WATU WATANO WANUSURIKA KIFO AJALINI MWANZA
![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9yvSS8OoQiCJGdFJEMZ0i8XAC1c*Nu1sgfxajqN3vGpPwznemMZT0aIGNhcRrWjLfE5wItUVb2UY*Jm70c-nIqc/DSC012191.jpg?width=650)
Muonekano wa mbele wa gari hilo lililopata ajali. Muonekano wa chini ya gari baada ya kupinduka.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWATANO WANUSURIKA KIFO BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI JIJINI MWANZA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
GHARIB BILAL, KOVA, SADICK WANUSURIKA KIFO AJALINI
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Watu watano wanusurika katika ajali ya gari katikati ya jiji la Dar es Salaam muda huu!
Pichani ni min bus iliyokuwa na namba T 111 AAL, ikionekana imeharibika kwa mbele baada ya kugongana na gari aina ya Noah yenye namba T446DDJ iliyogongwa ubavuni. Min Bus ilikuwa na watu wanne hata hivyo katika ajali hiyo watu hao walipatwa na mishtuko pekee na maumivu kiasi. (Picha na Andrew Chale, Modewjiblog).
Gari aina ya Noah linavyoonekana ubavuni baada ya ajari hiyo.. iliyotokea katikati ya jiji katika eneo la jirani na Bnki ya NMB House na Shirika la Bima ya Taifa la Afya..
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Watu 300 wanusurika kifo wilayani Mwanga
10 years ago
GPL11 years ago
Habarileo16 Dec
Wanafunzi vyuo vikuu Z’bar wanusurika ajalini
WANAFUNZI wa Vyuo Vikuu vya Zanzibar leo wamenusurika kufa baada ya gari walilokuwa wamepanda kupinduka wakati wakitoka katika michezo katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Lembeli, Mukya wanusurika ajalini, wagombea watatu mbaroni
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
WAWILI WAFARIKI, WATANO WAJERUHIWA AJALINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
WATU wawili wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada ya magari mawili likiwemo basi dogo la abiria waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
Kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Athuman mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilihusisha gari aina ya Coaster likitokea kwenye msiba Musoma kwenda Jijini Dar es Salaam na kugongana na lori la mafuta.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Septemba 17 mwaka huu majira ya saa 12:15...
11 years ago
Mwananchi19 May
Watano wafa ajalini Mlima wa Sekenke