Mlinzi afa akiwa kazini
p>WATU wawili wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwemo la mlinzi aliyekuwa ameketi lindoni pake. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mlinzi wa Ubalozi afa kazini
MLINZI wa Ubalozi wa Iran nchini, Ramadhan Rajab (55), mkazi wa Tabata amekufa ghafla baada ya kuanguka akiwa kazini.
11 years ago
Habarileo10 Aug
RPC anusurika kifo, mlinzi wake afa
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Fulgence Ngonyani na dereva wake, Nuaka Seme wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Njombe ya Kibena baada ya kupata ajali ya gari iliyomuua mlinzi wa kamanda huyo, usiku wa kuamkia jana, eneo la kiwanda cha miwati (TANWAT).
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Mzibua vyoo afa kazini
MZIBUA vyoo aliyefahamika kwa jina moja la Michael au ‘Babu Sele’ anayekadiriwa kuwa na miaka kati ya 40 hadi 45, mkazi wa Mwenge, jijini Dar es Salaam, amefariki dunia baada...
11 years ago
Habarileo20 Feb
Afa kwa kunaswa na umeme kazini
MFANYAKAZI wa kiwanda cha MCL kilichopo Temeke, Joseph Fedolini (40), amekufa papo hapo baada ya kunaswa na umeme wakati akiwa kazini. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo alisema kifo hicho kilitokea jana usiku katika kiwanda hicho kilichopo maeneo ya Chang'ombe Viwandani.
11 years ago
Habarileo27 Jan
Afa akiwa ameketi kitini
WATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti jijini Dar es Salaam, likiwemo la mlinzi aliyetambuliwa kwa jina moja la Kamarada kufa akiwa amekaa kwenye kiti. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni Camillius Wambura tukio hilo ni la jana saa 9:30 usiku katika maeneo ya Kijitonyama katika jengo la White Star.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-lMNJyzgvrGo/VYqNeeVC4jI/AAAAAAAAAyg/m0uqSaXh0e4/s72-c/obama1.jpg)
RAIS OBAMA AKIWA KAZINI..
![](http://2.bp.blogspot.com/-lMNJyzgvrGo/VYqNeeVC4jI/AAAAAAAAAyg/m0uqSaXh0e4/s640/obama1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oYL82_nPxSo/VYqNcbPJPbI/AAAAAAAAAyA/WmlLF8zXE58/s640/Obama2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xYl1fTWHA2g/VYqNcrU3JQI/AAAAAAAAAyE/5fV7hghuPms/s640/Obama3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-W7RmRO23eRE/VYqNdz4cPYI/AAAAAAAAAyQ/1K6k1jYAgiQ/s640/Obama4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HrqVPLDnlQw/VYqNd0IDGuI/AAAAAAAAAyU/_5Fa3zHnRdk/s640/Medvedev_and_Obama_in_back_of_limo.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 May
Kuambiana afariki akiwa kazini
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VeYOb5aICds/VXCsI3kxO-I/AAAAAAADp_w/OqAhrWSSZx4/s72-c/1406433.jpg)
KADRA MOHAMED: MWANAMKE WA KWANZA POLISI KUVAA HIJABU AKIWA KAZINI MINNESOTA, MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-VeYOb5aICds/VXCsI3kxO-I/AAAAAAADp_w/OqAhrWSSZx4/s640/1406433.jpg)
Umewahi kusikia habari za Kadra Mohamed? kama bado ni lazima usikie.
Yeye ni mwanamke wa kwanza wa Somalia kuwa Afisa wa Polisi katika mji wa Minnesota nchini Marekani kuvaa hijabu akiwa kazini.Kadra mwenye umri wa miaka 22 ameandika historia katika dunia.Kadra amemaliza masomo ya mafunzo ya Upolisi mwezi Mei mwaka huu katika chuo cha St Paul Police Academy.Alijiunga na St Paul mwezi Machi mwaka jana katika ulinzi shirikishi baada ya idara hiyo ya Polisi kupitisha sheria ya kuruhusu wanawake...