Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OFM KAZINI; KAMANDA WA OFM AKIRIPOTI JINSI ALIVYOMNASA MZUNGU AKIWA NA DENTI

Mshuhudie Kamanda hatari wa OFM aliyepania kuibadilisha Tanzania, akiripoti tukio la aina yake ambapo mara hii amemnasa mzungu aliyekuwa na denti wa kidato cha tatu gesti, tena usiku wa manane! Ungana na Global TV Online kupata full stori!

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

OFM YANASA DENTI DARASA LA 6 AKIJIUZA!

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers imemnasa denti wa darasa la sita anayesoma shule ya msingi (jina linahifadhiwa kimaadili) kwenye kambi ya machangudoa akidaiwa kujihusisha na biashara haramu ya kuuza mwili. Denti wa darasa la sita aliyenaswa kwenye kambi ya machangudoa akidaiwa kujihusisha na biashara haramu ya kuuza mwili. Tukio hilo lilijiri wiki iliyopita maeneo ya Kahumba mjini...

 

9 years ago

Global Publishers

Kamanda OFM avamiwa na vibaka

Mwandishi wetu, Moro
Hii si sawa! Kamanda wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, Mkoa wa Morogoro, Dustan Shekidele amevamiwa na vibaka kisha kuporwa kamera na simu alipokuwa akiwatetea wananchi waliovamiwa na vibaka hao katika Mkesha wa Mwaka Mpya.

Awali kamanda huyo alikuwa kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mji Mpya, alipotoka majira ya saa 6:00 usiku ndipo akapigiwa simu na akina mama waliokuwa wakilalamika...

 

9 years ago

GPL

OFM KAZINI...WANASWA WAKIVUNJA AMRI YA SITA SALUNI!

Wawili hao walivyokutwa wakifanya tendo hilo la aibu. Chande Abdallah na Issa Mnally DUNIANI kuna mambo! Wakati saluni za masaji (massage therapy) zikiendelea kuanzishwa kila kukicha katika Jiji la Dar kwa lengo la kutoa huduma ya kitabibu, ‘kama kawa’, kile kikosi maalum cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ cha Global Publishers kimevumbua mazito, twende pamoja. Ni Jumanne iliyopita, majira ya mchana wa jua kali, OFM kwa...

 

10 years ago

GPL

OFM KAZINI! KIJANA ANASWA LAIVU KWA KUUNDA MTAMBO WA KUWAIBIA AZAM, ZUKU

Stori: Chande  Abdallah na Deogratius mongela
Katika hali ya kushangaza, mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Ali, mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, amekamatwa na polisi baada ya kudaiwa kuunganisha visivyo halali, mitambo ambayo iliwawezesha watu kuangalia matangazo ya televisheni ya vituo mbalimbali kwa malipo rahisi. Bw. Ali anayedaiwa kuunganisha visivyo halali, mitambo ya kurusha matangazo ya televisheni ya vituo...

 

11 years ago

GPL

ANGALIA KACHERO WA OFM AKITOA TAARIFA JINSI KIJANA ALIVYOFUMANIWA, AKAVISHWA KANGA, KUTEMBEZWA MITAANI

Jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Salum Athuman (22), alijikuta akivishwa kanga na kutembezwa mitaani baada ya kwenda nyumbani kwa mwanaume mwenzake, Dastun Mkereti (26) kwa lengo la kujivinjari na mke wa mtu, Stela Ramadhan (20), akafumaniwa. GLOBAL TV ONLINE KUPITIA KWA KACHERO WA OFM INAKUPA UHONDO!

 

11 years ago

GPL

OFM YAMNASA!

Stori: Issa Mnally na Dustan Shekidele, Morogoro
OPARESHENI Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers si mchezo! Safari hii imenasa tukio la mchumba wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Jose kuuza mwili. Za mwizi 40: Mchumba wa mtu baada ya kunaswa na OFM akijiuza licha ya kuaga kuwa anakwenda kwa bibi yake. Tukio hilo lilijiri eneo maarufu la Baa ya Kaumba iliyopo katikati ya mji kwenye Mtaa wa Makongoro, mwishoni mwa wiki...

 

10 years ago

GPL

OFM YAMSHUGHULIKIA WAZIRI WA JK

Stori: Waandishi Wetu/Ijumaa Wikienda
Kaa chonjo! Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), mheshimiwa Kassim Majaliwa amejikuta akitumbukia kwenye kamera za Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers baada ya kuchunguzwa kwa kuingia hotelini akiwa ametanguliwa na mrembo mmoja aliyedaiwa kuwa na ahadi naye, Ijumaa Wikienda lina picha kamili. Gari la mheshimiwa Kassim...

 

10 years ago

GPL

OFM YANASA MAJINA YA WAGOMBEA...

Waandishi wetu KAZI imeanza! Baada ya ukimya wa muda mrefu uliotokana na Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, sasa makamanda wa Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ imeingia kazini ambapo wiki hii imeweza kuinasa nazi ikiwa na karatasi lenye majina ya waliojitokeza kugombea urais, ubunge na udiwani kwenye uchaguzi mkuu ujao. ....Sopma zaidi===>http://bit.ly/1DynYcG ...

 

10 years ago

GPL

OFM YANASA MABAAMEDI WAKIUZWA!

Chande Abdallah na Deogratius Mongela WAMENASWA! Kitengo maalum cha Oparesheni Fichua Moavu (OFM) cha Global Publishers mwishoni mwa wiki kiliwanasa wahudumu wa baa wakiuzwa kwa wanywaji wanaohitaji huduma ya ngono katika mtego uliofanywa katika baa moja iliyopo Ubungo External, Ilala jijini Dar es Salaam. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1UC9ooV

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani