Kuambiana afariki akiwa kazini
Mwigizaji, mwandishi na mwongozaji wa filamu, Adamu Kuambiana amefariki dunia jana asubuhi jijini Dar es Saalam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mlinzi afa akiwa kazini
p>WATU wawili wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwemo la mlinzi aliyekuwa ameketi lindoni pake. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke,...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-lMNJyzgvrGo/VYqNeeVC4jI/AAAAAAAAAyg/m0uqSaXh0e4/s72-c/obama1.jpg)
RAIS OBAMA AKIWA KAZINI..
![](http://2.bp.blogspot.com/-lMNJyzgvrGo/VYqNeeVC4jI/AAAAAAAAAyg/m0uqSaXh0e4/s640/obama1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oYL82_nPxSo/VYqNcbPJPbI/AAAAAAAAAyA/WmlLF8zXE58/s640/Obama2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xYl1fTWHA2g/VYqNcrU3JQI/AAAAAAAAAyE/5fV7hghuPms/s640/Obama3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-W7RmRO23eRE/VYqNdz4cPYI/AAAAAAAAAyQ/1K6k1jYAgiQ/s640/Obama4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HrqVPLDnlQw/VYqNd0IDGuI/AAAAAAAAAyU/_5Fa3zHnRdk/s640/Medvedev_and_Obama_in_back_of_limo.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
ADAM KUAMBIANA AFARIKI DUNIA
Adam Kuambiana enzi za uhai wake. MWIGIZAJI Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu. Marehemu ameanguka chooni akiwa location katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remy, Dar. Kabla ya mauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na tumbO. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI.… ...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VeYOb5aICds/VXCsI3kxO-I/AAAAAAADp_w/OqAhrWSSZx4/s72-c/1406433.jpg)
KADRA MOHAMED: MWANAMKE WA KWANZA POLISI KUVAA HIJABU AKIWA KAZINI MINNESOTA, MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-VeYOb5aICds/VXCsI3kxO-I/AAAAAAADp_w/OqAhrWSSZx4/s640/1406433.jpg)
Umewahi kusikia habari za Kadra Mohamed? kama bado ni lazima usikie.
Yeye ni mwanamke wa kwanza wa Somalia kuwa Afisa wa Polisi katika mji wa Minnesota nchini Marekani kuvaa hijabu akiwa kazini.Kadra mwenye umri wa miaka 22 ameandika historia katika dunia.Kadra amemaliza masomo ya mafunzo ya Upolisi mwezi Mei mwaka huu katika chuo cha St Paul Police Academy.Alijiunga na St Paul mwezi Machi mwaka jana katika ulinzi shirikishi baada ya idara hiyo ya Polisi kupitisha sheria ya kuruhusu wanawake...
10 years ago
Michuzi10 Oct
11 years ago
GPL20 Mar
OFM KAZINI; KAMANDA WA OFM AKIRIPOTI JINSI ALIVYOMNASA MZUNGU AKIWA NA DENTI
Mshuhudie Kamanda hatari wa OFM aliyepania kuibadilisha Tanzania, akiripoti tukio la aina yake ambapo mara hii amemnasa mzungu aliyekuwa na denti wa kidato cha tatu gesti, tena usiku wa manane! Ungana na Global TV Online kupata full stori!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JTy4q9-M8RQ/Xkr0wHnaiWI/AAAAAAALdz8/_N57JWfb4V8KUJbqPsLUFoE91jaN9eEUACLcBGAsYHQ/s72-c/aa3f274a-e8c6-4711-8b67-26ef27dd1469.jpg)
KIZITO MIHIGO AFARIKI AKIWA KIZUIZINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-JTy4q9-M8RQ/Xkr0wHnaiWI/AAAAAAALdz8/_N57JWfb4V8KUJbqPsLUFoE91jaN9eEUACLcBGAsYHQ/s400/aa3f274a-e8c6-4711-8b67-26ef27dd1469.jpg)
BAADA ya siku tatu tangu Mamlaka ya upelelezi nchini Rwanda kutangaza kumshikilia mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini humo Kizito Mihigo kwa tuhuma za kujaribu kuvuka mpaka na kwenda kujiunga na vikosi vinavyopinga Serikali ya Rwanda pamoja na kushutumiwa kwa vitendo vya rushwa leo Februari 17 jeshi la polisi nchini humo limetangaza kuwa maiti ya Kizito imepatikana ndani ya chumba alichokua amezuiwa katika kituo cha polisi cha Remera mjini Kigali.
Polisi...
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Aliyejiita ‘Mungu’ afariki akiwa na wake 35, watoto 95
Wahenga walisema; “duniani kuna mambo.†Jamaa mmoja aliyejiita ‘mungu’ huko nchini Kenya, Jehova Wanyanyi amefariki duniani na kuacha wake 35 na watoto zaidi ya 95.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania