Waziri Bernard Membe apata udhamini wa kishindo katika mkoa wa Ruvuma
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akilakiwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vijana, waliofika kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa mjini Songea jana, baada ya kuwasili mkoani Ruvuma kwa ajili ya kutafuta wadhamini watakaotia saini fomu zake za kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 5,000. (Picha zote na John Badi).
Waziri wa Mambo ya Nje na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI BERNARD MEMBE APATA UDHAMINI WA KISHINDO KATIKA MKOA WA ARUSHA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-6ff3uLAmRTM/VX7JUoMh09I/AAAAAAADr60/uyKQUo3i-p4/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA UDHAMINI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-6ff3uLAmRTM/VX7JUoMh09I/AAAAAAADr60/uyKQUo3i-p4/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TUxeXY7ELI4/VXhZUPFpzTI/AAAAAAAHegA/UqzJvrCX1bU/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI MKOA WA MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-TUxeXY7ELI4/VXhZUPFpzTI/AAAAAAAHegA/UqzJvrCX1bU/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E77Y-XjsoMQ/VXhZURfRVWI/AAAAAAAHegE/KXQh7aBPlyk/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IaZ4RlwIFPQ/VYNXy6dXljI/AAAAAAADsPM/lisGzoCc6sQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE AUTINGISHA MKOA WA MANYARA APATA WAEDHAMINI KIBAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-IaZ4RlwIFPQ/VYNXy6dXljI/AAAAAAADsPM/lisGzoCc6sQ/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4fnQxHN-QuM/VYNX3wv4EqI/AAAAAAADsQM/WYbJ8tzvnTM/s640/2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-Z7mPzJGGXmg/VYGo3Za_lDI/AAAAAAAHglg/C7iK385JNmU/s640/MMGL0310.jpg)
LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO KATIKA MKOA WA TANGA, WANACCM 24,124 WAMDHAMINI
Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkomo maelfu ya wanaCCM na wananchi wa Mkoa wa Tanga, waliojitokeza kwa wingi kwenye Ofisi za Chama Cha Mapinduzi, Mkoa wa Tanga jana Juni 17, 2015 zaidi ya WanaCCM 204,125 wamemdhamini Mh. Lowassa, ili aweze kuteuliwa na CCM kuwania Urais wa Tanzania, kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.… ...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0-JAB6qC3H8/VYa8-G2EUaI/AAAAAAADtAM/BYAk_8G1eLE/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0-JAB6qC3H8/VYa8-G2EUaI/AAAAAAADtAM/BYAk_8G1eLE/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-d94113Ymi5M/VYa9BUty1-I/AAAAAAADtAc/qMC75WOL5nI/s640/2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-MLMhPFGW4gU/VX25DaaREBI/AAAAAAAHfT0/EdDklSxXabo/s1600/MMGL0524.jpg?width=650)
LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO KATIKA MIKOA YA KATAVI, RUKWA
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM, Mh. Edward Lowassa akiwapungia wananchi wa mji wa Mpanda, Mkoani Katavi waliojitokeza kumlaki, wakati alipofika kwenye Ofisi za CCM Wilaya ya Mpanda, Mkoani Katavi, alikofika jana Juni 14, 2015 kwa ajili ya kutafuta udhamini wa wanaCCM ili apate ridhaa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania Urais wa Tanzania, kwenye Uchachuzi Mkuu, Unaotarajiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GQHeeEoiNKw/VX24_ksrpBI/AAAAAAAHfTg/lz39gkw6TPg/s72-c/MMGL0481.jpg)
LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO KATIKA MIKOA YA KATAVI LA RUKWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-GQHeeEoiNKw/VX24_ksrpBI/AAAAAAAHfTg/lz39gkw6TPg/s1600/MMGL0481.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m7MNKzLYlDc/VX24_wBoz-I/AAAAAAAHfTo/ooMLl43W5Ck/s1600/MMGL0484.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-73EVFCmSVVs/VXhAL54diDI/AAAAAAABhZ0/PEfPMAqx7Hw/s72-c/T.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APOKELEWA KWA KISHINDO MBEYA NA KUPATA WADHAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-73EVFCmSVVs/VXhAL54diDI/AAAAAAABhZ0/PEfPMAqx7Hw/s640/T.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiwapungia mkono wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na wananchi waliofika kumpokea nje ya Ofisi ya CCM Mkoa wa Mbeya leo June 10, 2015 baada ya kuwasili mkoani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini watakaotia saini fomu zake za kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho. Picha zote na John Badi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-v4AXOl_IWj0/VXhALydjpxI/AAAAAAABhZ4/85jjDyks-o0/s640/2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania