MHUBIRI WA KIMATAIFA DK MUNROE AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA NDEGE
Katika ajali hiyo, ndege ndogo waliyokuwa wakisafiria iligonga winchi na kulipuka wakati ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Grand Bahama.
Dk. Munroe ambaye pia alikuwa mzungumzaji maarufu wa mambo ya uongozi na biashara duniani, Oktoba 21, mwaka huu alitoa somo kwa viongozi mbalimbali nchini katika mkutano wake mkubwa uliofanyika...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WXKQIZtETdQAciz*2iv7x5iHL9ePwDXLCFvFrJfnES0759uDsdzXHH1AdpOMai1IulKgBkRsu*6Bx*GeMsN9hIiXiqlZelz9/munroe.jpg)
DK MUNROE AFARIKI DUNIA KWA AJALI
10 years ago
VijimamboMKE WA MWANAHABARI WA KAMPUNI YA GUARDIAN NA NIPASHE, THOBIAS MWANAKATWE AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI NJE YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM JANA
Dotto Mwaibale
MWANAHABARI wa Kampuni ya The Guardian na Nipashe, Thobias Mwanakatwe, amepoteza mke wake baada ya kugongwa na gari eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam jana usimu majira ya saa 2;30.
Akizungumza na mtandao wa www.habari za jamii.com. Mwanakatwe amesema kifo cha ghafla cha mke wake ni pigo kubwa kwake na familia...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Mwongozaji wa filamu maarufu nchini George Tyson Afariki dunia kwa ajali ya gari Morogoro
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema mongozaji wa filamu maarufu nchini George Otieno Tyson (Pichani) amefariki dunia kwa ajali ya gari huko Morogoro.
Taarifa hizi ambazo zimethibitishwa na watu wa karibu yake zinasema kuwa, mauti haya yamemfika baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali na kupinduka walipokuwa wameenda kwa ajili ya kipindi cha The mboni show ambacho yeye alikuwa ndiye muongozaji mkuu.
Wasanii na mastaa mbalimbali nchini wameoneshwa masikitiko yako juu ya...
10 years ago
Vijimambo10 Aug
Mbunge wa Viti maalumu CUF, Mama Clara Diana Mwatuka afariki Dunia kwa ajali!
![](http://www.bungemaalum.go.tz/files/members/c29d6388c9b9c3df8108dfb097a0b176.jpg)
Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu CUF mama Mwatuka amefariki dunia baada ya gari lake kupinduka lilipokuwa linashuka Makonde Plateu kuja Ndanda.Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake,ambaye inasemekana ni mwanae.Maiti ipo chumba cha maiti Hospitali ya Rufaa, Ndanda Regional Referral hospital.
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xft1/v/t1.0-9/p160x160/11811391_497680753741077_5479242452651876403_n.jpg?oh=0fdaff60cadd649648564a2e6898cf6f&oe=5684018D&__gda__=1448296863_1785c8e337c16723925f4198373e4a9a)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t34.0-12/s851x315/11855310_497675887074897_780490772_n.jpg?oh=f840d175f4aa0d77657654d482ac32cd&oe=55C96074)
9 years ago
Bongo516 Oct
Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe afariki dunia kwa ajali ya helikopta, abiria wote wamepoteza maisha
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hK40Tw8fbBA/VfT-XdeDLwI/AAAAAAABVGU/lET4u0Vxl2I/s72-c/Mohamed%2BMtoi.jpg)
MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LUSHOTO KWA CHAMA CHA CHADEMA MOHAMMED MTOI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA GARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hK40Tw8fbBA/VfT-XdeDLwI/AAAAAAABVGU/lET4u0Vxl2I/s640/Mohamed%2BMtoi.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AbJBh7I_UsY/VfT-ou140dI/AAAAAAABVGc/rwvnSDmrjMw/s640/IMG-20150912-WA0193.jpg)
Mungu aiweke roho ya Marehemu Mohamed Mtoi Kanyawana mahali Pema Peponi
9 years ago
BBCSwahili17 Oct
Mbunge afariki katika ajali ya ndege Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Lp7ZMpIVo9E/VDdqi26mHHI/AAAAAAAGo6A/hqYb7RJ7mEs/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
TANZIA: OMAR NDEGE MGORI AFARIKI DUNIA NCHINI INDIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lp7ZMpIVo9E/VDdqi26mHHI/AAAAAAAGo6A/hqYb7RJ7mEs/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Kwa taraarifa zaidi wasiliana na :
0718066661 - Jaji Mgori0787523152 - Tumaini Mgori+199869103747 - Mohammed Mgori
11 years ago
Michuzi09 Aug
RPC NJOMBE APATA AJALI NA MLINZI WAKE AFARIKI DUNIA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![](https://2.bp.blogspot.com/-dUOnkpsCdNo/U-Xqdll8BJI/AAAAAAAAPR4/18TnRNuxqqg/s1600/RPC+NJOMBE.jpg)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/ziDrh1gZnhhNXj6ins3vVXBdnmgWt6PaYLbBTll8WEO01yzbxpt2YoU6IiSfucRn8hqhzrgSJKVc5Y7-EaE4-uHpWphtVPnOPvm1fCKjPW2Vjr-AXKuAQqs_ktEDcevncAOL2ycbkq9Qti7M_yjQES9ce9eOvtLxY1dyO5ovhAujhkSnD2qCFJxv2vDBpS-glAWZiTFaa7cLD39KlxX07w0_JSt_chUrOGbRaKg-xbA_pShJqlyHkSJhGMjXCfN8hXPyERkelMbGTGHRZSjtHxk9TxgXOku_JvTThTKyY2iZ7S4Uh5MY_DHP9wMwoMnJGAV1KFtJYUv5JW5tnCCxVg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-dQZJvo8tOBA%2FU-YWgzjBBcI%2FAAAAAAAABKM%2Fy4oHTDzv7Wk%2Fs1600%2FNGONYANI.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
KAMANDA wa polisi Mkoa wa Njombe SACP Fulgence Ngonyani pamoja na dereva wake Nuaka Seme wamelazwa katika hispitari ya Mkoa wa Njombe ya kibena ambako wanaendelea kupatiwa matibabu kufuatia ajali iliyotokea usiku wa kuamkia jana katika eneo la kiwanda cha Miwati (TANWAT) ambapo katika ajali hiyo askari mwenye cheo cha "constable" alifariki dunia papo hapo.
Akiongea na vyombo vya habari huku akipatiwa...