Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Huyu ndiye mwanajeshi aliyemuua Osama bin Laden

Mwanajeshi aliyemuua Osama bin Laden ametambulika kwa mara ya kwanza jana. Anaitwa Rob O’Neill, 38, aliyewahi kufanya mission za kijeshi zaidi ya 400. Baba yake, Tom O’Neill anasema: “Watu wanauliza kama tunaogopa kwamba ISIS watakuja na kututeka kwasababu Rob anafahamika sasa. Nasema nitachora target kubwa kwenye mlango wangu wa mbele na kusema ‘njooni mtuteke’. O’Neill […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mlinzi wa Osama bin Laden afariki dunia

Taarifa kutoka Yemen zinasema aliyekuwa mlinzi wa Osama Bin Laden, amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Imran Khan akosolewa baada ya kumuita Osama Bin Laden mfiadini (shahidi)

Upinzani Pakistan wamkaba koo Imran Khan, ambaye amesemakuwa Marekani ilimuua aliyetekeleza mauaji ya 9/11.

 

10 years ago

Kayihura

Jamil Mukulu is our Bin Laden


News24
Jamil Mukulu is our Bin Laden - Kayihura
New Vision
THE Inspector General of Police (IGP) Gen Kale Kayihura today paraded Jamil Mukulu, the leader of Allied Democratic Forces (ADF) the Ugandan rebel group accused of orchestrating massacres in Uganda and DRC. Mukulu was paraded at Jinja police ...
Islamist rebel handed over to Uganda from Tanzania: army spokesmanReuters Africa
Tanzania extradites Uganda Islamist leader accused of war crimesMail & Guardian Africa
Opposition leader Jamil...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Mrembo huyu wa kizungu ndiye mpenzi wa Adam Nditi!

Mchezaji Mtanzania wa aliyekuwa akichezea timu ya vijana ya Chelsea, Adam Nditi amemweka wazi mpenzi wake. Msichana huyo anaitwa Melissa Kerwood. Adam Nditi akiwa na Melissa Kerwood Kupitia ukurasa wa Twitter, Adam amemwandikia mrembo huyo ujumbe huu kumpongeza kwenye siku yake ya kuzaliwa: Happy Birthday to my beautiful girlfriend @Melissa_kerwood Hope your day is as […]

 

10 years ago

BBC

Ex-Bin Laden aide sentenced to life

Ex-aide to Osama Bin Laden, Khalid al-Fawwaz, is sentenced to life in US prison for 1998 US embassy bombings in east Africa that killed 224 people.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkwewe Bin Laden maisha jela

Mkwewe aliyekuwa kiongozi wa al-Qaeda,Osama bin-Laden amehukumiwa kifungo cha maisha na mahakama mjini New York.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapingana kuhusu muuaji wa Bin Laden

Kumeibuka utata juu ya askari yupi alimuua Osama Bin Laden katika shambulio lililofanyika katika makaazi yake

 

9 years ago

Bongo5

Mrembo huyu ndiye sababu iliyomfanya Nisher awe kimya? (Picha)

12237118_1529233004034970_1250876929_n

Muongozaji wa video, Nisher amemweka wazi mpenzi wake.

12237118_1529233004034970_1250876929_n

Nisher aliyewahi kushinda tuzo za muongozaji wa video zinazopendwa kwenye Tuzo za Watu, amemweka wazi mrembo huyo kwenye Instagram.

12063030_1530223823934828_471941929_n

Kwa wengi mrembo huyo anaweza kuwa ndio sababu ya ukimya wake kwenye uongozaji wa video. Hivi karibuni muongozaji huyo mwenye makazi yake jijini Arusha alidai kuwa anafikiria kuoa na pengine mpango huo unaweza kufanyika mapema zaidi.

11348237_1503111093350453_1728178375_n

“Umri wangu unaenda,” Nisher aliiambia Bongo5, September 12 mwaka...

 

9 years ago

BBCSwahili

Al Qaeda:Mwana wa Bin Laden atoa ujumbe

Kundi la kigaidi la A Qaeda limetoa ujumbe wa sauti ambao unadai kwamba umetoka kwa Hamza Bin Laden ,mwana wa Osama Bin Laden.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani