Ni kwanini kifo cha mlinzi wa William Ruto, Sajini Kenei kinaibua maswali?
Utata unaozingira kifo cha Sajini Kipyegon Kenei, aliyekuwa mkuu wa usalama katika ofisi ya Naibu Rais wa Kenya Dkt William Ruto unaendelea kuzua maswali mengi kuliko majibu baada ya idara inayochunguza uhalifu (DCI) kudai kwamba kuuawa kwa polisi huyo kunahusiana na matukio katika ofisi ya kiongozi huyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7r-kGNxS-ZQtkx4eFXm5fWrwUJn*8gpHLPpR70VW9*zKkNj770Nsry*zxxADjyAkhvcr9fnzNHhiStkEYnYUyz2/chadema.png?width=350)
CHADEMA WAOMBOLEZA KIFO CHA DKT WILLIAM MGIMWA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepokea kwa mshtuko na majonzi makubwa taarifa za kifo cha Waziri wa Fedha na Uchumi na Mbunge wa Kalenga, Dkt. William Mgimwa ambaye amefariki akiwa kwenye matibabu Afrika Kusini. Kwa masikitiko makubwa CHADEMA kinatuma salaam za pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete kwa kuondokewa na msaidizi wake wa karibu na mtumishi mwenzake serikalini. Chama kinatoa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BmX56OaZ6u8/U4hKxQCbEmI/AAAAAAAFmdg/8fJcPHz1KK4/s72-c/unnamed+(17).jpg)
NAPATA WAKATI MGUMU SANA KUTAARIFA KIFO CHA MLINZI WA AMANI - BAN KI MOON
![](http://4.bp.blogspot.com/-BmX56OaZ6u8/U4hKxQCbEmI/AAAAAAAFmdg/8fJcPHz1KK4/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MvHduXGAIeY/U4hKxXpW7EI/AAAAAAAFmdk/tEj5h0IWH5w/s1600/unnamed+(18).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R18dQGI6uh*OEDQmU*V0WJIDjB5CeRfxoptceqc-YNuRtvwqO1YgLTM9eTokQwwPaFkQBP9KtUrbLguAEQDjHcS/1536668_695124830520391_2134470031_n.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/b8YL1Nsfi8mNKMOI9wpBwpnMdC32qfWs4ggz7NZtaL8f4CCzVb0bSzg-hnRF1zNSvFc-UyCq0aDXUUljLysC33TS*XmKnakS/Mtikila.jpg?width=650)
MASWALI 10 TATA KIFO CHA MTIKILA!
Na Waandishi Wetu
BASI tena! Kifo cha ajali ya gari cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (DP) na Kiongozi wa Kanisa la Full Salvation, Mchungaji Christopher Mtikila kimewaacha wananchi na majonzi makubwa lakini nyuma yake, Uwazi limebaini maswali 10 tata kuhusu ajali hiyo. Â Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (DP) na Kiongozi wa Kanisa la Full Salvation, Mchungaji Christopher Mtikila enzi za uhai wake....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUBdFBjMCTvWE7Z3eVZBAZkpLAa4PPpGrWA0ReWL1dudZA82N7ZgvZOmSJdLkKHVOw6a8BOaWlRlT7AiRJOHb36/meneja.jpg?width=650)
MASWALI 5 KIFO CHA MENEJA EWURA
Na Haruni Sanchawa
JAMBO limezua jambo! Maswali matano ya msingi yameibuka kufuatia kifo cha aliyekuwa Meneja Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza kilichotokea hotelini katika mazingira ya kutatanisha muda mfupi baada ya kuwasili jijini Dar akitoka Dodoma ambako alihojiwa na Kamati ya Bunge ya Bajeti, Amani limeyanasa. Meneja Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati...
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
ICC: Afueni kwa William Ruto
Mahakama ya kimataifa ya ICC, imemruhusu Naibu Rais wa Kenya William Ruto kutohudhuria baadhi ya vikao vya kesi dhidi yake katika mahakama hiyo.
5 years ago
BBCSwahili07 Mar
William Ruto: Naibu wa rais Kenya adai idara ya jinai 'inatumiwa' kumkabili kisiasa
Naibu wa rais wa Kenya William Ruto amesema kwamba Idara ya jinai nchini Kenya inatumika kumkabili kisiasa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania