Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Mrembo huyu wa kizungu ndiye mpenzi wa Adam Nditi!

Mchezaji Mtanzania wa aliyekuwa akichezea timu ya vijana ya Chelsea, Adam Nditi amemweka wazi mpenzi wake. Msichana huyo anaitwa Melissa Kerwood. Adam Nditi akiwa na Melissa Kerwood Kupitia ukurasa wa Twitter, Adam amemwandikia mrembo huyo ujumbe huu kumpongeza kwenye siku yake ya kuzaliwa: Happy Birthday to my beautiful girlfriend @Melissa_kerwood Hope your day is as […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mrembo huyu ndiye sababu iliyomfanya Nisher awe kimya? (Picha)

12237118_1529233004034970_1250876929_n

Muongozaji wa video, Nisher amemweka wazi mpenzi wake.

12237118_1529233004034970_1250876929_n

Nisher aliyewahi kushinda tuzo za muongozaji wa video zinazopendwa kwenye Tuzo za Watu, amemweka wazi mrembo huyo kwenye Instagram.

12063030_1530223823934828_471941929_n

Kwa wengi mrembo huyo anaweza kuwa ndio sababu ya ukimya wake kwenye uongozaji wa video. Hivi karibuni muongozaji huyo mwenye makazi yake jijini Arusha alidai kuwa anafikiria kuoa na pengine mpango huo unaweza kufanyika mapema zaidi.

11348237_1503111093350453_1728178375_n

“Umri wangu unaenda,” Nisher aliiambia Bongo5, September 12 mwaka...

 

9 years ago

Bongo5

Q-Chief amezama kwa mrembo huyu? (Picha)

12277431_527519090736493_1118762771_n

Huenda Q Chief akawa amezama kwenye penzi zito na mrembo huyu na anataka kila mtu ajue.

12277431_527519090736493_1118762771_n

Mwimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Mkungu wa Ndizi’ hivi baribuni akiwa na TID, aliposti picha katika mtandao wa Instagram akila denda na msichana huyo.

Hivi karibuni Q Chief alinukuliwa na vyombo vya habari akisema, ameamua kuingia kwenye maisha ya ndoa baada ya kuona mwanamke aliye naye ameweza kumsaidia kumuondoa katika matatizo yaliyokuwa yakimkabili.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi...

 

10 years ago

Bongo5

Kristina Pimenova: Mtoto wa miaka 9 ndiye msichana mrembo zaidi duniani (picha)

Jarida la Women Daily lilimtaja Kristina Pimenova, mtoto mwenye miaka 9 kuwa msichana mrembo zaidi duniani. Kristina, kutoka Urusi alianza masuala ya modelling akiwa na miaka minne na tayari ameshafanya kazi na wabinifu wakubwa wa mavazi wakiwemo Roberto Cavalli na Benetton. Tayari ameshaokava pia jarida la Vogue Bambini. Tazama picha zake zaidi.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Huyu ndiye mwanajeshi aliyemuua Osama bin Laden

Mwanajeshi aliyemuua Osama bin Laden ametambulika kwa mara ya kwanza jana. Anaitwa Rob O’Neill, 38, aliyewahi kufanya mission za kijeshi zaidi ya 400. Baba yake, Tom O’Neill anasema: “Watu wanauliza kama tunaogopa kwamba ISIS watakuja na kututeka kwasababu Rob anafahamika sasa. Nasema nitachora target kubwa kwenye mlango wangu wa mbele na kusema ‘njooni mtuteke’. O’Neill […]

 

9 years ago

MillardAyo

Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa?

Katika maisha kila mtu ana malengo na mipango yake, hata tukija katika ishu za kutafuta mchumba au kuoa kila mtu ana vigezo vyake, basi mimekutana na kigezo cha mmoja kati ya rapper wakali kutoka Nigeria ambaye jina lake la kuzaliwa ni Jude Abaga ila mtaani anafahamika kama Mr Incredible (MI). MI Abaga ambaye ni CEO wa […]

The post Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa? appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

USIOMBE YAKUKUTE YALIYOMTOKEA MREMBO HUYU

Issa Mnally
MAMBO mengine ni ya kuyasikia yakiwatokea wenzako na usiombe yakakukuta kama ilivyomtokea msichana huyu ambaye hakufahamika jina lake mara moja baada ya kuchukua kipigo ‘hevi’ ambacho nusura apoteze maisha yake, maeneo ya Sinza Afrikasana, juzi Jumatatu. Dada huyo akilia baada ya kupokea kichapo kikali. Mashuhuda wa tukio hilo wanasema, binti huyo akiwa na mwanaume mmoja, walionekana wakitoka katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,huyu ndio mwanamke mrembo duniani?

Nyota huyo wa filamu mwenye umri wa miaka 50 ametangazwa na gazeti la People magazine kama chaguo lake la mwaka 2015.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Belle 9 aenda Ujerumani kula bata na warembo wa kizungu

Huenda wasanii wengi ambao hawapo kwenye orodha ya ziara za Fiesta na Kili Music Tour wapo kwenye stress kianina fulani. Hata hivyo msanii wa muziki anayetamba na wimbo ‘Wanitaka’ Belle 9 ambaye naye ni mmoja wao, ameamua kuzindoa (kama naye anazo) kwa kusafiri kidogo kwenda nchini Ujerumani kula bata na watoto wazuri, walau kusahau purukushani […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani