Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATU WATANO WANUSURIKA KIFO AJALINI MWANZA

Muonekano wa mbele wa gari hilo lililopata ajali. Muonekano wa chini ya gari baada ya kupinduka.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WATANO WANUSURIKA KIFO BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI JIJINI MWANZA

Rashid Mkumba Hamis ambaye ni mmoja wa majeruhi aliyevunjika mguu. Majeruhi katika tukio hilo wakihojiwa na wanahabari (hawapo pichani).…

 

11 years ago

GPL

GHARIB BILAL, KOVA, SADICK WANUSURIKA KIFO AJALINI

Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said…

 

9 years ago

Dewji Blog

Watu watano wanusurika katika ajali ya gari katikati ya jiji la Dar es Salaam muda huu!

DSC_4332

Pichani ni min bus iliyokuwa na namba T 111 AAL, ikionekana  imeharibika kwa mbele baada ya kugongana na gari aina ya Noah yenye namba  T446DDJ iliyogongwa ubavuni. Min Bus ilikuwa na watu wanne  hata hivyo katika ajali hiyo watu hao walipatwa na mishtuko pekee na maumivu kiasi. (Picha na Andrew Chale, Modewjiblog).

DSC_4357

Gari aina ya Noah linavyoonekana ubavuni baada ya ajari hiyo.. iliyotokea  katikati ya jiji katika eneo la jirani na Bnki ya NMB  House na Shirika la Bima ya Taifa la Afya..

DSC_4349

 

11 years ago

Mwananchi

Watu 300 wanusurika kifo wilayani Mwanga

Familia za zaidi ya watu 300 zimenusurika vifo wilayani Mwanga baada ya mvua iliyoambatana na upepo kuezua mapaa ya nyumba zao 110 .

 

10 years ago

GPL

WATATU WANUSURIKA AJALINI LUGALO, DAR

Kioo cha lori cha  mbele kikiwa kimepasuka.…

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi vyuo vikuu Z’bar wanusurika ajalini

WANAFUNZI wa Vyuo Vikuu vya Zanzibar leo wamenusurika kufa baada ya gari walilokuwa wamepanda kupinduka wakati wakitoka katika michezo katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).

 

9 years ago

Mwananchi

Lembeli, Mukya wanusurika ajalini, wagombea watatu mbaroni

Mgombea ubunge wa Jimbo la Kahama (Chadema), James Lembeli na aliyekuwa mbunge wa Viti Maalumu wa chama hicho, Joyce Mukya wamenusurika katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Terart wilayani Simanjiro.

 

10 years ago

Michuzi

WAWILI WAFARIKI, WATANO WAJERUHIWA AJALINI

Na John Gagarini, Kibaha
WATU wawili wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada ya magari mawili likiwemo basi dogo la abiria waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
Kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Athuman mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilihusisha gari aina ya Coaster likitokea kwenye msiba Musoma kwenda Jijini Dar es Salaam na kugongana na lori la mafuta.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Septemba 17 mwaka huu majira ya saa 12:15...

 

11 years ago

Mwananchi

Watano wafa ajalini Mlima wa Sekenke

Watu watano wamefariki dunia na wengine 16 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka katika eneo la Mlima Sekenke wilayani Iramba, Singida.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani