RPC anusurika kifo, mlinzi wake afa
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Fulgence Ngonyani na dereva wake, Nuaka Seme wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Njombe ya Kibena baada ya kupata ajali ya gari iliyomuua mlinzi wa kamanda huyo, usiku wa kuamkia jana, eneo la kiwanda cha miwati (TANWAT).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 Aug
RPC NJOMBE APATA AJALI NA MLINZI WAKE AFARIKI DUNIA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![](https://2.bp.blogspot.com/-dUOnkpsCdNo/U-Xqdll8BJI/AAAAAAAAPR4/18TnRNuxqqg/s1600/RPC+NJOMBE.jpg)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/ziDrh1gZnhhNXj6ins3vVXBdnmgWt6PaYLbBTll8WEO01yzbxpt2YoU6IiSfucRn8hqhzrgSJKVc5Y7-EaE4-uHpWphtVPnOPvm1fCKjPW2Vjr-AXKuAQqs_ktEDcevncAOL2ycbkq9Qti7M_yjQES9ce9eOvtLxY1dyO5ovhAujhkSnD2qCFJxv2vDBpS-glAWZiTFaa7cLD39KlxX07w0_JSt_chUrOGbRaKg-xbA_pShJqlyHkSJhGMjXCfN8hXPyERkelMbGTGHRZSjtHxk9TxgXOku_JvTThTKyY2iZ7S4Uh5MY_DHP9wMwoMnJGAV1KFtJYUv5JW5tnCCxVg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-dQZJvo8tOBA%2FU-YWgzjBBcI%2FAAAAAAAABKM%2Fy4oHTDzv7Wk%2Fs1600%2FNGONYANI.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
KAMANDA wa polisi Mkoa wa Njombe SACP Fulgence Ngonyani pamoja na dereva wake Nuaka Seme wamelazwa katika hispitari ya Mkoa wa Njombe ya kibena ambako wanaendelea kupatiwa matibabu kufuatia ajali iliyotokea usiku wa kuamkia jana katika eneo la kiwanda cha Miwati (TANWAT) ambapo katika ajali hiyo askari mwenye cheo cha "constable" alifariki dunia papo hapo.
Akiongea na vyombo vya habari huku akipatiwa...
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mlinzi afa akiwa kazini
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mlinzi wa Ubalozi afa kazini
MLINZI wa Ubalozi wa Iran nchini, Ramadhan Rajab (55), mkazi wa Tabata amekufa ghafla baada ya kuanguka akiwa kazini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycMvbjqO9ikayxyhkFlpUsFWWvI4dwIoFrr8zgIAJIHoxvu4sdrX4OfB8ili-oe*tEnuukJodGgoEuhImI7E1BOQ/msung.gif?width=650)
MSUNGU ANUSURIKA KIFO
10 years ago
GPLMAMA ANUSURIKA KIFO
11 years ago
Habarileo14 Dec
Lowassa anusurika kifo
ABIRIA kadhaa akiwemo Waziri Mkuu wa zamani ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, wamenusurika kufa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupasuka matairi yote manne ya nyuma wakati ilipokuwa ikitua katika Uwanja wa Ndege wa Arusha uliopo eneo la Kisongo, jana mchana.
10 years ago
GPLANUSURIKA KIFO UBUNGO
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Ni kwanini kifo cha mlinzi wa William Ruto, Sajini Kenei kinaibua maswali?
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Mbowe anusurika kifo ajalini
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka jijini Mwanza kwenda wilayani Ngara, Kagera kupata ajali. Ajali hiyo ilitokea jana...