19 wafariki ajalini mbeya, wawili wajeruhiwa vibaya
Watu 19 wafari katika ajali ya gari eneo la Kiwira Mkoani Mbeya, wawili wajeruhiwa vibayaÂ
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
WAWILI WAFARIKI, WATANO WAJERUHIWA AJALINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
WATU wawili wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada ya magari mawili likiwemo basi dogo la abiria waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
Kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Athuman mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilihusisha gari aina ya Coaster likitokea kwenye msiba Musoma kwenda Jijini Dar es Salaam na kugongana na lori la mafuta.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Septemba 17 mwaka huu majira ya saa 12:15...
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Saba wafariki, 71 wajeruhiwa ajalini
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Sita wafariki ajalini, 12 wajeruhiwa Dar
10 years ago
Mwananchi08 Nov
37 wajeruhiwa ajalini Mbeya
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Sita wafariki ajalini Mbeya
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1Sj5bNT59QY/VHIYwELHUHI/AAAAAAAAxbo/bnnglHkF3Xk/s72-c/20141122_165254.jpg)
WATU ZAIDI YA 25 WAJERUHIWA VIBAYA KATIKA AJALI YA COSTA SENJELE MBEYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Sj5bNT59QY/VHIYwELHUHI/AAAAAAAAxbo/bnnglHkF3Xk/s640/20141122_165254.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jKkkds1jA_U/VHIYwiWd5VI/AAAAAAAAxbs/CftCvq6ahPY/s640/20141122_165300.jpg)
Baadhi ya majeruhi wakitafuta mizigo yao mara baada ya kutoka ndani ya basi hilo
![](http://1.bp.blogspot.com/-_jbDc85nu2E/VHIYwDsflXI/AAAAAAAAxbk/BXHvjUWMYIs/s640/20141122_165321.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ccz89qkIlJg/VHIY1AdZ7aI/AAAAAAAAxcE/N9MuIFcTjlI/s640/20141122_165332.jpg)
Baadhi ya majeruhi wakitoka ndani ya basi hilo.Picha na Mbeya yetu
![](http://1.bp.blogspot.com/-wwqsYY7lXg4/VHIY0CeLF_I/AAAAAAAAxb8/bsULvDkK8aQ/s640/20141122_165513.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I-uM4qV5nEI/VHIY4_EAAgI/AAAAAAAAxcY/aPlSeSvtKrs/s640/20141122_165546.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mw6Y1CMV0r4/VHIY6P_xhdI/AAAAAAAAxck/oXvQuuyWmkM/s640/20141122_165610.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-H4ShreRDbK4/VHIY3hoi2aI/AAAAAAAAxcM/h8YAFtabeQ8/s640/20141122_165539.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yK_fM6K6QSE/VHIY-EBmO4I/AAAAAAAAxc0/HH_Ys7tfeLA/s640/20141122_165633.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bFQ59aJ5BWY/VHIY_p2XQ7I/AAAAAAAAxc8/pXPwwV9EkWA/s640/20141122_165729.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yMEgzzi3xKU/VHIY_zvnvJI/AAAAAAAAxdA/PaCYx-gDqCg/s640/20141122_165806.jpg)
Baadhi ya abilia wakitaka kumpiga Dereva wagari ya aina ya Suzuki kuwa yeye ndio alisababisha ajali hiyo kwa kuyumbayumba kwake barabarani
![](http://4.bp.blogspot.com/-jzlWGQxDbT0/VHIZAINumEI/AAAAAAAAxdE/lxIhlhVYIGo/s640/20141122_165755.jpg)
Moja ya wasamaria wema akiwazuia abiria wenye hasira kali kutaka kumpiga mzee huyo Mwenye Suzuki ambae alijulikana kwa jina moja tu mzee Mtawa
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qfj9Esq_tRw/VHIZN5W2rNI/AAAAAAAAxd8/cZqJu25HMBI/s640/20141122_173032.jpg)
Mwandishi wa habari Kenneth Mwazembeakiwasili katika Hospitali ya...
10 years ago
Habarileo08 Sep
43 wajeruhiwa ajalini Nanyumbu
WATU 43 wamenusurika kifo huku wanne kati yao hali zao zikiwa mbaya baada ya gari waliyokuwa wakisafiria kupoteza mwelekeo na kupinduka katika Kijiji cha Mkambata, Kata ya Mikangaula, wilayani Nanyumbu mkoani Mtwara.
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Watatu wajeruhiwa ajalini mkoani Arusha
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Watatu wafariki ajalini Pwani
WATU watatu wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada ya ajali iliyohusisha gari la abiria na lori katika eneo la Pera Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani. Tukio hilo lilitokea usiku...