STEVE NYERERE ANUSURIKA KIFO KWENYE AJALI
ALIYEKUWA mwenyekiti wa Bongo Movie,Steve Mengere,’’Steve Nyerere hivi karibuni alinusurika kifo baada ya kupata ajali ya gari hivi karibuni maeneo ya Kinondoni.
Akizungumza jijini Dar alisema kuwa alivamia gari kwa nyuma maeneo ya Morroco,Kinindoni,lakini hakuumia ila gari lake liliharika upande wa mbele.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM30 Mar
Keisha anusurika kifo kwenye ajali
Msanii wa Bongo Fleva,Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba,Posta jijini Dar.
Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata mumewe alipofika maeneo hayo ndipo lilipotokea gari na kumuovateki na kuligonga gari lake. Aidha alisema kuwa alisikia maumivu na alipokwenda hospitali kufanyiwa vipimo vilionyesha hakupata majeraha kwa ndani.
‘’Nashukuru Mungu nilipimwa hospitali vipimo vilionyesha sikupata madhara...
11 years ago
Bongo525 Jul
Steve Nyerere anusurika kuvamiwa na watu wenye mapanga
11 years ago
IPPmedia26 Jan
Waziri anusurika kifo ajali ya ndege
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LOWASSA ANUSURIKA KIFO AJALI YA NDEGE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lYnNv0-ng5ABuvxdzlkBKY4eD6OmaL4n76RWAtZ*tl37U1RORONqbGGXOQDk2uQhQffFkJ5rdFlKAeR36Rm2MsTwydYfVWGo/mwakifwamba531.jpg?width=650)
MWAKIFWAMBA ANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI MORO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4S4DUD84Vb7dKOGX2xLtSV8Up3ntckWlLP*4ifbxVRMBaoA7LjBXMZHL7Xl0t1xx-xAQMorBC9UTmPXOzw6mILjIsbKlBZ7o/APK4b.jpg?width=650)
KIFO CHA KUAMBIANA... STEVE NYERERE: PIGO KWA MADAIREKTA
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Sugu anusurika kifo, apata ajali mlima Kitonga
10 years ago
Bongo Movies24 Jun
JB Na Steve Nyerere Waukwaa Ubalozi Kwenye Shirika Moja la Ndege
Mastaa wakongwe wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB, na Steven Mengere 'Steve Nyerere’ wamekuwa mabalozi wa shirika la utoaji huduma za usafiri wa anga la JAMBO AVIATION LTD.
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram Steve Nyerere aliweka picha hizo hapo juu zikiwaonyesha wawili hao wakiwa wamebeba mfano ya ndege za shirika hilo na kuandika.
“Nasema asanteni leo nimekuwa BALOZI wa JAMBO AVIATION LTD, Ni mimi na JB”
Hongereni sana.
9 years ago
Dewji Blog01 Nov
Mwanajeshi wa JWTZ Zanzibar anusurika kifo katika ajali ya gari kijiji cha Kibele, Zanzibar
Gari hilo kama linavyoonekana baada ya ajali hiyo
Na Mwandishi Wetu.
[Unguja-ZANZIBAR] Mwanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TPDF) imeelezwa kuwa amenusurika katika ajali ya gari iliyotokea mchana wa leo Novemba Mosi, eneo la kijiji cha Kibele, Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kwa kile kilichoelezwa kuwa ni mwendo kasi wa gari hiyo.
Kwa mujibu wa shuhuda wa taarifa ya tukio hilo: “ Ajali imetokea mchana huu kwenye saa 8.10 ambayo imemhusisha askari wa Jeshi la Ulinzi...