Je,huyu ndio mwanamke mrembo duniani?
Nyota huyo wa filamu mwenye umri wa miaka 50 ametangazwa na gazeti la People magazine kama chaguo lake la mwaka 2015.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Baada ya miaka 40 kupita, huyu ndio mrembo wa kwanza kuvaa Taji la Miss Iraq..
December 19 2015 warembo kutoka nchi zaidi ya 100 duniani walikutana Sanya China kwenye stage moja wakishiriki kugombea Taji la Miss World, bahati nzuri ikawa kwa watu wa Spain, mrembo wao Mireia Lalaguna Rozo akaibuka na ushindi wa Taji hilo. Stori ikafatia usiku wa December 20 2015 kutoka Las Vegas Marekani ambapo fainali za Miss Universe […]
The post Baada ya miaka 40 kupita, huyu ndio mrembo wa kwanza kuvaa Taji la Miss Iraq.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo24 Jan
HUYU NDIO MWANAFUNZI MZEE ZAIDI DUNIANI ANAYESOMA SHULE YA MSINGI, ANA MIAKA 90
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/23/150123014307_gogo_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Akiwa na umri wa miaka 90 mwanamke wa Kenya ambaye anahudhuria masomo akiwa na wajukuu zake wapatao sita inaaminika ndiye mwanafunzi mzee zaidi anayesoma shule ya msingi duniani.
Akiwa ameketi dawati la mbele kabisa darasani ,yuko darasa la tano na amevalia nguo za shule , Priscilla Gogo Sitienei anamsikiliza mwalimu anayefundisha kwa makini hukua akiandika majina ya wanyama kwa kiingereza kwenye daftari lake.Prissilla alijiunga na shule hii ya...
10 years ago
Vijimambo22 Jan
Huyu ndio Mtanzania aliyeongoza orodha ya Models 10 bora wa Afrika wanaofanya Vizuri zaidi Duniani.
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL8f2zQaQlYfCFWZxq2O8PmYl7hLTM9iDIcria*R5I1f7MrktV6gOo0h1EVzLMO2Sq2TV5Kk26s2OA-NvHC-eDy3/heriethPaulgapspring2014campaignFABMagazine.png)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL*Zu*8sPSZJHnvWihvBLElVzw8OmCXBDxQoQVrc-mbur41xuVkvDMkPuRmdJ5nrUSSHS34YWKrzo8kkEDRrJbF9/20130708122359_00013.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL9xeZfpbl1oPHB-pLVChJas7mhKDiPT8EWolpBOblN5e3loYOSajG6KAEkxH40EMKcJAetXM3hBwAgF5YVD37Gw/HariethPaulBettyAdewoleSebastianKimTeenVogue06.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL9bzWucX4WFHkH0ioIjGdhPAsNigI0oGwlmNwDbvCj4iEuLHHqUuDIPYH8kS6sto-R9U22Rppyt8y65YrBHvTja/24664500w.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL-nuP-gArGnZ5yMwsmxyEdZMJaCwOg8E9IW5y7Rt8F1t-5UiefToXM8KS3*Lmkbv2rWy5QXO-TDr6wKkqUipBoj/TO2WAugust13LegionValerioUmaliDuardo24700x912.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL*Gdb40GdQptGxUU27iFTIlqRIooNaLpW*635X1yzquOr0luuJqF4ZR9-c0n3IluNmC-bAfRLjlAvb38w31G7D2/MalaikaFirth1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL9o5LfqesAsI8arbZfZMsNgH8b1sCPwdRQudPGlLZKisZqMcybTwe-KAVYX-9Wv4BH7z5cspcJkKrQDiWkQohVU/IMANEditorLiyaFeature600x400.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/candice-swanepoel-hot-vs-sport-pics-part2-5.jpg?width=600)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/Fatima-Siad_001.jpg?width=600)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/3105.jpg?width=600)
5 years ago
BBCSwahili25 May
Mona Lisa: Kwa nini mwanamke huyu anajulikana kwa 'kupigwa busu' nyingi zaidi duniani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5Ach5PTx-AyCiU*Cv-me1Ivd71WNu1DW0RVTb9v991BMvXymSK-JBCm1lbTPsV60ecAwE4Md7MZnFjx*YmrwoGtS/1.jpg?width=650)
USIOMBE YAKUKUTE YALIYOMTOKEA MREMBO HUYU
9 years ago
Bongo514 Dec
Q-Chief amezama kwa mrembo huyu? (Picha)
![12277431_527519090736493_1118762771_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12277431_527519090736493_1118762771_n-300x194.jpg)
Huenda Q Chief akawa amezama kwenye penzi zito na mrembo huyu na anataka kila mtu ajue.
Mwimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Mkungu wa Ndizi’ hivi baribuni akiwa na TID, aliposti picha katika mtandao wa Instagram akila denda na msichana huyo.
Hivi karibuni Q Chief alinukuliwa na vyombo vya habari akisema, ameamua kuingia kwenye maisha ya ndoa baada ya kuona mwanamke aliye naye ameweza kumsaidia kumuondoa katika matatizo yaliyokuwa yakimkabili.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi...
9 years ago
Bongo501 Dec
Staa huyu mrembo wa Kenya akubali kasi ya Magufuli
![11875527_879234492167295_1538931681_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11875527_879234492167295_1538931681_n-300x194.jpg)
Kwa wiki ya pili sasa Rais Dkt Magufuli ameendelea kuwa gumzo barani Afrika na sasa hadi nchi za Ulaya zimedata naye.
Gazeti kubwa la Marekani, The Guardian limeandika habari isemayo: What would Tanzania’s cost-cutting president do? Twitter responds.
Jina lake linatrend muda wote kwenye mtandao wa Twitter na kadri siku zinavyooenda habari za utendaji wake zinazidi kuenea.
Hata wasichana wazuri kama Sheila Mwanyiga aka Nikki nao wamempa salute Magu.
This man #Magufuli… A #NewAfrica rises...