruvu chini kuja...
Serikali inatarajia kuzalisha maji lita milioni 270 kwa siku baada ya kukamilika kwa mradi wa upanuzi wa Chanzo cha Maji cha Ruvu Chini na upanuzi wa mtambo wa kusafishia maji.
Mradi huo unaotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Kimarekani la Millenium Challenge Co-operation umegharimu kiasi cha shilingi bilioni 66.24 na unatarajiwa kukamilika wakati wowote baada ya kukamilika kwa kazi ya kulaza bomba linalosafirisha maji toka Ruvu chini kuja...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania