Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATU ZAIDI YA 25 WAJERUHIWA VIBAYA KATIKA AJALI YA COSTA SENJELE MBEYA.






Baadhi ya majeruhi wakitafuta mizigo yao mara baada ya kutoka ndani ya basi hilo



Baadhi ya majeruhi wakitoka ndani ya basi hilo.Picha na Mbeya yetu














Baadhi ya abilia wakitaka kumpiga Dereva wagari ya aina ya Suzuki kuwa yeye ndio alisababisha ajali hiyo kwa kuyumbayumba kwake barabarani



Moja ya wasamaria wema akiwazuia abiria wenye hasira kali kutaka kumpiga mzee huyo Mwenye Suzuki ambae alijulikana kwa jina moja tu mzee Mtawa

Mwandishi wa habari Kenneth Mwazembeakiwasili katika Hospitali ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WATU KUMI NA TANO WAJERUHIWA KATIKA AJALI ILIYOHUSISHA MAGARI MATATU KATIKA BARABARA YA NJOMBE/MBEYA

WATU KUMI NA TANO WAJERUHIWA KATIKA AJALI ILIYOHUSISHA BASI LA ABIRIA MALI YA KAMPUNI YA TAQWA LENYE NAMBA ZA USAJILI T.791 BZR AINA YA NISSAN LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA DEREVA AITWAYE SALUMU SELEMANI (45) MKAZI WA D’SALAAM KULIGONGA GARI LENYE NAMBA ZA USAJILI T.778 CAN ISUZU FTR LIKIENDESHWA NA DEREVA AITWAYE EDWIN LUYENGA (40) NA KISHA KUGONGA KWA NYUMA GARI T.565 CVB/T.836 BBC AINA YA MAN LILILOKUWA LIMEHARIBIKA NA KUEGESHWA.
AJALI HIYO IMETOKEA MNAMO TAREHE 10.05.2015 MAJIRA YA SAA 20:10...

 

10 years ago

GPL

WATU SITA WAJERUHIWA KATIKA AJALI KILIMANJARO

Muonekano wa ajali baada ya basi la Harambee kugongana na lori eneo la Uchira mkoani Kilimanjaro mchana wa leo. Muonekano wa mbele wa lori baada ya ajali.…

 

10 years ago

Vijimambo

WATU 10 WAFARIKI NA WENGINE ZAIDI YA 40 WAJERUHIWA KWENYE AJALI YA BASI LA UNIQUE NA LORI MKOANI SHINYANGA

 Winchi likinyanyua basi baada ya ajali ambapo watu 10 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa kutokana na ajali ya basi la Unique na lori kugongana uso kwa uso  mkoani Shinyanga leo. Zoezi la kunyanyua mabaki ya basi hilo likiendeleaWinchi likiwa kazini huku wanahabari wkirekodi tukio la kunyanyuliwa basi hilo.

CHANZO: MICHUZI BLOG

 

11 years ago

GPL

WATU 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA BASI KIJIJI CHA MCHINGA, LINDI

Afisa wa polisi akisimamia mizigo ya abiria waliokuwa wakisafiri katika basi la SB lenye namba za usajili T607 BDG lililokuwa njiani kuelekea Dar es salaam kutoka Nachingwea na kupata ajali katika kijiji cha Mchinga mkoani Lindi. Abiria 21 wamejeruhiwa na wamelazwa kwa matibabu katika hospitali ya mkoa Lindi.
Basi la SB lenye namba za usajili T607 BDG lililokuwa njiani kuelekea Dar es salaam kutoka Nachingwea baada ya ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Watu 10 wafariki dunia katika ajali ya basi Shinyanga na 51 wajeruhiwa

vpo

Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Shinyanga kamishina msaidizi, Justus Kamugisha.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Habari zilizotufikia hivi punde katika chumba cha Modewji blog ni kuwa bado jeshi la Polisi na wasamaria wema wanaendelea kuokoa majeruhi na maiti wa ajali ya gari iliyotokea muda wa masaa mawili yaliyopita kwa kuuhusisha basi la Unique namba za usajili T148 BKK likitokea jijini Mwanza kwenda Tabora kugongana na lori katika kijiji cha Ibingo kata ya Samuye...

 

10 years ago

Mwananchi

19 wafariki ajalini mbeya, wawili wajeruhiwa vibaya

Watu 19 wafari katika ajali ya gari eneo la Kiwira Mkoani Mbeya, wawili wajeruhiwa vibaya 

 

9 years ago

Vijimambo

WATU 9 WAJERUHIWA KATIKA VURUGU KATI YA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA MBEYA MJINI NA WAFUASI WA CCM

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chadema Jimbo la Mbeya mjini Joseph Mbilinyi akiwa sambamba na dereva wake akibishana na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi baada ya kuvamia eneo lao la mkutano wa kampeni za Ubunge katika kata ya Ghana.Vijana wa boda boda wanaomuunga mkono Joseph Mbilinyi wakizuiliwa na Green Guard wa CCM. Baadhi ya viongozi wa CCM wakimsihi Joseph Mbilinyi kutoendelea na safari yake na badala yake ageuze lakini bado aliendelea na maamuzi yake.Wanachama wa CCM waliokuwa kwenye...

 

10 years ago

GPL

AJALI IMETOKEA JIJINI MBEYA, ZAIDI YA WATU 20 WAMEDAIWA KUPOTEZA MAISHA

Baadhi ya wakazi wa jirani na eneola tukio wakitazama gari lilivyopata ajali kando kando ya mto Kiwira.

Wananchi wa Kiwira wakienda kuangalia ajali hiyo.

Wananchi wa Kiwira wakiangalia baadhi ya Miili ya Watu waliopoteza maisha kwenye ajali hiyo. Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii hivi punde toka Wilayani Rungwe,…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani