Watano wafa ajalini Mlima wa Sekenke
Watu watano wamefariki dunia na wengine 16 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka katika eneo la Mlima Sekenke wilayani Iramba, Singida.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H4muyge3iG0/UwTFGUVZRAI/AAAAAAAALCI/FivRpsR2pjM/s72-c/se4.jpg)
NEWS ALERT:LORI LA MAFUTA LADONDOKA MDA HUU MLIMA SEKENKE NA KULIPUKA NA KUUA WATU WANNE
![](http://4.bp.blogspot.com/-H4muyge3iG0/UwTFGUVZRAI/AAAAAAAALCI/FivRpsR2pjM/s1600/se4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v8iklBtIuyw/UwTFM47l17I/AAAAAAAALCQ/tCnin6hlI8o/s1600/se5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nvdUPUJvoR4/UwTFR5TuhxI/AAAAAAAALCY/hsM-2RkD_Gc/s1600/se6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hV6Nmid49Xo/UwTFV56NNwI/AAAAAAAALCg/cjwIUbkr1qA/s1600/se7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jGNIvo0ZRPk/UwTFZyNiZHI/AAAAAAAALCo/AjCHCE4n9DA/s1600/se9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6-Q2ejkcSAk/UwTFA88IoBI/AAAAAAAALCA/ooxsCw0wHLY/s1600/se11.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Watatu wafa ajalini Same
WATU watatu wamekufa papo hapo katika matukio mawili tofauti ya ajali ya gari wilayani Same Kilimanjaro likiwemo la mwendesha pikipiki anayekadiriwa kuwa na miaka 20-25 kugongwa na gari la mizigo....
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Watu 11 wafa ajalini
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Wawili wafa ajalini Dar
WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia juzi jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema kuwa juzi saa 4 asubuhi, katika Barabara ya...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Waendesha bodaboda wafa ajalini
WAENDESHA pikipiki wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika ajali tofauti. Akielezea ajali hizo jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema dereva wa pikipiki ‘bodaboda’,...
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Watatu wafa ajalini Moshi
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Polisi 5 wafa ajalini Dodoma
JESHI la Polisi mkoani Dodoma limepata pigo baada ya askari wake watano kufa kwenye ajali ya gari eneo la Mitumba, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma. Akizungumzia ajali hiyo iliyotokea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kYLfWN4-a0awc2SwQD4Dbk1wTf-rt7vs0*kBHFZifWAES8WS3DT*QIPOkARHU7TQUWKH9dGm1SlWYoP-KVV2*JPXTgoDgNYA/BREAKINGNEWS.gif)
WANNE WAFA AJALINI IRINGA