Picha: Mrembo huyu wa kizungu ndiye mpenzi wa Adam Nditi!
Mchezaji Mtanzania wa aliyekuwa akichezea timu ya vijana ya Chelsea, Adam Nditi amemweka wazi mpenzi wake. Msichana huyo anaitwa Melissa Kerwood. Adam Nditi akiwa na Melissa Kerwood Kupitia ukurasa wa Twitter, Adam amemwandikia mrembo huyo ujumbe huu kumpongeza kwenye siku yake ya kuzaliwa: Happy Birthday to my beautiful girlfriend @Melissa_kerwood Hope your day is as […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Nov
Mrembo huyu ndiye sababu iliyomfanya Nisher awe kimya? (Picha)
![12237118_1529233004034970_1250876929_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237118_1529233004034970_1250876929_n-300x194.jpg)
Muongozaji wa video, Nisher amemweka wazi mpenzi wake.
Nisher aliyewahi kushinda tuzo za muongozaji wa video zinazopendwa kwenye Tuzo za Watu, amemweka wazi mrembo huyo kwenye Instagram.
Kwa wengi mrembo huyo anaweza kuwa ndio sababu ya ukimya wake kwenye uongozaji wa video. Hivi karibuni muongozaji huyo mwenye makazi yake jijini Arusha alidai kuwa anafikiria kuoa na pengine mpango huo unaweza kufanyika mapema zaidi.
“Umri wangu unaenda,” Nisher aliiambia Bongo5, September 12 mwaka...
9 years ago
Bongo514 Dec
Q-Chief amezama kwa mrembo huyu? (Picha)
![12277431_527519090736493_1118762771_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12277431_527519090736493_1118762771_n-300x194.jpg)
Huenda Q Chief akawa amezama kwenye penzi zito na mrembo huyu na anataka kila mtu ajue.
Mwimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Mkungu wa Ndizi’ hivi baribuni akiwa na TID, aliposti picha katika mtandao wa Instagram akila denda na msichana huyo.
Hivi karibuni Q Chief alinukuliwa na vyombo vya habari akisema, ameamua kuingia kwenye maisha ya ndoa baada ya kuona mwanamke aliye naye ameweza kumsaidia kumuondoa katika matatizo yaliyokuwa yakimkabili.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi...
10 years ago
Bongo505 Dec
Kristina Pimenova: Mtoto wa miaka 9 ndiye msichana mrembo zaidi duniani (picha)
10 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Huyu ndiye mwanajeshi aliyemuua Osama bin Laden
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa?
Katika maisha kila mtu ana malengo na mipango yake, hata tukija katika ishu za kutafuta mchumba au kuoa kila mtu ana vigezo vyake, basi mimekutana na kigezo cha mmoja kati ya rapper wakali kutoka Nigeria ambaye jina lake la kuzaliwa ni Jude Abaga ila mtaani anafahamika kama Mr Incredible (MI). MI Abaga ambaye ni CEO wa […]
The post Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa? appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5Ach5PTx-AyCiU*Cv-me1Ivd71WNu1DW0RVTb9v991BMvXymSK-JBCm1lbTPsV60ecAwE4Md7MZnFjx*YmrwoGtS/1.jpg?width=650)
USIOMBE YAKUKUTE YALIYOMTOKEA MREMBO HUYU
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Je,huyu ndio mwanamke mrembo duniani?
10 years ago
Bongo520 Aug
Picha: Belle 9 aenda Ujerumani kula bata na warembo wa kizungu