Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlinzi wa Osama bin Laden afariki dunia

Taarifa kutoka Yemen zinasema aliyekuwa mlinzi wa Osama Bin Laden, amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Huyu ndiye mwanajeshi aliyemuua Osama bin Laden

Mwanajeshi aliyemuua Osama bin Laden ametambulika kwa mara ya kwanza jana. Anaitwa Rob O’Neill, 38, aliyewahi kufanya mission za kijeshi zaidi ya 400. Baba yake, Tom O’Neill anasema: “Watu wanauliza kama tunaogopa kwamba ISIS watakuja na kututeka kwasababu Rob anafahamika sasa. Nasema nitachora target kubwa kwenye mlango wangu wa mbele na kusema ‘njooni mtuteke’. O’Neill […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Imran Khan akosolewa baada ya kumuita Osama Bin Laden mfiadini (shahidi)

Upinzani Pakistan wamkaba koo Imran Khan, ambaye amesemakuwa Marekani ilimuua aliyetekeleza mauaji ya 9/11.

 

10 years ago

GPL

TANZIA: MUFTI ISSA BIN SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA

Mufti Issa Bin Shaaban Simba enzi za uhai wake. Mufti Issa Bin Shaaban Simba akiwa na…

 

11 years ago

Michuzi

RPC NJOMBE APATA AJALI NA MLINZI WAKE AFARIKI DUNIA

Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe ASP Fulgence Ngonyani. Na James Festo, Njombe.

KAMANDA wa polisi Mkoa wa Njombe SACP Fulgence Ngonyani  pamoja na dereva wake Nuaka Seme  wamelazwa katika hispitari ya Mkoa wa Njombe ya kibena ambako wanaendelea  kupatiwa matibabu kufuatia ajali iliyotokea usiku wa kuamkia  jana katika eneo la kiwanda cha Miwati (TANWAT) ambapo katika ajali hiyo askari mwenye cheo cha "constable" alifariki dunia papo hapo.

Akiongea na vyombo vya habari  huku akipatiwa...

 

10 years ago

Kayihura

Jamil Mukulu is our Bin Laden


News24
Jamil Mukulu is our Bin Laden - Kayihura
New Vision
THE Inspector General of Police (IGP) Gen Kale Kayihura today paraded Jamil Mukulu, the leader of Allied Democratic Forces (ADF) the Ugandan rebel group accused of orchestrating massacres in Uganda and DRC. Mukulu was paraded at Jinja police ...
Islamist rebel handed over to Uganda from Tanzania: army spokesmanReuters Africa
Tanzania extradites Uganda Islamist leader accused of war crimesMail & Guardian Africa
Opposition leader Jamil...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapingana kuhusu muuaji wa Bin Laden

Kumeibuka utata juu ya askari yupi alimuua Osama Bin Laden katika shambulio lililofanyika katika makaazi yake

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkwewe Bin Laden maisha jela

Mkwewe aliyekuwa kiongozi wa al-Qaeda,Osama bin-Laden amehukumiwa kifungo cha maisha na mahakama mjini New York.

 

10 years ago

BBC

Ex-Bin Laden aide sentenced to life

Ex-aide to Osama Bin Laden, Khalid al-Fawwaz, is sentenced to life in US prison for 1998 US embassy bombings in east Africa that killed 224 people.

 

9 years ago

BBCSwahili

Al Qaeda:Mwana wa Bin Laden atoa ujumbe

Kundi la kigaidi la A Qaeda limetoa ujumbe wa sauti ambao unadai kwamba umetoka kwa Hamza Bin Laden ,mwana wa Osama Bin Laden.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani