Mlinzi wa Osama bin Laden afariki dunia
Taarifa kutoka Yemen zinasema aliyekuwa mlinzi wa Osama Bin Laden, amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Huyu ndiye mwanajeshi aliyemuua Osama bin Laden
Mwanajeshi aliyemuua Osama bin Laden ametambulika kwa mara ya kwanza jana. Anaitwa Rob O’Neill, 38, aliyewahi kufanya mission za kijeshi zaidi ya 400. Baba yake, Tom O’Neill anasema: “Watu wanauliza kama tunaogopa kwamba ISIS watakuja na kututeka kwasababu Rob anafahamika sasa. Nasema nitachora target kubwa kwenye mlango wangu wa mbele na kusema ‘njooni mtuteke’. O’Neill […]
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Imran Khan akosolewa baada ya kumuita Osama Bin Laden mfiadini (shahidi)
Upinzani Pakistan wamkaba koo Imran Khan, ambaye amesemakuwa Marekani ilimuua aliyetekeleza mauaji ya 9/11.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Q5UNqMz*p7AYFS5SjVhG3IMG3*SUa02aHINbagJ2k*M3yrDqvY*IPnZaPP6R8zTKZpDDdRicqr9uTsPZDMsc74/BREAKING.gif)
TANZIA: MUFTI ISSA BIN SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA
Mufti Issa Bin Shaaban Simba enzi za uhai wake. Mufti Issa Bin Shaaban Simba akiwa na…
11 years ago
Michuzi09 Aug
RPC NJOMBE APATA AJALI NA MLINZI WAKE AFARIKI DUNIA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![](https://2.bp.blogspot.com/-dUOnkpsCdNo/U-Xqdll8BJI/AAAAAAAAPR4/18TnRNuxqqg/s1600/RPC+NJOMBE.jpg)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/ziDrh1gZnhhNXj6ins3vVXBdnmgWt6PaYLbBTll8WEO01yzbxpt2YoU6IiSfucRn8hqhzrgSJKVc5Y7-EaE4-uHpWphtVPnOPvm1fCKjPW2Vjr-AXKuAQqs_ktEDcevncAOL2ycbkq9Qti7M_yjQES9ce9eOvtLxY1dyO5ovhAujhkSnD2qCFJxv2vDBpS-glAWZiTFaa7cLD39KlxX07w0_JSt_chUrOGbRaKg-xbA_pShJqlyHkSJhGMjXCfN8hXPyERkelMbGTGHRZSjtHxk9TxgXOku_JvTThTKyY2iZ7S4Uh5MY_DHP9wMwoMnJGAV1KFtJYUv5JW5tnCCxVg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-dQZJvo8tOBA%2FU-YWgzjBBcI%2FAAAAAAAABKM%2Fy4oHTDzv7Wk%2Fs1600%2FNGONYANI.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
KAMANDA wa polisi Mkoa wa Njombe SACP Fulgence Ngonyani pamoja na dereva wake Nuaka Seme wamelazwa katika hispitari ya Mkoa wa Njombe ya kibena ambako wanaendelea kupatiwa matibabu kufuatia ajali iliyotokea usiku wa kuamkia jana katika eneo la kiwanda cha Miwati (TANWAT) ambapo katika ajali hiyo askari mwenye cheo cha "constable" alifariki dunia papo hapo.
Akiongea na vyombo vya habari huku akipatiwa...
10 years ago
Kayihura12 Jul
Jamil Mukulu is our Bin Laden
News24
New Vision
THE Inspector General of Police (IGP) Gen Kale Kayihura today paraded Jamil Mukulu, the leader of Allied Democratic Forces (ADF) the Ugandan rebel group accused of orchestrating massacres in Uganda and DRC. Mukulu was paraded at Jinja police ...
Islamist rebel handed over to Uganda from Tanzania: army spokesmanReuters Africa
Tanzania extradites Uganda Islamist leader accused of war crimesMail & Guardian Africa
Opposition leader Jamil...
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Wapingana kuhusu muuaji wa Bin Laden
Kumeibuka utata juu ya askari yupi alimuua Osama Bin Laden katika shambulio lililofanyika katika makaazi yake
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Mkwewe Bin Laden maisha jela
Mkwewe aliyekuwa kiongozi wa al-Qaeda,Osama bin-Laden amehukumiwa kifungo cha maisha na mahakama mjini New York.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83022000/jpg/_83022211_025938721-1.jpg)
Ex-Bin Laden aide sentenced to life
Ex-aide to Osama Bin Laden, Khalid al-Fawwaz, is sentenced to life in US prison for 1998 US embassy bombings in east Africa that killed 224 people.
9 years ago
BBCSwahili15 Aug
Al Qaeda:Mwana wa Bin Laden atoa ujumbe
Kundi la kigaidi la A Qaeda limetoa ujumbe wa sauti ambao unadai kwamba umetoka kwa Hamza Bin Laden ,mwana wa Osama Bin Laden.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania