Waziri anusurika kifo ajali ya ndege
Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar, Abubakari Khamis Bakari, pamoja na abiria 17 wamenusurika kifo, baada ya ndege ya shirika la ndege la 'Zan air' waliyokuwa wanasafiria kupata matatizo ya breki na kusererekea vichakani.
IPPmedia
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
LOWASSA ANUSURIKA KIFO AJALI YA NDEGE
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Waziri anusurika ajali ya ndege
9 years ago
BBCSwahili27 Dec
Waziri mkuu wa Benin anusurika ajali ya ndege
10 years ago
Michuzi
WAZIRI BERNARD MEMBE ANUSURIKA AJALI YA NDEGE, ZANZIBAR

Waziri Membe akiwa na ujumbe wake wa watu wanane, walikuwa wakisafiria ndege ya kukodi kampuni ya 5H NEG Precition Aviation ikirushwa na rubani Mathew Mhahiki, ambaye ameonyesha kushangazwa na tukio hilo alilodai “ni kwa rehema za...
10 years ago
GPL
WAZIRI BERNARD MEMBE ANUSURIKA AJALI YA NDEGE, ZANZIBAR
10 years ago
BBCSwahili03 Jan
Msichana anusurika ajali ya ndege
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Morgan Freeman anusurika ajali ya ndege
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Lowassa anusurika ajali ya ndege Arusha
10 years ago
CloudsFM30 Mar
Keisha anusurika kifo kwenye ajali
Msanii wa Bongo Fleva,Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba,Posta jijini Dar.
Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata mumewe alipofika maeneo hayo ndipo lilipotokea gari na kumuovateki na kuligonga gari lake. Aidha alisema kuwa alisikia maumivu na alipokwenda hospitali kufanyiwa vipimo vilionyesha hakupata majeraha kwa ndani.
‘’Nashukuru Mungu nilipimwa hospitali vipimo vilionyesha sikupata madhara...