Picha: Huyu ndiye mwanajeshi aliyemuua Osama bin Laden
Mwanajeshi aliyemuua Osama bin Laden ametambulika kwa mara ya kwanza jana. Anaitwa Rob O’Neill, 38, aliyewahi kufanya mission za kijeshi zaidi ya 400. Baba yake, Tom O’Neill anasema: “Watu wanauliza kama tunaogopa kwamba ISIS watakuja na kututeka kwasababu Rob anafahamika sasa. Nasema nitachora target kubwa kwenye mlango wangu wa mbele na kusema ‘njooni mtuteke’. O’Neill […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Mlinzi wa Osama bin Laden afariki dunia
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Imran Khan akosolewa baada ya kumuita Osama Bin Laden mfiadini (shahidi)
10 years ago
Kayihura12 Jul
Jamil Mukulu is our Bin Laden
News24
New Vision
THE Inspector General of Police (IGP) Gen Kale Kayihura today paraded Jamil Mukulu, the leader of Allied Democratic Forces (ADF) the Ugandan rebel group accused of orchestrating massacres in Uganda and DRC. Mukulu was paraded at Jinja police ...
Islamist rebel handed over to Uganda from Tanzania: army spokesmanReuters Africa
Tanzania extradites Uganda Islamist leader accused of war crimesMail & Guardian Africa
Opposition leader Jamil...
10 years ago
Bongo523 Oct
Picha: Mrembo huyu wa kizungu ndiye mpenzi wa Adam Nditi!
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83022000/jpg/_83022211_025938721-1.jpg)
Ex-Bin Laden aide sentenced to life
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Mkwewe Bin Laden maisha jela
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Wapingana kuhusu muuaji wa Bin Laden
9 years ago
Bongo514 Nov
Mrembo huyu ndiye sababu iliyomfanya Nisher awe kimya? (Picha)
![12237118_1529233004034970_1250876929_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237118_1529233004034970_1250876929_n-300x194.jpg)
Muongozaji wa video, Nisher amemweka wazi mpenzi wake.
Nisher aliyewahi kushinda tuzo za muongozaji wa video zinazopendwa kwenye Tuzo za Watu, amemweka wazi mrembo huyo kwenye Instagram.
Kwa wengi mrembo huyo anaweza kuwa ndio sababu ya ukimya wake kwenye uongozaji wa video. Hivi karibuni muongozaji huyo mwenye makazi yake jijini Arusha alidai kuwa anafikiria kuoa na pengine mpango huo unaweza kufanyika mapema zaidi.
“Umri wangu unaenda,” Nisher aliiambia Bongo5, September 12 mwaka...
9 years ago
BBCSwahili15 Aug
Al Qaeda:Mwana wa Bin Laden atoa ujumbe