Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LOWASSA ANUSURIKA KIFO AJALI YA NDEGE

Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa. ABIRIA kadhaa akiwemo Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa wamenusurika kifo, baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupasuka matairi yote manne ya nyuma wakati ilipokuwa ikitua katika uwanja wa ndege wa Arusha mchana mchana huu. Ndege hiyo ya shirika la ndege la Precision aina ya ATR ilipata ajali hiyo wakati ikitua. Matairi yote manne ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

IPPmedia

Waziri anusurika kifo ajali ya ndege

Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar, Abubakari Khamis Bakari, pamoja na abiria 17 wamenusurika kifo, baada ya ndege ya shirika la ndege la 'Zan air' waliyokuwa wanasafiria kupata matatizo ya breki na kusererekea vichakani.

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa anusurika ajali ya ndege Arusha

Abiria 37 waliokuwa wamesafaria ndege ya Shirika la Precision Air, akiwamo Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, jana walinusurika kifo, baada ya magurudumu manne ya ndege hiyo kupasuka ilipokuwa ikitua katika Uwanja wa Ndege wa Arusha.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri anusurika ajali ya ndege

Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibar, Abubakari Khamis Bakar, abiria na marubani wawili wamenusurika kifo baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupata ajali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msichana anusurika ajali ya ndege

Mtoto wa miaka saba ametembea hadi katika nyumba moja katika jimbo la Kentucky nchini Marekani kuripoti ajali ya ndege aliyoabiri.

 

9 years ago

BBCSwahili

Morgan Freeman anusurika ajali ya ndege

Msanii mkongwe Morgan Freeman alinusurika katika ajali ya ndege mjini Mississippi Marekani.

 

11 years ago

Habarileo

Lowassa anusurika kifo

ABIRIA kadhaa akiwemo Waziri Mkuu wa zamani ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, wamenusurika kufa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupasuka matairi yote manne ya nyuma wakati ilipokuwa ikitua katika Uwanja wa Ndege wa Arusha uliopo eneo la Kisongo, jana mchana.

 

10 years ago

CloudsFM

Keisha anusurika kifo kwenye ajali

Msanii wa Bongo Fleva,Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba,Posta jijini Dar.Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata mumewe alipofika maeneo hayo ndipo lilipotokea gari na kumuovateki na kuligonga gari lake. Aidha alisema kuwa alisikia maumivu na alipokwenda hospitali kufanyiwa vipimo vilionyesha hakupata majeraha kwa ndani. ‘’Nashukuru Mungu nilipimwa hospitali vipimo vilionyesha sikupata madhara...

 

9 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Benin anusurika ajali ya ndege

Waziri mkuu wa Benin, Lionel Zinsou, anasemekana kuwa salama baada ya ndege ya helikopta alimokuwa akisafiria, kuanguka ilipokuwa ikitua kaskazini mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

CloudsFM

STEVE NYERERE ANUSURIKA KIFO KWENYE AJALI

ALIYEKUWA mwenyekiti wa Bongo Movie,Steve Mengere,’’Steve Nyerere hivi karibuni alinusurika kifo baada ya kupata ajali ya gari hivi karibuni maeneo ya Kinondoni.Akizungumza jijini Dar alisema kuwa alivamia gari kwa nyuma maeneo ya Morroco,Kinindoni,lakini hakuumia ila gari lake liliharika upande wa mbele.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani