Mbowe anusurika kifo ajalini
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka jijini Mwanza kwenda wilayani Ngara, Kagera kupata ajali. Ajali hiyo ilitokea jana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Oct
Nape Nnauye anusurika kifo ajalini
Mgombea ubunge Jimbo la Mtama kupitia CCM, wilaya na mkoa wa Lindi, Nape Nnauye (38) amenusurika kifo, baada ya gari aliyokuwa akiendesha kuacha barabara na kupinduka, wilayani Kilwa.
9 years ago
Habarileo09 Nov
Kijo-Bisimba anusurika kifo ajalini
MKURUGENZI wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Helen Kijo-Bisimba amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akitembelea kuacha njia na kupinduka jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Juma Ngasongwa anusurika ajalini
Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara, Dk Juma Ngasongwa (72) amenusurika kufa baada ya kupata ajali ya gari katika eneo la Picha ya Ndege, wilayani Kibaha, Pwani.
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Mgombea ubunge ACT - Wazalendo anusurika ajalini
Mgombea ubunge wa ACT-Wazalendo katika Jimbo la Manyovu mkoani Kigoma, Goodluck Kimali amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka likiwa kwenye msafara wa Kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe.
11 years ago
GPLMC ZIPOMPA NAYE ANUSURIKA AJALINI, ALIKUWA GARI MOJA NA TYSON!
MC maarufu Gladys Chiduo maarufu kwa jina la MC Zipopamba (pichani) amenusirika kifo baada ya gari kupata ajali na kumuua George Tyson. Zipompa ameuambia mtadao huu asubuhi hii kuwa yeye alikuwa kiti cha mbele na Tyson pamoja watu wengine walikuwa viti vya nyuma na kilichomuokoa yeye ni kufunga mkanda, kwani licha gari kupinduka na kuzunguruka mara tatu alipata majeraha kidogo na hali yake inaendelea vyema kwa sasa akiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9yvSS8OoQiCJGdFJEMZ0i8XAC1c*Nu1sgfxajqN3vGpPwznemMZT0aIGNhcRrWjLfE5wItUVb2UY*Jm70c-nIqc/DSC012191.jpg?width=650)
WATU WATANO WANUSURIKA KIFO AJALINI MWANZA
Muonekano wa mbele wa gari hilo lililopata ajali. Muonekano wa chini ya gari baada ya kupinduka.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
GHARIB BILAL, KOVA, SADICK WANUSURIKA KIFO AJALINI
Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said…
10 years ago
GPLANUSURIKA KIFO UBUNGO
Pikipiki iliyopata ajali ikiwa chini. Umati wa watu ukishuhudia ajali hiyo.
Daladala iliyojitolea kumsaidia…
10 years ago
GPLMAMA ANUSURIKA KIFO
Sehemu ya gari ilipogongwa. Pembeni ni uzio wa magari uliowekwa na kamapuni ya Strabag. Umati wa watu wakiwa eneo la ajali  MAMA mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja, amenusurika kifo baada ya gari lake aina…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania