KADRA MOHAMED: MWANAMKE WA KWANZA POLISI KUVAA HIJABU AKIWA KAZINI MINNESOTA, MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-VeYOb5aICds/VXCsI3kxO-I/AAAAAAADp_w/OqAhrWSSZx4/s72-c/1406433.jpg)
Umewahi kusikia habari za Kadra Mohamed? kama bado ni lazima usikie.
Yeye ni mwanamke wa kwanza wa Somalia kuwa Afisa wa Polisi katika mji wa Minnesota nchini Marekani kuvaa hijabu akiwa kazini.Kadra mwenye umri wa miaka 22 ameandika historia katika dunia.Kadra amemaliza masomo ya mafunzo ya Upolisi mwezi Mei mwaka huu katika chuo cha St Paul Police Academy.Alijiunga na St Paul mwezi Machi mwaka jana katika ulinzi shirikishi baada ya idara hiyo ya Polisi kupitisha sheria ya kuruhusu wanawake...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Abraham Lincoln ni rais wa kwanza Marekani kuuawa akiwa madarakani
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Akatazwa kuvaa hijab kazini Ufaransa
11 years ago
Michuzi11 May
shukurani toka minnesota, marekani
Kwa kweli hakuna maneno yanayoweza kuelezea jinsi tulivyofarijika kwa uwepo wenu kati yetu...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-lMNJyzgvrGo/VYqNeeVC4jI/AAAAAAAAAyg/m0uqSaXh0e4/s72-c/obama1.jpg)
RAIS OBAMA AKIWA KAZINI..
![](http://2.bp.blogspot.com/-lMNJyzgvrGo/VYqNeeVC4jI/AAAAAAAAAyg/m0uqSaXh0e4/s640/obama1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oYL82_nPxSo/VYqNcbPJPbI/AAAAAAAAAyA/WmlLF8zXE58/s640/Obama2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xYl1fTWHA2g/VYqNcrU3JQI/AAAAAAAAAyE/5fV7hghuPms/s640/Obama3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-W7RmRO23eRE/VYqNdz4cPYI/AAAAAAAAAyQ/1K6k1jYAgiQ/s640/Obama4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HrqVPLDnlQw/VYqNd0IDGuI/AAAAAAAAAyU/_5Fa3zHnRdk/s640/Medvedev_and_Obama_in_back_of_limo.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mlinzi afa akiwa kazini
11 years ago
Mwananchi18 May
Kuambiana afariki akiwa kazini
10 years ago
Vijimambo19 Nov
KUNA MTANZANIA MWENZETU ANAHITAJI MSAADA MINNESOTA NCHINI MAREKANI
Arusha mjini I C U kwa wiki kama tatu hivi hatimaye alihamishwa Nairobi Hospital Kenya kwa Helicoptor tarehe 29 September
2014 na kufariki tarehe 19 October, 2014. na siku hiyo hiyo ya tarehe 19 October 2014 Apt ya Sebastian at 610S 8th st Apt 310,
Minneapolis, Mn 55404 iliteketea moto na binti yake aitwaye Joyce S Malle aliungua vibaya na kulazwa Hospitalini kule...
10 years ago
Michuzi10 Oct