WAZIRI BERNARD MEMBE APATA UDHAMINI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-6ff3uLAmRTM/VX7JUoMh09I/AAAAAAADr60/uyKQUo3i-p4/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akishuhudia mmoja wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akitia saini kumdhamini kwenye fomu yake ya kugombea Urais wa Tanzania katika uchaguzi Mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, katika ofisi ya CCM wilaya ya Kaskazini ‘B mkoa wa Kaskazini Unguja Zanzibar jana, ambapo alipata wadhamini zaidi ya 1500 katika mikoa yote mine ya Unguja. Katikati ni Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM ...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
Waziri Bernard Membe apata udhamini wa kishindo katika mkoa wa Ruvuma
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akilakiwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vijana, waliofika kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa mjini Songea jana, baada ya kuwasili mkoani Ruvuma kwa ajili ya kutafuta wadhamini watakaotia saini fomu zake za kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 5,000. (Picha zote na John Badi).
Waziri wa Mambo ya Nje na...
10 years ago
MichuziWAZIRI BERNARD MEMBE APATA UDHAMINI WA KISHINDO KATIKA MKOA WA ARUSHA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0-JAB6qC3H8/VYa8-G2EUaI/AAAAAAADtAM/BYAk_8G1eLE/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0-JAB6qC3H8/VYa8-G2EUaI/AAAAAAADtAM/BYAk_8G1eLE/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-d94113Ymi5M/VYa9BUty1-I/AAAAAAADtAc/qMC75WOL5nI/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TUxeXY7ELI4/VXhZUPFpzTI/AAAAAAAHegA/UqzJvrCX1bU/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI MKOA WA MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-TUxeXY7ELI4/VXhZUPFpzTI/AAAAAAAHegA/UqzJvrCX1bU/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E77Y-XjsoMQ/VXhZURfRVWI/AAAAAAAHegE/KXQh7aBPlyk/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4DONwGLgxuU/VYWKgmJet2I/AAAAAAADsac/PtUNgB3zIzU/s72-c/4.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA BUKOBA AZOA WADHAMINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-4DONwGLgxuU/VYWKgmJet2I/AAAAAAADsac/PtUNgB3zIzU/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JJGtp2S3R1w/VYWKbsqZZCI/AAAAAAADsaM/5sSlO2lCEuI/s640/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IaZ4RlwIFPQ/VYNXy6dXljI/AAAAAAADsPM/lisGzoCc6sQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE AUTINGISHA MKOA WA MANYARA APATA WAEDHAMINI KIBAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-IaZ4RlwIFPQ/VYNXy6dXljI/AAAAAAADsPM/lisGzoCc6sQ/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4fnQxHN-QuM/VYNX3wv4EqI/AAAAAAADsQM/WYbJ8tzvnTM/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ENISOYuJJSM/VYWqZoQnfRI/AAAAAAAHh1E/Nj8jgzd5yCo/s72-c/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA BUKOBA, AZOA WADHAMINI LUKUKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ENISOYuJJSM/VYWqZoQnfRI/AAAAAAAHh1E/Nj8jgzd5yCo/s640/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_nUHVGEkeU/VYWqbKQEn1I/AAAAAAAHh1M/83coAux1ApY/s640/unnamed%2B%252883%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ds_Fq_yBwtE/VYH3Kzt3a8I/AAAAAAADsIc/HW6n2DJf__0/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA MOSHI MJINI AZOA WADHAMINI WAKUTOSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ds_Fq_yBwtE/VYH3Kzt3a8I/AAAAAAADsIc/HW6n2DJf__0/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-F3LQa-vYgUs/VYH3Kzh1WII/AAAAAAADsIg/-RL1Z9cKzRU/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-L1ajNE_Z3Kk/VXq00ewiPjI/AAAAAAABhig/EJvhKT3JYOM/s72-c/IMG_2531.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE ANUSURIKA AJALI YA NDEGE, ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-L1ajNE_Z3Kk/VXq00ewiPjI/AAAAAAABhig/EJvhKT3JYOM/s400/IMG_2531.jpg)
Waziri Membe akiwa na ujumbe wake wa watu wanane, walikuwa wakisafiria ndege ya kukodi kampuni ya 5H NEG Precition Aviation ikirushwa na rubani Mathew Mhahiki, ambaye ameonyesha kushangazwa na tukio hilo alilodai “ni kwa rehema za...