Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA



JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LINAWASHIKILIA JUMLA YA WATU SITA KWA MAKOSA YA KUPATIKANA NA ZANA HARAMU ZA UVUVI NA KUPATIKANA NA DAWA ZA KULEVYA (MIRUNGI NA BHANGI).
PIA LINACHUNGUZA KAMA KULIKUWA NA UKIUKWAJI
WA MAADILI YA KAZI WAKATI WA UKAMATAJI WA
WATUHUMIWA HAO.
TUKIO LA KWANZA JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LIMEKUWA LIKIFUATILIA TAARIFA MBALIMBALI NA KUZIFANYIA KAZI KWA LENGO LA KUZUIA UHALIFU .TAREHE 05.03.2020 HUKO MAENEO YA BWIRU
WILAYANI ILEMELA, JESHI LA POLISI...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.

MNAMO TAREHE 14.08.2015 MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CHADEMA ALIKUJA MKOA WA MBEYA AKIWA AMEANDAMANA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA CUF, NCCR – Mageuzi NA NLD KWA DHUMUNI LA KUMTAMBULISHA NA KUOMBA UDHAMINI WA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA KWA NAFASI YA URAIS.


KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

Taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora,ACP Susan Kaganda.

 

5 years ago

Michuzi

TAARIFA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MWANZA

JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA NDANI YA WIKI HII LLIFANIKIWA KUMKAMATA MTUHUMIWA ALIYETENDA KOSA LA MAUAJI , KUTOROKA NA BAADAE KUKIFICHA KICHWA CHA MAREHEMU KUSIKOJULIKANA BAADA YA KUKIKATA , PIA LINAWASHIKILIA WATU WAWILI KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MTOTO WAO KWA MADAI YA KUIMARISHA MAHUSIANO YA KIMAPENZI..

TUKIO LA KWANZA.
TAREHE 09/03/2020 MAJIRA YA 08:05HRS HUKO MAENEO YA MSITU WA MACHEMBA, KATA YA ISAMILO, WILAYA YA NYAMAGANI, JIJI NA MKOA WA MWANZA, MTOTO WA MTAANI ASIYEFAHAMIKA...

 

10 years ago

Michuzi

5 years ago

Michuzi

TAARIFA YA JESHI LA POLISI KUTOKA MKOA WA MBEYA

Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linafanya msako mkali kumtafuta HAKIMU JAMES MWAKIFUNA miaka [20]Mnyakusa wa Kiwira kwa kosa la Mauaji ya makusudi ya bibi JUNE SANKANYE miaka [65] wa kijiji cha Nkunga Kata ya Nkunga  {T} Ukukwe.
Tukio hili lilitokea tarehe 23/04/2020 saa 05:00 Wilaya ya Rungwe.  Marehemu ambaye ni bibi mzaa baba wa mtuhumiwa walilala nyumba moja.  Huku mtuhumiwa akiwa sebuleni na marehemu amelala chumbani.   
Usiku muda usiojulikana HAKIMU JAMES MWAKIFUNA alichukua kitu chenye...

 

11 years ago

Michuzi

5 years ago

Michuzi

TAARIFA YA JESHI LA POLISI KUTOKA MKOA WA MBEYA



TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI.
KUINGIZA GARI NCHINI BILA KIBALI.
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili BAKARI WALII SEMVUA [31] Mfanyabiashara na mkazi wa Mbagala Jijini Dar -es- Salaam na VICTOR JIMMY BROWN[25] Dereva/fundi, mkazi wa Tabata Segerea Jijini Dar -es- Salaam kwa tuhuma za kuingiza Gari nchini bila kibali.
Watuhumiwa walikamatwa mnamo tarehe 17.03.2020 majira ya saa 19:50 usikuhuko eneo la Mafiati, Kata ya Manga, Tarafa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani