Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LAWASHIKILIA WATUHUMIWA WANNE, LAKAMATA INJINI ZA BOTI

JESHI LA POLISI (M) MWANZA CHINI YA KAMISHENI YA USHIRIKISHWAJI WA UMMA KATIKA KUZUIA VITENDO VYA UHALIFU KWA KUTUMIA MFUMO WA ULINZI SHIRIKISHI KWA  LINAWASHIKILIA WATUHUMIWA 4, IKIWA NI PAMOJA NA KUKAMATA INJINI ZA  BOTI (BOAT) ZA AINA MBALIMBALI 13, HIYO IKIWA NI SEHEMU YA MWENDELEZO WA OPARESHENI KALI DHIDI YA WAHALIFU KATIKA ZIWA VICTORIA.
HUSUSANI VISIWA VYA JUMA, GEMBALE NA ZILAGULA, VILIVYOPO WILAYA YA SENGEREMA, AMBAPO WALIKAMATWA WATUHUMIWA WANNE AMBAO NI;-1. FILBERT KIPARA @...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LAKAMATA WATUHUMIWA WA TUKIO LA MAUAJI, AKIWEMO POLISI

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wanne akiwemo Askari Polisi mmoja namba G.8695 PC JOHN KAIJAGE [34] Mkazi wa Isyesye Jijini Mbeya, FOTUNATUS KAGANDE [23] Mkazi wa Iwambi, PETSON DANIEL [22] Mkazi wa Iwambi na JASTINI KAGANDE [27] Mwanafunzi St.John na Mkazi wa Iwambi kwa tuhuma za kumuua ERASTO MWALWEGO [29] Dereva Pikipiki @ Bodaboda na Mkazi wa Nzovwe.
Ni kwamba mnamo tarehe 20.06.2020 majira ya saa 21:00 Usiku huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “The...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi lawashikilia watuhumiwa kumi na mbili wa wizi wa Makontena

PIX 1

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai  Bw.Diwani Athumani (CP) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo katika picha) jana jijini Dar es Salaam kuhusu uchunguzi wa sakata la watuhumiwa wa wizi wa makontena 329.

PIX 2

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Bw.Diwani Athumani (CP) alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu uchunguzi wa watuhumiwa wa wizi wa makontena kwa Mamlaka ya Bandari na Mamlaka ya Mapato Tanzania.

Na Nyakongo...

 

9 years ago

StarTV

Jeshi la Polisi lawashikilia watu wanne kuhusika na Kifo cha mwenyekiti wa CHADEMA geita

Jeshi la Polisi linawashikilia watu wanne wanaodaiwa kuhusika na kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoani Geita Alphonce Mawazo.

Kifo cha marehemu Mawazo kimetokea jumamosi hii Novemba 14 majira ya saa sita mchana baada ya kuvamiwa na kundi la watu na kuanza kumshambulia kwa silaha za jadi.

Akizungumza na waandishi wa Habari Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita Mponjoli Mwabulambo amesema chanzo cha tukio ni kwamba kulikuwa na mkutano wa...

 

11 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA RUVUMA LAWASHIKILIA ASKARI WAKE WAWILI

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela --------------------------------------------------Na Nathan Mtega,Songea
JESHI la polisi mkoani Ruvuma linawashikilia askari wake wawili kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kumpiga risasi mwendesha piki piki aliyejulikana kwa jina la Salgo Ndunguru(22) mkazi wa Ruvuma mjini Songea.
 Akizungumza kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela amesema tukio hilo limetokea Agosti 26 mwaka huu majira ya saa 12 jioni katika mtaa wa Mfaranyaki mjini...

 

11 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAWASHIKILIA WATU AROBAINI NA TANO KWA MAKOSA MBALIMBALI YA UHALIFU

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi David A. Misime - SACP
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linashikilia arobaini na tano kwa makosa mbalimbali ya uhalifu katika msako wa wahalifu uliofanyika tarehe kati ya tarehe 27/02/2014 hadi 01/03/2014.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi David A. Misime - SACP amesema tarehe 27/02/2014 walikamatwa jumla a watuhumiwa 42 kwa makosa...

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATUHUMIWA NANE KWA KOSA LA KUPATIKANA NA VIFAA VYA KUVUNJIA

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa nane 1. RASHID KAWAYE [46] Mkazi wa tabora magili, 2. EMMANUEL SIMON [30] Mkazi wa Musoma Serengeti 3. JOHN JAMES [35] Dereva na Mkazi wa Iringa Kihesa 4. LOVENESS EDWARD NJAU [27] Mama Ntilie na Mkazi wa Iringa Masasi 5. ALFRED MASUNGA [58] Mkazi wa Dar-es-Salaam 6. JUMA SONGOLO [53] Mkazi wa Dar-es-Salaam 7. EMANUEL TUMBUKA [35] Mkazi wa Shinyanga na 8. MWIGUNE MWAMBEULE [43] Mkazi wa Msaranyaki Songea kwa tuhuma za kupatikana na...

 

5 years ago

Michuzi

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA



JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LINAWASHIKILIA JUMLA YA WATU SITA KWA MAKOSA YA KUPATIKANA NA ZANA HARAMU ZA UVUVI NA KUPATIKANA NA DAWA ZA KULEVYA (MIRUNGI NA BHANGI).
PIA LINACHUNGUZA KAMA KULIKUWA NA UKIUKWAJI
WA MAADILI YA KAZI WAKATI WA UKAMATAJI WA
WATUHUMIWA HAO.
TUKIO LA KWANZA JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LIMEKUWA LIKIFUATILIA TAARIFA MBALIMBALI NA KUZIFANYIA KAZI KWA LENGO LA KUZUIA UHALIFU .TAREHE 05.03.2020 HUKO MAENEO YA BWIRU
WILAYANI ILEMELA, JESHI LA POLISI...

 

9 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI LAKAMATA SILAHA 8 NA RISASI 62

Na. Lilian Lundo - MaelezoJESHI la Polisi kanda maalum ya Dar es salaam imefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 7 wakiwa na  silaha 8  na risasi 62 kwenye msako uliofanyika jijini  Dar es salaam katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Akiongea na waandishi wa habari leo, katika ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Kamishna wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova amesema  wahalifu walidhani kuwa Jeshi la Polisi limeweka nguvu katika uchaguzi mkuu na kusahau kufanya misako...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani