Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAWILI WAFARIKI, WATANO WAJERUHIWA AJALINI

Na John Gagarini, Kibaha
WATU wawili wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada ya magari mawili likiwemo basi dogo la abiria waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
Kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Athuman mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilihusisha gari aina ya Coaster likitokea kwenye msiba Musoma kwenda Jijini Dar es Salaam na kugongana na lori la mafuta.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Septemba 17 mwaka huu majira ya saa 12:15...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

19 wafariki ajalini mbeya, wawili wajeruhiwa vibaya

Watu 19 wafari katika ajali ya gari eneo la Kiwira Mkoani Mbeya, wawili wajeruhiwa vibaya 

 

11 years ago

Mwananchi

Saba wafariki, 71 wajeruhiwa ajalini

Watu saba wamefariki dunia na wengine 71 kujeruhiwa kwenye ajali ya iliyohusisha mabasi ya abiria mikoa ya Kilimanjaro na Manyara.

 

11 years ago

Mwananchi

Sita wafariki ajalini, 12 wajeruhiwa Dar

Watu sita wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa baada ya kutokea ajali iliyohusisha magari matatu, eneo la Lugalo, jijini Dar es Salaam jana.

 

11 years ago

GPL

MMOJA AFARIKI DUNIA, WATANO WAJERUHIWA AJALINI TARIME LEO

Dereva wa basi la Zakaria Express, Mbaraka Shamsi (35) mkazi wa Magu akiwa hospitali baada ya ajali. Roberty Nashoni (48) ambaye…

 

9 years ago

StarTV

Watu watano wafariki, sita wajeruhiwa Katavi

Watu  watano  wamefariki    na  wengine  sita  kujeruhiwa  katika  ajali  ya  gari  iliyokea  kijiji  cha Matandalani  wilaya  ya Mlele  mkoani  Katavi   baada  ya  gari  aina  ya NOAH   lenye  namba  T 451 DDP  ikitokea  Mpanda  mjini  Kuelekea  Sitalike   kupinduka  na  kuacha  njia.

Kamanda  wa  Polisi  mkoa  wa  Katavi  Dhahiri  Kidavashari amesema  ajali  hiyo  imetokea  majira  ya saa tano  za  asubuhi  baada  ya  gari  kupasuka  tairi  na  kupinduka  ambapo  chanzo  cha  ajali ...

 

10 years ago

Habarileo

43 wajeruhiwa ajalini Nanyumbu

WATU 43 wamenusurika kifo huku wanne kati yao hali zao zikiwa mbaya baada ya gari waliyokuwa wakisafiria kupoteza mwelekeo na kupinduka katika Kijiji cha Mkambata, Kata ya Mikangaula, wilayani Nanyumbu mkoani Mtwara.

 

10 years ago

Mwananchi

37 wajeruhiwa ajalini Mbeya

Mwendo kasi na kupasuka kwa tairi la basi la Kampuni ya Happy Nation zimetajwa kuwa sababu ya ajali ya basi hilo iliyosababisha watu 37 kujeruhiwa, wanne wakiwa mahututi.

 

10 years ago

Mwananchi

Watatu wajeruhiwa ajalini mkoani Arusha

Wanafunzi zaidi ya 50 wamenusurika kifo baada ya gari lililokuwa kwenye msafara wa Mwenge wa Uhuru, ulioanza mbio zake mkoani Arusha jana kupata ajali na kusababisha wanafunzi wawili na mwalimu mmoja kujeruhiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Padri, katekista wafariki ajalini

Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mpanda, Matini Kapufi (42 ) na Katekista wa kanisa hilo wa kijiji cha Mtakuja, Parokia ya Inyonga, Patrick Mwendowasaa (60), wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani