Serikali yawakabidhi wavuvi injini za boti kuboresha uvuvi nchini
![](https://1.bp.blogspot.com/-jxPvF-AblpI/Xrr0WISIvOI/AAAAAAALp-E/0J2_brrMiv8dyPG0NldfX_YLEqFXCaIugCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina (wa kwanza kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Kyela ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe injini ya boti iliyotolewa na Serikali kwa ajili ya kikundi cha wavuvi cha Kyela mkoani Mbeya wakati wa hafla ya makabidhiano ya injini hiyo leo jijini Dodoma.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina (wa pili kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Mtwara Vijinini Hawa Ghasia (wa kwanza kulia) moja ya injini ya boti kati ya mbili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ue6j248sCV0/Xru-XHWoQuI/AAAAAAALqCI/sptNgMlmGM4aKoVfmxF-WyvtloyCG-VEwCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LAWASHIKILIA WATUHUMIWA WANNE, LAKAMATA INJINI ZA BOTI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ue6j248sCV0/Xru-XHWoQuI/AAAAAAALqCI/sptNgMlmGM4aKoVfmxF-WyvtloyCG-VEwCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
HUSUSANI VISIWA VYA JUMA, GEMBALE NA ZILAGULA, VILIVYOPO WILAYA YA SENGEREMA, AMBAPO WALIKAMATWA WATUHUMIWA WANNE AMBAO NI;-1. FILBERT KIPARA @...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RxVNoOoAEBI/VSjBYOlWx4I/AAAAAAAHQO8/rjW-jH5SfyM/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
UVUVI ENDELEVU UTAWASAIDIA WAVUVI KUONDOKANA NA UMASKINI - BALOZI MANONGI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-knbfAjs6WsA/VSjgA-lGsKI/AAAAAAADhXA/KGTdbBdDLX4/s72-c/coastal-east-africa-threats-07302012HI_114886.jpg)
UVUVI ENDELEVU UTAWASAIDIA WAVUVI KUONDOKANA NA UMASKINI-BALOZI MANONGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-knbfAjs6WsA/VSjgA-lGsKI/AAAAAAADhXA/KGTdbBdDLX4/s1600/coastal-east-africa-threats-07302012HI_114886.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Adkhy8eTRtk/ViUjhvjY8EI/AAAAAAADBJs/7UO4LrL5xkE/s72-c/3.jpg)
PAMOJA NA KUWAOMBA KURA,MAGUFULI AWAASA WAVUVI KUTOFANYA UVUVI HARAMU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Adkhy8eTRtk/ViUjhvjY8EI/AAAAAAADBJs/7UO4LrL5xkE/s640/3.jpg)
Dk Magufuli akiwahutubia wananchi hao ambao wengi wao ni wavuvi....
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A3h7TJyGc6g/Xl1llSfRKpI/AAAAAAAAm6M/3y4JZmUFaM4_KJUIz0GXc90xBQ-ELVdcwCLcBGAsYHQ/s72-c/0798f470-e86b-49fc-bc01-9cfff1d5885f.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA METHADONE NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-A3h7TJyGc6g/Xl1llSfRKpI/AAAAAAAAm6M/3y4JZmUFaM4_KJUIz0GXc90xBQ-ELVdcwCLcBGAsYHQ/s320/0798f470-e86b-49fc-bc01-9cfff1d5885f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-V3HOuXNYZ-k/Xl3g-HYgxKI/AAAAAAAAm6w/HLvwSlnjw6AIPSVM3hEqgUOM2ErotygHgCLcBGAsYHQ/s320/6ee185ab-6335-4805-b3ee-8ac5e51bd584.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya Mhe. Oscar Mukasa kwenye picha ya pamoja na mraibu wa madawa ya kulevya anayepata tiba katika kituo cha tiba ya madawa ya kulevya cha Itega Jijini Dodoma,...
10 years ago
Habarileo01 Jun
Bilal: Serikali itaendelea kuboresha elimu nchini
SERIKALI imesema kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu, itaendelea kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia ili kutoa elimu bora na inayowatayarisha watanzania kujiajiri na kuajiriwa katika sekta ya umma na sekta binafsi.
10 years ago
Habarileo04 Jun
Serikali kuendelea kuboresha huduma kwa wazee nchini
KUANZISHWA kwa taaluma maalumu za wazee (Geatric Care) katika Chuo Kikuu cha Sayansi Shirikishi cha Muhimbili ni sehemu ya juhudi mbalimbali za serikali za kuboresha huduma kwa wazee.
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Serikali yanunua injini mpya 13
SERIKALI inatarajia kununua vichwa vipya 13 vya treni pamoja na mabehewa 22 ya abiria na mengine 204 ya mizigo. Kauli hiyo ilitolewa juzi bungeni na Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison...