TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s72-c/aaa.png)
MNAMO TAREHE 14.08.2015 MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CHADEMA ALIKUJA MKOA WA MBEYA AKIWA AMEANDAMANA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA CUF, NCCR – Mageuzi NA NLD KWA DHUMUNI LA KUMTAMBULISHA NA KUOMBA UDHAMINI WA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA KWA NAFASI YA URAIS.
KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YTGzYmvIV0s/UwRr7crv9zI/AAAAAAAFN5k/1KKCzcuDgrI/s72-c/IMG_1100.jpg)
11 years ago
Michuzi23 Feb
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ct4c3Jn4iuE/VjEnqDoxtuI/AAAAAAAIDTI/al0zu6g38qo/s72-c/pp.png)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI AREHE 28.10.2015.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ct4c3Jn4iuE/VjEnqDoxtuI/AAAAAAAIDTI/al0zu6g38qo/s640/pp.png)
· JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATU 38 KWA KUFANYA VURUGU NA UHARIBIFU WA MALI WILAYA YA MBOZI.
KATIKA TUKIO LA KWANZA:MNAMO TAREHE 25.10.2015 KUANZIA MAJIRA YA SAA 07:00 ASUBUHI HADI SAA 16:00 JIONI KULIFANYIKA UCHAGUZI MKUU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WABUNGE NA MADIWANI. KATIKA JIMBO LA RUNGWE, NDUGU SAUL H. AMON KWA...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XGhZd99YKeQ/VIw4QNl7W9I/AAAAAAAAZTs/rSLJ7lyDihg/s72-c/David-Misime.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 13/12/2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-XGhZd99YKeQ/VIw4QNl7W9I/AAAAAAAAZTs/rSLJ7lyDihg/s1600/David-Misime.jpg)
Nataka kuwahakikishia wananchi wote wa mkoa wa Dodoma kwamba Polisi tumejipanga vizuri kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola kusimamia usalama siku hiyo. Hivyo wananchi wajitokeze kupiga kura na wala wasiwe na hofu kwani ulinzi utaimarishwa katika vituo vyote vya kupigia kura na maeneo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xJelVDJPykA/VgElZccYZGI/AAAAAAAAuVw/JC5S7scytsI/s72-c/index.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA TAREHE 22.09.2015.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIJESHI LA POLISI TANZANIA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-xJelVDJPykA/VgElZccYZGI/AAAAAAAAuVw/JC5S7scytsI/s1600/index.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI
· WATU WAWILI WAFARIKI DUNIA BAADA YA BAJAJI WALIYOKUWA WAKISAFIRIA KUGONGA GARI.
· MTU MMOJA AFARIKI DUNIA NA WENGINE KUJERUHIWA BAADA YA BAJAJI WALIYOKUWA WAKISAFIRIA KUACHA NJIA NA KUPINDUKA.
· MTU MMOJA AFARIKI DUNIA NA WENGINE KUJERUHIWA BAADA YA BASI MALI YA KAMPUNI YA SAI BABA KUGONGA LORI LILILOKUWA...
10 years ago
Michuzi27 Jan
10 years ago
Michuzi18 May
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania