WATU SITA WAJERUHIWA KATIKA AJALI KILIMANJARO
![](http://api.ning.com:80/files/IR6j1-Mhm*XN3OFHTPhZW0SIR2YLjYg8hcJmMxtkIZVdz-WGkrs57sj6DfZT7C7Le2AoY8iIpWOGHMicPPFfNI-NIAimhPwf/uchira.jpg?width=650)
Muonekano wa ajali baada ya basi la Harambee kugongana na lori eneo la Uchira mkoani Kilimanjaro mchana wa leo. Muonekano wa mbele wa lori baada ya ajali.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Jun
Sita wafa katika ajali, 45 wajeruhiwa Singida
WATU sita wamekufa na wengine 45 kujeruhiwa katika ajali mbili tofauti za barabarani zilizotokea juzi na jana mkoani Singida.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vmSCjfwaT_Y/VVBNx6yV-8I/AAAAAAAHWlo/eegjN9HMDcg/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-11%2Bat%2B9.34.04%2BAM.png)
WATU KUMI NA TANO WAJERUHIWA KATIKA AJALI ILIYOHUSISHA MAGARI MATATU KATIKA BARABARA YA NJOMBE/MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-vmSCjfwaT_Y/VVBNx6yV-8I/AAAAAAAHWlo/eegjN9HMDcg/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-11%2Bat%2B9.34.04%2BAM.png)
AJALI HIYO IMETOKEA MNAMO TAREHE 10.05.2015 MAJIRA YA SAA 20:10...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6BjCpLZzhoQ/Vg12QZk8pVI/AAAAAAAH8O8/SunqeebUnTQ/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
STOP PRESS: VIJANA SITA WA JKT BULOMBORA MKOANI KIGOMA WAPOTEZA MAISHA 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI JIONI HII
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1Sj5bNT59QY/VHIYwELHUHI/AAAAAAAAxbo/bnnglHkF3Xk/s72-c/20141122_165254.jpg)
WATU ZAIDI YA 25 WAJERUHIWA VIBAYA KATIKA AJALI YA COSTA SENJELE MBEYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Sj5bNT59QY/VHIYwELHUHI/AAAAAAAAxbo/bnnglHkF3Xk/s640/20141122_165254.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jKkkds1jA_U/VHIYwiWd5VI/AAAAAAAAxbs/CftCvq6ahPY/s640/20141122_165300.jpg)
Baadhi ya majeruhi wakitafuta mizigo yao mara baada ya kutoka ndani ya basi hilo
![](http://1.bp.blogspot.com/-_jbDc85nu2E/VHIYwDsflXI/AAAAAAAAxbk/BXHvjUWMYIs/s640/20141122_165321.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ccz89qkIlJg/VHIY1AdZ7aI/AAAAAAAAxcE/N9MuIFcTjlI/s640/20141122_165332.jpg)
Baadhi ya majeruhi wakitoka ndani ya basi hilo.Picha na Mbeya yetu
![](http://1.bp.blogspot.com/-wwqsYY7lXg4/VHIY0CeLF_I/AAAAAAAAxb8/bsULvDkK8aQ/s640/20141122_165513.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I-uM4qV5nEI/VHIY4_EAAgI/AAAAAAAAxcY/aPlSeSvtKrs/s640/20141122_165546.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mw6Y1CMV0r4/VHIY6P_xhdI/AAAAAAAAxck/oXvQuuyWmkM/s640/20141122_165610.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-H4ShreRDbK4/VHIY3hoi2aI/AAAAAAAAxcM/h8YAFtabeQ8/s640/20141122_165539.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yK_fM6K6QSE/VHIY-EBmO4I/AAAAAAAAxc0/HH_Ys7tfeLA/s640/20141122_165633.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bFQ59aJ5BWY/VHIY_p2XQ7I/AAAAAAAAxc8/pXPwwV9EkWA/s640/20141122_165729.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yMEgzzi3xKU/VHIY_zvnvJI/AAAAAAAAxdA/PaCYx-gDqCg/s640/20141122_165806.jpg)
Baadhi ya abilia wakitaka kumpiga Dereva wagari ya aina ya Suzuki kuwa yeye ndio alisababisha ajali hiyo kwa kuyumbayumba kwake barabarani
![](http://4.bp.blogspot.com/-jzlWGQxDbT0/VHIZAINumEI/AAAAAAAAxdE/lxIhlhVYIGo/s640/20141122_165755.jpg)
Moja ya wasamaria wema akiwazuia abiria wenye hasira kali kutaka kumpiga mzee huyo Mwenye Suzuki ambae alijulikana kwa jina moja tu mzee Mtawa
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qfj9Esq_tRw/VHIZN5W2rNI/AAAAAAAAxd8/cZqJu25HMBI/s640/20141122_173032.jpg)
Mwandishi wa habari Kenneth Mwazembeakiwasili katika Hospitali ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E9fEOxuVMyQz9jblIHrjUSLYhs6RsW42uFYyjHXAzgn2K-TaX9CxKCGp3O6kUTWIp7fBt6DMDhI1Y7IPLcBtBBK1E6pKKmj6/ajali1.jpg?width=650)
WATU 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA BASI KIJIJI CHA MCHINGA, LINDI
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/OX-i6slHCw0/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
Breaking News: Watu 10 wafariki dunia katika ajali ya basi Shinyanga na 51 wajeruhiwa
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Shinyanga kamishina msaidizi, Justus Kamugisha.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Habari zilizotufikia hivi punde katika chumba cha Modewji blog ni kuwa bado jeshi la Polisi na wasamaria wema wanaendelea kuokoa majeruhi na maiti wa ajali ya gari iliyotokea muda wa masaa mawili yaliyopita kwa kuuhusisha basi la Unique namba za usajili T148 BKK likitokea jijini Mwanza kwenda Tabora kugongana na lori katika kijiji cha Ibingo kata ya Samuye...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AONGOZA MAELFU KATIKA MAZISHI YA WATU SITA WA FAMILIA MOJA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MOTO
Baba wa watoto wawili waliokufa katika ajali ya moto, Emmanuel Mpila akiweka shada la maua katika kaburi la mmoja wa watoto wake, Pauline.
10 years ago
StarTV22 Dec
Watu sita wafariki, wengine kujeruhiwa katika ajali Tunduma.
Na Amina Said,
Mbeya.
Watu sita wamefariki papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyotokea leo alasiri eneo la mlima Chengula Tunduma mkoani Mbeya.
Ajali hiyo imehusisha magari matatu, basi ndogo aina ya Toyota costa T 203 ARZ iliyogongana uso kwa uso na basi la kampuni ya Shalom express wakati costa hiyo ikijaribu kulipita lori aina ya TATA mali ya Usangu Logistic lenye namba T 789 AZL.
Majeruhi wamepelekwa kwenye hospitali ya serikali iliyopo Vwawa...