WAZIRI BERNARD MEMBE ANUSURIKA AJALI YA NDEGE, ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar.Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (pichani) , amenusurika kifo baada ya ndege aliyokuwa akisafiria kutoka Iringa kwenda Zanzibar kutaka kugongana uso kwa uso na ndege nyingine dakika moja kabla ya kutua.
Waziri Membe akiwa na ujumbe wake wa watu wanane, walikuwa wakisafiria ndege ya kukodi kampuni ya 5H NEG Precition Aviation ikirushwa na rubani Mathew Mhahiki, ambaye ameonyesha kushangazwa na tukio hilo alilodai “ni kwa rehema za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
WAZIRI BERNARD MEMBE ANUSURIKA AJALI YA NDEGE, ZANZIBAR
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Waziri anusurika ajali ya ndege
11 years ago
IPPmedia26 Jan
Waziri anusurika kifo ajali ya ndege
10 years ago
Vijimambo
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA UDHAMINI ZANZIBAR

9 years ago
BBCSwahili27 Dec
Waziri mkuu wa Benin anusurika ajali ya ndege
10 years ago
Vijimambo
WAZIRI BERNARD MEMBE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA UMAKI ZANZIBAR


10 years ago
Michuzi
WAZIRI BERNARD MEMBE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA UMOJA WA AKINAMAMA WA KIKRISTO, ZANZIBAR



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (wa pili kulia), akipata maelezo kuhusu bidhaa za ujasiriamali za kikundi cha Umoja wa Kinamama wa Kikristo (UMAKI) wa Kanisa Angikana Dayosisi ya Zanzibar,...
10 years ago
Vijimambo
WAZIRI BERNARD MEMBE ATEMBELEA KABURI LA HAYATI ABEID AMAN KARUME MJINI ZANZIBAR

10 years ago
BBCSwahili03 Jan
Msichana anusurika ajali ya ndege