Lowassa anusurika kifo
ABIRIA kadhaa akiwemo Waziri Mkuu wa zamani ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, wamenusurika kufa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupasuka matairi yote manne ya nyuma wakati ilipokuwa ikitua katika Uwanja wa Ndege wa Arusha uliopo eneo la Kisongo, jana mchana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LOWASSA ANUSURIKA KIFO AJALI YA NDEGE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycMvbjqO9ikayxyhkFlpUsFWWvI4dwIoFrr8zgIAJIHoxvu4sdrX4OfB8ili-oe*tEnuukJodGgoEuhImI7E1BOQ/msung.gif?width=650)
MSUNGU ANUSURIKA KIFO
10 years ago
GPLANUSURIKA KIFO UBUNGO
10 years ago
GPLMAMA ANUSURIKA KIFO
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Mbowe anusurika kifo ajalini
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka jijini Mwanza kwenda wilayani Ngara, Kagera kupata ajali. Ajali hiyo ilitokea jana...
11 years ago
GPL24 Mar
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Lil Wayne anusurika kifo Atlanta
BADI MCHOMOLO NA MITANDAO
KIONGOZI wa kundi la Young Money, Lil Wayne, juzi alinusurika kifo alipokuwa Atlanta, nchini Marekani, baada ya basi alilopanda kupigwa risasi na watu wasiojulikana.
Lil Wayne alikuwa katika mzunguko wa maonyesho yake ya muziki katika mji huo, huku akitumia basi lililokuwa likiwabeba baadhi ya wasanii wa kundi lake.
Hata hivyo, katika shambulio hilo la risasi hakuna mtu aliyejeruhiwa. Kupitia mtandao wa Twitter, msanii huyo aliandika kwamba ameshangaa kuona gari...
9 years ago
Mtanzania09 Nov
Dk.Bisimba anusurika kifo, avunjika mguu
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), Dk. Hellen Kijo-Bisimba amenusurika kifo ajalini.
Dk. Kijo-Bisimba alipata ajali mbaya ya gari katika daraja la Salender Dar es Salaam jana.
Katika ajali hiyo, Dk. Kijo-Bisimba anadaiwa kuvunjika mguu mmoja baada ya gari lake kupoteza mwelekeo na kupinduka mara nne.
Ajali hiyo ilitokea jana asubuhi wakati akitoka kusali eneo la Posta akitumia gari dogo ya Toyota Prado namba T 159...
10 years ago
CloudsFM30 Mar
Keisha anusurika kifo kwenye ajali
Msanii wa Bongo Fleva,Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba,Posta jijini Dar.
Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata mumewe alipofika maeneo hayo ndipo lilipotokea gari na kumuovateki na kuligonga gari lake. Aidha alisema kuwa alisikia maumivu na alipokwenda hospitali kufanyiwa vipimo vilionyesha hakupata majeraha kwa ndani.
‘’Nashukuru Mungu nilipimwa hospitali vipimo vilionyesha sikupata madhara...