WATU 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA BASI KIJIJI CHA MCHINGA, LINDI
![](http://api.ning.com:80/files/E9fEOxuVMyQz9jblIHrjUSLYhs6RsW42uFYyjHXAzgn2K-TaX9CxKCGp3O6kUTWIp7fBt6DMDhI1Y7IPLcBtBBK1E6pKKmj6/ajali1.jpg?width=650)
Afisa wa polisi akisimamia mizigo ya abiria waliokuwa wakisafiri katika basi la SB lenye namba za usajili T607 BDG lililokuwa njiani kuelekea Dar es salaam kutoka Nachingwea na kupata ajali katika kijiji cha Mchinga mkoani Lindi. Abiria 21 wamejeruhiwa na wamelazwa kwa matibabu katika hospitali ya mkoa Lindi. Basi la SB lenye namba za usajili T607 BDG lililokuwa njiani kuelekea Dar es salaam kutoka Nachingwea baada ya ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/OX-i6slHCw0/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
Breaking News: Watu 10 wafariki dunia katika ajali ya basi Shinyanga na 51 wajeruhiwa
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Shinyanga kamishina msaidizi, Justus Kamugisha.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Habari zilizotufikia hivi punde katika chumba cha Modewji blog ni kuwa bado jeshi la Polisi na wasamaria wema wanaendelea kuokoa majeruhi na maiti wa ajali ya gari iliyotokea muda wa masaa mawili yaliyopita kwa kuuhusisha basi la Unique namba za usajili T148 BKK likitokea jijini Mwanza kwenda Tabora kugongana na lori katika kijiji cha Ibingo kata ya Samuye...
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Watu 11 wafariki ajali ya basi, 55 wajeruhiwa
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qBhMF00X2eM/VTfR9P-ys1I/AAAAAAAHSl8/WI1Qs9Kgv3Q/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
WATU 10 WAFARIKI NA WENGINE ZAIDI YA 40 WAJERUHIWA KWENYE AJALI YA BASI LA UNIQUE NA LORI MKOANI SHINYANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qBhMF00X2eM/VTfR9P-ys1I/AAAAAAAHSl8/WI1Qs9Kgv3Q/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5bGr1KIgJi4/VTfR8zRXf0I/AAAAAAAHSmA/wHU8MN9jFSE/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CG4w-P4hD20/VTfR-N6C-3I/AAAAAAAHSmM/o4Z-1NVjGTQ/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
CHANZO: MICHUZI BLOG
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eAs32y6M0bU/U9kzuOOIuEI/AAAAAAAF76E/IS2iYZVMgdc/s72-c/unnamed+(8).jpg)
17 wapoteza maisha na 56 wajeruhiwa katika ajali ya basi la morobest dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-eAs32y6M0bU/U9kzuOOIuEI/AAAAAAAF76E/IS2iYZVMgdc/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IR6j1-Mhm*XN3OFHTPhZW0SIR2YLjYg8hcJmMxtkIZVdz-WGkrs57sj6DfZT7C7Le2AoY8iIpWOGHMicPPFfNI-NIAimhPwf/uchira.jpg?width=650)
WATU SITA WAJERUHIWA KATIKA AJALI KILIMANJARO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vmSCjfwaT_Y/VVBNx6yV-8I/AAAAAAAHWlo/eegjN9HMDcg/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-11%2Bat%2B9.34.04%2BAM.png)
WATU KUMI NA TANO WAJERUHIWA KATIKA AJALI ILIYOHUSISHA MAGARI MATATU KATIKA BARABARA YA NJOMBE/MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-vmSCjfwaT_Y/VVBNx6yV-8I/AAAAAAAHWlo/eegjN9HMDcg/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-11%2Bat%2B9.34.04%2BAM.png)
AJALI HIYO IMETOKEA MNAMO TAREHE 10.05.2015 MAJIRA YA SAA 20:10...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1Sj5bNT59QY/VHIYwELHUHI/AAAAAAAAxbo/bnnglHkF3Xk/s72-c/20141122_165254.jpg)
WATU ZAIDI YA 25 WAJERUHIWA VIBAYA KATIKA AJALI YA COSTA SENJELE MBEYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Sj5bNT59QY/VHIYwELHUHI/AAAAAAAAxbo/bnnglHkF3Xk/s640/20141122_165254.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jKkkds1jA_U/VHIYwiWd5VI/AAAAAAAAxbs/CftCvq6ahPY/s640/20141122_165300.jpg)
Baadhi ya majeruhi wakitafuta mizigo yao mara baada ya kutoka ndani ya basi hilo
![](http://1.bp.blogspot.com/-_jbDc85nu2E/VHIYwDsflXI/AAAAAAAAxbk/BXHvjUWMYIs/s640/20141122_165321.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ccz89qkIlJg/VHIY1AdZ7aI/AAAAAAAAxcE/N9MuIFcTjlI/s640/20141122_165332.jpg)
Baadhi ya majeruhi wakitoka ndani ya basi hilo.Picha na Mbeya yetu
![](http://1.bp.blogspot.com/-wwqsYY7lXg4/VHIY0CeLF_I/AAAAAAAAxb8/bsULvDkK8aQ/s640/20141122_165513.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I-uM4qV5nEI/VHIY4_EAAgI/AAAAAAAAxcY/aPlSeSvtKrs/s640/20141122_165546.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mw6Y1CMV0r4/VHIY6P_xhdI/AAAAAAAAxck/oXvQuuyWmkM/s640/20141122_165610.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-H4ShreRDbK4/VHIY3hoi2aI/AAAAAAAAxcM/h8YAFtabeQ8/s640/20141122_165539.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yK_fM6K6QSE/VHIY-EBmO4I/AAAAAAAAxc0/HH_Ys7tfeLA/s640/20141122_165633.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bFQ59aJ5BWY/VHIY_p2XQ7I/AAAAAAAAxc8/pXPwwV9EkWA/s640/20141122_165729.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yMEgzzi3xKU/VHIY_zvnvJI/AAAAAAAAxdA/PaCYx-gDqCg/s640/20141122_165806.jpg)
Baadhi ya abilia wakitaka kumpiga Dereva wagari ya aina ya Suzuki kuwa yeye ndio alisababisha ajali hiyo kwa kuyumbayumba kwake barabarani
![](http://4.bp.blogspot.com/-jzlWGQxDbT0/VHIZAINumEI/AAAAAAAAxdE/lxIhlhVYIGo/s640/20141122_165755.jpg)
Moja ya wasamaria wema akiwazuia abiria wenye hasira kali kutaka kumpiga mzee huyo Mwenye Suzuki ambae alijulikana kwa jina moja tu mzee Mtawa
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qfj9Esq_tRw/VHIZN5W2rNI/AAAAAAAAxd8/cZqJu25HMBI/s640/20141122_173032.jpg)
Mwandishi wa habari Kenneth Mwazembeakiwasili katika Hospitali ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Bz5XAf4OQ3M/UynVcAmZwwI/AAAAAAAFVDw/LqK4lnroSY8/s72-c/6c860f6e21505f03e949e445344bc6c8.jpg)
WAWILI WAPOTEZA MAISHA NA SABA WAMEJERUHIWWA KATIKA AJALI YA BASI NA BODABODA MKOANI LINDI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bz5XAf4OQ3M/UynVcAmZwwI/AAAAAAAFVDw/LqK4lnroSY8/s1600/6c860f6e21505f03e949e445344bc6c8.jpg)