Lowassa anusurika ajali ya ndege Arusha
Abiria 37 waliokuwa wamesafaria ndege ya Shirika la Precision Air, akiwamo Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, jana walinusurika kifo, baada ya magurudumu manne ya ndege hiyo kupasuka ilipokuwa ikitua katika Uwanja wa Ndege wa Arusha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LOWASSA ANUSURIKA KIFO AJALI YA NDEGE
Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa. ABIRIA kadhaa akiwemo Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa wamenusurika kifo, baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupasuka matairi yote manne ya nyuma wakati ilipokuwa ikitua katika uwanja wa ndege wa Arusha mchana mchana huu. Ndege hiyo ya shirika la ndege la Precision aina ya ATR ilipata ajali hiyo wakati ikitua. Matairi yote manne ya...
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Waziri anusurika ajali ya ndege
Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibar, Abubakari Khamis Bakar, abiria na marubani wawili wamenusurika kifo baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupata ajali.
10 years ago
BBCSwahili03 Jan
Msichana anusurika ajali ya ndege
Mtoto wa miaka saba ametembea hadi katika nyumba moja katika jimbo la Kentucky nchini Marekani kuripoti ajali ya ndege aliyoabiri.
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Morgan Freeman anusurika ajali ya ndege
Msanii mkongwe Morgan Freeman alinusurika katika ajali ya ndege mjini Mississippi Marekani.
11 years ago
IPPmedia26 Jan
Waziri anusurika kifo ajali ya ndege
Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar, Abubakari Khamis Bakari, pamoja na abiria 17 wamenusurika kifo, baada ya ndege ya shirika la ndege la 'Zan air' waliyokuwa wanasafiria kupata matatizo ya breki na kusererekea vichakani.
9 years ago
BBCSwahili27 Dec
Waziri mkuu wa Benin anusurika ajali ya ndege
Waziri mkuu wa Benin, Lionel Zinsou, anasemekana kuwa salama baada ya ndege ya helikopta alimokuwa akisafiria, kuanguka ilipokuwa ikitua kaskazini mwa nchi hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-L1ajNE_Z3Kk/VXq00ewiPjI/AAAAAAABhig/EJvhKT3JYOM/s72-c/IMG_2531.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE ANUSURIKA AJALI YA NDEGE, ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-L1ajNE_Z3Kk/VXq00ewiPjI/AAAAAAABhig/EJvhKT3JYOM/s400/IMG_2531.jpg)
Waziri Membe akiwa na ujumbe wake wa watu wanane, walikuwa wakisafiria ndege ya kukodi kampuni ya 5H NEG Precition Aviation ikirushwa na rubani Mathew Mhahiki, ambaye ameonyesha kushangazwa na tukio hilo alilodai “ni kwa rehema za...
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-L1ajNE_Z3Kk/VXq00ewiPjI/AAAAAAABhig/EJvhKT3JYOM/s400/IMG_2531.jpg?width=650)
WAZIRI BERNARD MEMBE ANUSURIKA AJALI YA NDEGE, ZANZIBAR
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. Na Mwandishi Wetu, Zanzibar. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amenusurika kifo baada ya ndege aliyokuwa akisafiria kutoka Iringa kwenda Zanzibar kutaka kugongana uso kwa uso na ndege nyingine dakika moja kabla ya kutua.
Waziri Membe akiwa na ujumbe wake wa watu wanane, walikuwa wakisafiria ndege ya kukodi kampuni ya 5H NEG...
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania