Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sita wafa katika ajali, 45 wajeruhiwa Singida

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Thobias SedoyekaWATU sita wamekufa na wengine 45 kujeruhiwa katika ajali mbili tofauti za barabarani zilizotokea juzi na jana mkoani Singida.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WATU SITA WAJERUHIWA KATIKA AJALI KILIMANJARO

Muonekano wa ajali baada ya basi la Harambee kugongana na lori eneo la Uchira mkoani Kilimanjaro mchana wa leo. Muonekano wa mbele wa lori baada ya ajali.…

 

11 years ago

Dewji Blog

135 wafa katika ajali Singida

DSC01646

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka ,akitoa taarifa ya utendaji kazi mkoani Singida kwa kipindi cha kuanzia Januari hadi Septemba mwaka huu.

DSC01655

DSC01658

Baadhi ya waandishi wa habari na askari polisi waliohudhuria hafla ya kamanda wa polisi mkoa wa Singida kwa ajili ya kutoa taarifa ya utendaji kazi kwa kipindi cha miezi tisa.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

JUMLA ya ajali 89 za barabarani, zimetokea mkoani hapa na kusababisha vifo vya watu 135...

 

10 years ago

StarTV

Mtu mmoja afariki, wengine 21 wajeruhiwa katika ajali Singida

 Na Emmanuel Michael, Singida.

MTU mmoja amefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Kosta walilokuwa wakisafiria kutoka Shinyanga kwenye harusi kurejea nyumbani Morogogo kupinduka mkoani Singida.

 

Ni wakati wa mwingine ambapo mkoa wa Singida umejawa na simanzi na huzuni baada ya kushuhudia mtu mmoja aliyepoteza maisha na wengi 21 wakilazwa kwa matibabu kutokana na ajali ya barabarani.

 

Mkuu wa Wilaya ya Singida Queen Mlozi ni miongoni mwa viongozi wa kwanza...

 

10 years ago

Michuzi

STOP PRESS: VIJANA SITA WA JKT BULOMBORA MKOANI KIGOMA WAPOTEZA MAISHA 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI JIONI HII

Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii, Kigoma VIJANA sita  waliokuwa  katika mafunzo ya kijeshi ya kujitolea katika kikosi cha 821 JKT Bulombora mkoani Kigoma wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya gari iliyotokea jioni hii. Mganga Mfawidhi wa hospital ya mkoa wa Kigoma Dkt. Fadhil Kibaya amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.  "Ni kweli leo majira ya saa moja jioni tumepokea miili minne ya vijana wa JKT ambao waliketwa hapa tayari wamefariki na majeruhi 21....

 

10 years ago

Dewji Blog

Watu wawili wafa papo hapo katika ajali mkoani Singida baada ya bajaj kugongwa na Fuso

DSC0164612

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).

Na Nathaniel Limu, Singida

Watu wawili wamefariki dunia katika ajali mkoani Singida,baada ya bajaj waliokuwa wakisafiria kugongwa na gari aina mitsubishi fuso lenye namba za usajili T.641 AVA lililokuwa likiendeshwa na  Modest Kisaka (27) mkazi wa Mughanga manispaa ya Singida.

Watu hao ni pamoja na derive wa bajaj hiyo yenye namba za usajili MC 866 ABW aina ya YVS, Thadei...

 

11 years ago

Habarileo

Wawili wafa, 40 wajeruhiwa ajali ya basi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Geofrey KamwelaWATU wawili akiwemo mtoto wa miezi sita wamekufa na wengine 40 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani, iliyolihusisha basi la Zuberi katika eneo la Tumaini Nkuhi kwenye barabara kuu ya Singida - Dodoma.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wawili wapoteza maisha na 52 wajeruhiwa ajali ya basi Singida

DSC00457

Askari wa usalama barabarani wilaya ya Ikungi, akikagua basi la kampuni ya KISBO, T.534 CHX baada ya kupinduka katika eneo la kijiji cha Kambi ya mkaa kata ya Issuna wilaya ya Ikungi na kusababisha vifo vya watu wawili na kujeruhi wengine 52.

Na Nathaniel Limu, Singida

ABIRIA wawili wamefariki dunia na wengine 52 kujeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupasuka tairi la mbele kulia na kuacha barabara na kisha kupinduka.

Basi lililohusika na ajali hiyo ni T.534 CHX aina ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ajali yaua sita na kujeruhi wengine 40 Singida

DSC06556

Basi la kampuni ya Nice Line Coach T.174  CAV  mali ya Enock Mwita wa jijini Mwanza, limegonga lori kubwa RAC 317 N kwa nyuma na kukwanguliwa kushoto kuanzia mlangoni na kusababisha vifo vya abiria watano na kujeruhi wengine 39 waliolazwa katika hospitali ya mkoa mjini Singida.

DSC06566

Dereva wa lori kubwa RAC 317 N raia wa Uganda,Waguuma Mohammed, akizungumzia ajali ya lori lake kugongwa kwa nyuma na basi T.174 CAV mali ya Enock Mwita wa jijini Mwanza. DSC06582 Mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa...

 

10 years ago

Michuzi

WATU KUMI NA TANO WAJERUHIWA KATIKA AJALI ILIYOHUSISHA MAGARI MATATU KATIKA BARABARA YA NJOMBE/MBEYA

WATU KUMI NA TANO WAJERUHIWA KATIKA AJALI ILIYOHUSISHA BASI LA ABIRIA MALI YA KAMPUNI YA TAQWA LENYE NAMBA ZA USAJILI T.791 BZR AINA YA NISSAN LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA DEREVA AITWAYE SALUMU SELEMANI (45) MKAZI WA D’SALAAM KULIGONGA GARI LENYE NAMBA ZA USAJILI T.778 CAN ISUZU FTR LIKIENDESHWA NA DEREVA AITWAYE EDWIN LUYENGA (40) NA KISHA KUGONGA KWA NYUMA GARI T.565 CVB/T.836 BBC AINA YA MAN LILILOKUWA LIMEHARIBIKA NA KUEGESHWA.
AJALI HIYO IMETOKEA MNAMO TAREHE 10.05.2015 MAJIRA YA SAA 20:10...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani