RPC NJOMBE APATA AJALI NA MLINZI WAKE AFARIKI DUNIA
Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe ASP Fulgence Ngonyani.
Na James Festo, Njombe.
KAMANDA wa polisi Mkoa wa Njombe SACP Fulgence Ngonyani pamoja na dereva wake Nuaka Seme wamelazwa katika hispitari ya Mkoa wa Njombe ya kibena ambako wanaendelea kupatiwa matibabu kufuatia ajali iliyotokea usiku wa kuamkia jana katika eneo la kiwanda cha Miwati (TANWAT) ambapo katika ajali hiyo askari mwenye cheo cha "constable" alifariki dunia papo hapo.
Akiongea na vyombo vya habari huku akipatiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Aug
RPC anusurika kifo, mlinzi wake afa
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Fulgence Ngonyani na dereva wake, Nuaka Seme wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Njombe ya Kibena baada ya kupata ajali ya gari iliyomuua mlinzi wa kamanda huyo, usiku wa kuamkia jana, eneo la kiwanda cha miwati (TANWAT).
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Mlinzi wa Osama bin Laden afariki dunia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WXKQIZtETdQAciz*2iv7x5iHL9ePwDXLCFvFrJfnES0759uDsdzXHH1AdpOMai1IulKgBkRsu*6Bx*GeMsN9hIiXiqlZelz9/munroe.jpg)
DK MUNROE AFARIKI DUNIA KWA AJALI
10 years ago
CloudsFM10 Nov
MHUBIRI WA KIMATAIFA DK MUNROE AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA NDEGE
Katika ajali hiyo, ndege ndogo waliyokuwa wakisafiria iligonga winchi na kulipuka wakati ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Grand Bahama.
Dk. Munroe ambaye pia alikuwa mzungumzaji maarufu wa mambo ya uongozi na biashara duniani, Oktoba 21, mwaka huu alitoa somo kwa viongozi mbalimbali nchini katika mkutano wake mkubwa uliofanyika...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-udwwmM2Lj_o/U9QYVboCf0I/AAAAAAAAGZc/jg9YsjujYu0/s72-c/10553526_756905191039135_7730910252157411488_n.jpg)
MPIGANAJI HENRY LYIMO (KIPESE) WA MOSHI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA PIKIPIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-udwwmM2Lj_o/U9QYVboCf0I/AAAAAAAAGZc/jg9YsjujYu0/s1600/10553526_756905191039135_7730910252157411488_n.jpg)
TASNIA ya Habari na michezo mkoani Kilimanjaro imepata pigo kufuatia kifo cha ghafla cha Mtangazaji wa kituo cha radio cha Moshi FM Henry Lyimo, maarufu kama Kipese. Marehemu Kipese amefariki dunia usiku wa jana akiwa njiani akitokea Rombo katika eneo la njia Panda, Himo, baada ya pikipiki aliyokuwa akitumia kugongana na pikipiki nyingine.
Taarifa za awali zinasema Marehemu Kipese alikuwa akitokea wilayani Rombo ambako amekuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oB6VN1Gekgc/UuyxT9n0WII/AAAAAAAFKDw/szxxmwArUfE/s72-c/New+Picture+(2).bmp)
MWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BARABARANI JIJINI MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oB6VN1Gekgc/UuyxT9n0WII/AAAAAAAFKDw/szxxmwArUfE/s1600/New+Picture+(2).bmp)
MWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BARABARANI.
gari ambalo halikuweza kufahamika namba zake za usajili wala jina la dereva wake lilimgonga mtembea kwa miguu mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi mbuyuni aliyetambulika kwa jina la daima faida (08) mkazi wa mbuyuni na kusababisha kifo chake papo hapo. ajali hiyo ilitokea majira ya saa 06:55hrs asubuhi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-rdGHlq3uWHU/Xt-jfWV4n5I/AAAAAAAAzfE/1fUu2n7hCVYfqqU3LuUeVyuybf-MjxqNACLcBGAsYHQ/s72-c/Burundi-s-President-Pierre-Nkurunziza-1.jpg)
RAIS ALIYEMALIZA MUDA WAKE WA BURUNDI AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rdGHlq3uWHU/Xt-jfWV4n5I/AAAAAAAAzfE/1fUu2n7hCVYfqqU3LuUeVyuybf-MjxqNACLcBGAsYHQ/s400/Burundi-s-President-Pierre-Nkurunziza-1.jpg)
Kulingana na msemaji wa serikali, balozi Willy Nyamitwe, Rais Pierre Nkurunziza amefariki kwa mshtuko wa moyo kinyume na uvumi unaoenezwa.
Serikali ya Burundi imetangaza siku saba za maombolezi na anatuma risala za ramirambi kwa familia.
Rais Pierre Nkurunziza...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cGo6tZ2Pjx0/U75Oi6usarI/AAAAAAAF0b0/u1pMXJPCeAM/s72-c/0e181b0c2373127091efa71e90b76a5b.jpg)
basi la amani lapata ajali maeneo ya salanda mkoani tabora, mtoto mmoja afariki dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-cGo6tZ2Pjx0/U75Oi6usarI/AAAAAAAF0b0/u1pMXJPCeAM/s1600/0e181b0c2373127091efa71e90b76a5b.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aeQujKkzX2k/U75OiVqolsI/AAAAAAAF0bo/GMrp1GiZGG4/s1600/02882a9c9d41a00666fe4ed394af84cc.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-h7G-T9q1rPI/U75Oi_x4OAI/AAAAAAAF0bs/OyMTnXPua5I/s1600/6899959f0968195d98ac10d9fea7d3da.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-edeMEgxlOfc/U75OkY_PM1I/AAAAAAAF0b4/WcN2WY7uezc/s1600/acd0b12d117431f12389153f5e5d5207.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JHIHHBt42YI/U75OlD2nptI/AAAAAAAF0cI/FYlV4XJTJjI/s1600/d7f7190b8f9412af2688c736446d16cd.jpg)
10 years ago
Vijimambo10 Aug
Mbunge wa Viti maalumu CUF, Mama Clara Diana Mwatuka afariki Dunia kwa ajali!
![](http://www.bungemaalum.go.tz/files/members/c29d6388c9b9c3df8108dfb097a0b176.jpg)
Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu CUF mama Mwatuka amefariki dunia baada ya gari lake kupinduka lilipokuwa linashuka Makonde Plateu kuja Ndanda.Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake,ambaye inasemekana ni mwanae.Maiti ipo chumba cha maiti Hospitali ya Rufaa, Ndanda Regional Referral hospital.
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xft1/v/t1.0-9/p160x160/11811391_497680753741077_5479242452651876403_n.jpg?oh=0fdaff60cadd649648564a2e6898cf6f&oe=5684018D&__gda__=1448296863_1785c8e337c16723925f4198373e4a9a)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t34.0-12/s851x315/11855310_497675887074897_780490772_n.jpg?oh=f840d175f4aa0d77657654d482ac32cd&oe=55C96074)